Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,199
yani mtu mmoja kama huyo anaweza kuwa brainwash mijitu mizima ya ccm na wakaona hela za rushwa ni bora kuliko mali za nchi yao.hii inasabibishwa kuwa na viongozi malimbukeni na waoga wa maisha ya uraia kwani hawana elimu ya kuweza kujitafutia mali kwa jasho lao.