Pole sana na umenikumbusha machungu
Hata mimi yalinikuta,mama aliona ndoa yake ni vyema zaidi kuliko mimi aliyenizaa nje ya ndoa.....Hakuthamini kuwa nilimwitaji wala hakujali uchungu aliyonipa kwa vitendo vyake.Nilipata upendo kutoka kwa baba wa kambo kuliko hata kwake.Alitugawa kwenye mafungu nami nilibaki pekeyangu coz ckuwa mtoto wa ndoa ile.kupokea vichapo na matusi ya hapa na pale hata yaliyo juu ya umri wangu.Ilibidi ndugu zake wanichukue na kunilea.
Hakutaka kunieleza baba yangu ni nani akidai kuwa amefariki na hafahamu ndugu zake.
Mimi ni mdada lakini for sure miaka michache iliyopita nilikuwa namchukia sana mama yangu....But baada ya kugundua kuwa atleast saffering alizonipa zimenifanya niwe mchakalikaji wa kujitafutia life{not dependat} nikapata nafasi ya kumpatia nafasi yake tena maishani mwangu.
For the life she is in she real needs me now more than ever and I am glad to help her.
Think twice na umsamehe Mama yako
kweli kabisaKatavi,haya ni ya kusikia tu,usiombe yakukute!
Mh... hii mbona inanihuzunisha?Hi natumai mu wazima!Hey plz woman don't get angry with me!Natumia mimi mwenyewe kama mfano;Nilizaliwa pamoja na ndugu zangu wawili hivyo tukawa wa3,wakati tukio linatokea mimi ndo nilikuwa mdogo kuliko wengine,mama yetu alitutelekeza jioni na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine,wakati huo my Late father(may his soul rest in peace)alikua amesafiri kikazi,toka siku hiyo sikumwona mama mpaka nilipotimiza umri wa miaka 13,tuliishi na baba bila ya baba kuoa coz hakutaka mapema tuteseke,mama alipokuja alituona kwa dakika chache tena kwa kulazimishwa na baba,Alipoondoka sikumwona mpaka nilipotimiza miaka 25 alipolazimishwa na marehem babu(apumzike kwa amani)ambae ni baba yake,tulikuja kuonana tena hosptl wakati babu anaumwa na hapo ni baada ya miaka mi3,mara ya mwisho nilimuona mwaka jana nilipoamua kwenda kumwona,kumbuka kwenye msiba wa baba hakuja,to be hornest with u,i don't feel anything for her!Pia sijui umuhimu wake,wala sijui mapenzi ya mama.Napenda nieleweke kua simchukii,najua yeye ni mama yangu,alinizaa na alininyoshesha,lakini haza ni majukumu yake!Hajawahi kunishawishi kwa njia yoyote kuwa yeye ni mama!Sasa kama huyu aliesikia uchungu kwaajili yangu yupo hivi,nitaona vipi umuhimu wa akina mama?Je kama mimi tupo wangapi?JE NI NANI KAMA BABA,I LOVE HIM MUCH,I WISH HE COULD BE HERE!