Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 796
Well said mkuu, jamaa ana lugha chafu balaa, hata anaowatukana hawajui
Wazo lilikua zuri sana ila hapo kwenye lugha ndugu yangu umeharibu,hakika ukitaka kudumu kazini cha kwanza lugha na kitu cha pili muheshimu kila unaekutana nae,kuna walinzi ila wao maofisini ndio wana final say ya nani achukuliwe sababu tu ya connection yake na boss.
Pia elewa connection sio mpaka mtu akueleze lete Bahasha hapa NO mtu akikueleza tu kuna nafasi ofisi flani kaombe pia ni connection maana siku hizi kazi nyingi hazitangazwi. Sasa ulichokifanya hapa hujatengeneza ila umeharibu wewe ni kijana mwenzangu mtafutaji kama mimi ila huu mtindo ubadilishe kwanza mambo yataenda,achana na mob kwa kusema connection iwekwe kwa wote sababu hilo haliwezekani unapaswa usimame wewe kama wewe na ujenge imani ya watu,tatizo la connection ukimpa mtu akaenda akaharibu anakua ameharibu kwake na kwa uliempa nyote mtaonekana hamna maana,hivyo jirekebishe ndugu.
Ahsante sana


