This is why you are still single

This is why you are still single

Inatokana na kubeba mzigo moyoni utokanao na mahusiano yaliyopita.

Ndo maana huwa nasema baada ya mahusiano, watu wapende kuchukua break ya kupumua na kujifundisha kitu kutokana na mahusiano, ku recover kabla ya kusonga mbele.

Bila hiyo tunaishia kuchukia jinsia tofauti na kuwajumlisha katika makosa ambayo hawakututendea.
For a woman, as you take a break, time is not on your side! The train (age) is pulling away from you so fast!! No wonder you are so cunning!
 
Don't take life too seriously mkuu. Hata kama sio kwa kuangalia nyota unaweza kuangalia sifa gani unayo hapo inayokuchelewesha
Haipo.

Siamini katika ushirikina wala uchawi. Huo ni ushirikina na uchawi ambao kiukweli hauna uhalisia.
 
Hakuna kitu kama hicho. Mimi niko single na hakuna sababu hapo.

Huo ni ushirikina tu ambao hauna uhalisia. Kwa kua waafrika wengi wanahusudu ushirikina na upigaji ramli kama huo ndio wanaona kuna sababu hapo.
Okei, sema hapa why you are still single tuone kama hudondokei ktk moja ya hizo sababu!!
 
80b6788372ff60f54da3a4b2277bb45a.jpg
hahaha! Huyu ndo kasema hayo?
 
Inatokana na kubeba mzigo moyoni utokanao na mahusiano yaliyopita.

Ndo maana huwa nasema baada ya mahusiano, watu wapende kuchukua break ya kupumua na kujifundisha kitu kutokana na mahusiano, ku recover kabla ya kusonga mbele.

Bila hiyo tunaishia kuchukia jinsia tofauti na kuwajumlisha katika makosa ambayo hawakututendea.
Umeeleza vizuri, nimekuelewa vizuri mno
 
For a woman, as you take a break, time is not on your side! The train (age) is pulling away from you so fast!! No wonder you are so cunning!
Kitu wanawake hawaelewi, time heals ila haina maana kua ukijipa muda na ukaanza mahusiano mapya hutaumia au hutaumizwa. Time doesn't exempt you from being hurt again.
 
For a woman, as you take a break, time is not on your side! The train (age) is pulling away from you so fast!! No wonder you are so cunning!
So, I should jump from one man to the other in my race against time?
Or I should stay in a bad relationship because of I walk out time will not be on my side?


You are not making sense young man.
 
So, I should jump from one man to the other in my race against time?
Or I should stay in a bad relationship because of I walk out time will not be on my side?


You are not making sense young man.
I make a lot of sense if you just give youself time to think outside the box! I ended up saying, NO WONDER YOU ARE CUNNING!! Ididn't write this for granted, again, think outside the box MUMMY!

P.s: Are you the victim of those "THIS IS WHY YOU ARE STILL SINGLE" ??
 
Aisee mbona hujawapa na ushauri wafanyeje mwaka unaonza j3 usiwapite kimya kimya
 
Hakuna kitu kama hicho. Mimi niko single na hakuna sababu hapo.

Huo ni ushirikina tu ambao hauna uhalisia. Kwa kua waafrika wengi wanahusudu ushirikina na upigaji ramli kama huo ndio wanaona kuna sababu hapo.
Ramli chonganishi
 
Nilibaki mdomo wazi ule uzi aisee, hadi umefungwa
Halafu nikajishangaa mbona mie hamniibukii

Ndo kujibiwa na espy eti tatizo nyota yangu siyo, ahahaaaa!!
Wewe ni unapproachable teh
 
Back
Top Bottom