This is why all mama mean nothing to some people!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,709
Hi natumai mu wazima!Hey plz woman don't get angry with me!Natumia mimi mwenyewe kama mfano;Nilizaliwa pamoja na ndugu zangu wawili hivyo tukawa wa3,wakati tukio linatokea mimi ndo nilikuwa mdogo kuliko wengine,mama yetu alitutelekeza jioni na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine,wakati huo my Late father(may his soul rest in peace)alikua amesafiri kikazi,toka siku hiyo sikumwona mama mpaka nilipotimiza umri wa miaka 13,tuliishi na baba bila ya baba kuoa coz hakutaka mapema tuteseke,mama alipokuja alituona kwa dakika chache tena kwa kulazimishwa na baba,Alipoondoka sikumwona mpaka nilipotimiza miaka 25 alipolazimishwa na marehem babu(apumzike kwa amani)ambae ni baba yake,tulikuja kuonana tena hosptl wakati babu anaumwa na hapo ni baada ya miaka mi3,mara ya mwisho nilimuona mwaka jana nilipoamua kwenda kumwona,kumbuka kwenye msiba wa baba hakuja,to be hornest with u,i don't feel anything for her!Pia sijui umuhimu wake,wala sijui mapenzi ya mama.Napenda nieleweke kua simchukii,najua yeye ni mama yangu,alinizaa na alininyoshesha,lakini haza ni majukumu yake!Hajawahi kunishawishi kwa njia yoyote kuwa yeye ni mama!Sasa kama huyu aliesikia uchungu kwaajili yangu yupo hivi,nitaona vipi umuhimu wa akina mama?Je kama mimi tupo wangapi?JE NI NANI KAMA BABA,I LOVE HIM MUCH,I WISH HE COULD BE HERE!
 
Kwanza pole sana kwa uliyopitia.
na Pole zaidi kwa kumpoteza baba pamoja na babu..

Nadhani kwa kila mtu ni tofauti
Hii situation yako nimeona sana na
binafsi nimekumbana nayo ila kwa mimi
ni baba ... ni wanawake wachache sana
wanao kataa au kutowatunza wanao lakini
asilimia kubwa nilioongea nao ni baba ndo anaekimbia familia..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Pole sana,naomba unielewe sikulazimishi kunielewa nikiwa kama mwanamke kumbuka kua MAMA ni mama tu na hakuna atakae chukua nafasi yake
hujui nini kilimsibu mpaka akatoweka siamini kama aliwaacha bila sababu ya msingi,au jaribu kukanae chini umulize kila suali linalokukera ndani ya moyo wako lazima atakua na sababu, kuto kuja kwenye msiba wa Mzee wako pia hakumfanyi wewe umchukie sababu walisha achana juuyakua alikua mzazi mwenzie,na usisahau labda alikua na majukumu najua una uchungu kulelewa na mzazi mmoja wakati mama yuko hai niamani atakua na sababu yakufanya alio yafanya nenda kamuone Mama kaanae chini muongea am sure mtayamaliza kwa salama na amani.
 
Mwana umenigusa sana, yalinikuta hayo pia,my mama aliachana na baba nikiwa na miezi sita tuu, sikuwahi kumwona mpaka nilipokuwa na 14 years, ukweli nilikataa kumkubali kwamba yeye ndo mama yangu, sasa nimekuwa mtu mzima lakini kiukweli mpaka na leo sina mapenzi nae,sisemi namchukia, ila sijamzoea nimejitahidi lakini kiukweli nashindwa, nikimtembelea sanasana tutakaa pamoja kwa masaa matatu tu. Ukweli hakuna kosa kubwa wanafanya mama zetu kama kutelekeza watoto.
 
Arabianfalcon,najua hakufanyiwa lolote na baba coz baba yake mama ambae ni babu aliniambia hayo,ok lets say alimtenda how is that have anthing to do with us?Bado tulikua na tutaendelea kuwa hivyo,whay hakututafuta?Hata kutuletea hata shati kwamba wanangu chukueni mashati?Sory AF i don't buy this!
 
Aisee,

Situation yako imenitia huzuni kwa kiasi fulani. But kumbuka hakuna kama Mama are you sure huyo unayemwita Baba yako (RIP) alikuwa ni Baba yako kabisa siongei kwa ubaya tafadhali nielewe. But mama huwezi singiziwa hata kidogo, unajua kuna kitu hutokea usimlaumu sana mama yako hujui ni kwa sababu gani walitengana na baba yako na nini kilimtia hasira kiasi hicho. Mpaka akawa anawachukia watoto wake but acha nikwambie ukweli hata kama unasema hataki kuwaona but ukweli uko pale pale mama hapo alipo huwa anasikia uchungu na kuwakumbuka watoto wake asikwambie mtu bana. "UCHUNGU WA MWANA AUJUAE MZAZI"
 
The Hunter,tuzoee tu!Hiyo ndo hali halisi!Nakereka sana ninapoona kila lawama zinapelekwa kwa akina baba!
 
Hi natumai mu wazima!Hey plz woman don't get angry with me!Natumia mimi mwenyewe kama mfano;Nilizaliwa pamoja na ndugu zangu wawili hivyo tukawa wa3,wakati tukio linatokea mimi ndo nilikuwa mdogo kuliko wengine,mama yetu alitutelekeza jioni na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine,wakati huo my Late father(may his soul rest in peace)alikua amesafiri kikazi,toka siku hiyo sikumwona mama mpaka nilipotimiza umri wa miaka 13,tuliishi na baba bila ya baba kuoa coz hakutaka mapema tuteseke,mama alipokuja alituona kwa dakika chache tena kwa kulazimishwa na baba,Alipoondoka sikumwona mpaka nilipotimiza miaka 25 alipolazimishwa na marehem babu(apumzike kwa amani)ambae ni baba yake,tulikuja kuonana tena hosptl wakati babu anaumwa na hapo ni baada ya miaka mi3,mara ya mwisho nilimuona mwaka jana nilipoamua kwenda kumwona,kumbuka kwenye msiba wa baba hakuja,to be hornest with u,i don't feel anything for her!Pia sijui umuhimu wake,wala sijui mapenzi ya mama.Napenda nieleweke kua simchukii,najua yeye ni mama yangu,alinizaa na alininyoshesha,lakini haza ni majukumu yake!Hajawahi kunishawishi kwa njia yoyote kuwa yeye ni mama!Sasa kama huyu aliesikia uchungu kwaajili yangu yupo hivi,nitaona vipi umuhimu wa akina mama?Je kama mimi tupo wangapi?JE NI NANI KAMA BABA,I LOVE HIM MUCH,I WISH HE COULD BE HERE!

Hawapendi kusikia hili neno wenzako_yaani wanaona ni bora ungenyamaza kimya,...kuna kesi nyingi sana tena za kikatili ambazo wanawake ndio watendaji lakn mara zote wanataka kusikia ya kupongezwa na kupambwa(at least umejitoa mhanga hata kama wakipiga mawe ujumbe umewafikia).
 
Hii ndio kwanza naisikia, wengine tulitelekezwa na baba. Pole sana kwa mkasa uliokukumba, jaribu kufuatilia labda sio mama yako mzazi....
 
[/COLOR]
Hawapendi kusikia hili neno wenzako_yaani wanaona ni bora ungenyamaza kimya,...kuna kesi nyingi sana tena za kikatili ambazo wanawake ndio watendaji lakn mara zote wanataka kusikia ya kupongezwa na kupambwa(at least umejitoa mhanga hata kama wakipiga mawe ujumbe umewafikia).
Yes, wapo akina mama wakatili lakini hii ya kutelekeza watoto ni ukatili zaidi.
 
Aisee,

Situation yako imenitia huzuni kwa kiasi fulani. But kumbuka hakuna kama Mama are you sure huyo unayemwita Baba yako (RIP) alikuwa ni Baba yako kabisa siongei kwa ubaya tafadhali nielewe. But mama huwezi singiziwa hata kidogo, unajua kuna kitu hutokea usimlaumu sana mama yako hujui ni kwa sababu gani walitengana na baba yako na nini kilimtia hasira kiasi hicho. Mpaka akawa anawachukia watoto wake but acha nikwambie ukweli hata kama unasema hataki kuwaona but ukweli uko pale pale mama hapo alipo huwa anasikia uchungu na kuwakumbuka watoto wake asikwambie mtu bana. "UCHUNGU WA MWANA AUJUAE MZAZI"
Tatizo hamtaki kukubaliana na ukweli wa kwamba hata nyie wanawake mna moyo wa kikatili_ndio maana unaleta hoja za kung'ang'aniza ili tu muonekane watu wema na wenye huruma,...hamna kitu hapo kuna wanawake wabaya zaidi wanyama
 
Dena,nani kama mama for what?Kama mtu ameteseka kwa miezi tisa halafu anakufanyia mambo ya ajabu ana maana?Trust me hakufanyiwa lolote baya na baba!I'm sure of that!Awe ni baba yangu wa ukweli ama la i don't care!What i knw ni kwamba alinilea na kunipenda kwa miaka 27 mpaka alipofariki,what else should i care?
 
Dena,nani kama mama for what?Kama mtu ameteseka kwa miezi tisa halafu anakufanyia mambo ya ajabu ana maana?Trust me hakufanyiwa lolote baya na baba!I'm sure of that!Awe ni baba yangu wa ukweli ama la i don't care!What i knw ni kwamba alinilea na kunipenda kwa miaka 27 mpaka alipofariki,what else should i care?
Pole sana mkuu_huo alikuwa baba yako wa ukweli kabisa....so sad.
 
Pole eiyer, haya mambo yanaumiza sana na ukiwa unayasikia tu kwa watu yanaonekana ni mepesi. hii thread imenikumbusha thread ya cathode rays (namtafuta aje aseme kitu hapa).
 
IGWE,there is nothing to hide,kama kuna wakina mama wasiojijua lazima tuseme,kama hawataki,to hell!
 
Katavi,haya ni ya kusikia tu,usiombe yakukute!
 
IGWE,there is nothing to hide,kama kuna wakina mama wasiojijua lazima tuseme,kama hawataki,to hell!
Yap_tusipokuwa makini muda si mrefu watatuzidi kete na tutaanza kushikana uchawi na kuanza kuunda vyama vya kutetea haki za wanaume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom