This is why you are still single

This is why you are still single

Kama Virgo ni mwezi wa Sita basi ni kweli, nina aibu sana hafu domo geze. Imefika hatua natembea nimeangalia chini nikiona wasichana, kanisan napata shida sana nikitoka kutoa sadaka aisee
 
Siijui nyota yangu lakini kuna kitu kingetajwa ningejijua.


Weusiiiiii, ufupiiiii and broke
sifa hizo af broke tena my friend omba Rehema kwa Mungu
 
Kama Virgo ni mwezi wa Sita basi ni kweli, nina aibu sana hafu domo geze. Imefika hatua natembea nimeangalia chini nikiona wasichana, kanisan napata shida sana nikitoka kutoa sadaka aisee
Ukute na hela pia huna
 
Watu sijui akili zao zimejaa matope, yaani utabiri(kitu kisicho na uhakika) wa nyota ndio utoe definition ya jinsi ulivyo?! Waafrika tuna sehemu ya akili zetu haiko sawa.
 
Watu sijui akili zao zimejaa matope, yaani utabiri(kitu kisicho na uhakika) wa nyota ndio utoe definition ya jinsi ulivyo?! Waafrika tuna sehemu ya akili zetu haiko sawa.
Hizo point kamuulize yeyote ambaye hajaoa/ hajaolewa, sababu kubwa ni hizo sababu, yawezekana mhusika akawa hajui sababu ila ndio sababu kuu hizi. Ukicheza nazo utaoa/ utaolewa.
 
Watu sijui akili zao zimejaa matope, yaani utabiri(kitu kisicho na uhakika) wa nyota ndio utoe definition ya jinsi ulivyo?! Waafrika tuna sehemu ya akili zetu haiko sawa.
Don't take life too seriously mkuu. Hata kama sio kwa kuangalia nyota unaweza kuangalia sifa gani unayo hapo inayokuchelewesha
 
Mwenza kiinglish ulijifunzia wapi? Nitafsirie basi.
 
Yes, many of you are unapproachable kwa kweli, mnatuchamba mno mnooo

Inatokana na kubeba mzigo moyoni utokanao na mahusiano yaliyopita.

Ndo maana huwa nasema baada ya mahusiano, watu wapende kuchukua break ya kupumua na kujifundisha kitu kutokana na mahusiano, ku recover kabla ya kusonga mbele.

Bila hiyo tunaishia kuchukia jinsia tofauti na kuwajumlisha katika makosa ambayo hawakututendea.
 
Hizo point kamuulize yeyote ambaye hajaoa/ hajaolewa, sababu kubwa ni hizo sababu, yawezekana mhusika akawa hajui sababu ila ndio sababu kuu hizi. Ukicheza nazo utaoa/ utaolewa.
Hakuna kitu kama hicho. Mimi niko single na hakuna sababu hapo.

Huo ni ushirikina tu ambao hauna uhalisia. Kwa kua waafrika wengi wanahusudu ushirikina na upigaji ramli kama huo ndio wanaona kuna sababu hapo.
 
Back
Top Bottom