This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

Sometimes unaweza ukakufuru Mungu kwa kuumbwa Mtanzania.
Mungu apishilie mbali.
 
Tueleze habari ya KAGODA na Rostam,Hii nyingine ni hadithi ya kawaida,mbona hauwataji wengine waliouziwa mitambo na kampuni za nje,kutumika kwa mitambo kuchimba madini ni jambo la kawaida kabisa,mbona hata wewe ukitaka kulima unakodisha trekta,iweje kwa Rostam tu,Elezea mada yako kwa data na siyo simulizi,hiyo ndiyo biashara yake ya kukodisha mitambo.LABDA utueleze kwa data ni kiasi gani cha madini kimeuzwa Iran na Rostam,Kuhusu kuwa mtu wa Iran bado si hoja mbona wako wahindi ambao ni watanzania lakini wanajua mpaka kao India.na wengie Wanyarwanda lakini waTZ.jenga hoja wacha hadithi.

Usituhamishe kwenye hoja ,hii sio hadithi hata kama ni hadithi vipi kuhusu ujasusi
 
Ukweli kuhusu Rostam Azizi

Ukurasa mpya wa nchi ulifunuliwa baada ya kifo cha baba wa Taifa mwalimu Nyerere kwa kuingiliwa kijanja na taifa la nje ambalo linafanya maamuzi ya kiungozi bila watanzania wenyewe kufahamu kwa kujipenyeza kwenye uongozi wa chama cha mapinduzi CCM watu ambao kabla ya kifo cha mwalimu Nyerere haikuwezekana kushika nafasi za uongozi ndani ya chama hicho.

Mambo haya yanawezekanaje ?
Ikumbukwe kwamba wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere Nchi ya Irani ilikuja Tanzania kujenga mradi wa barabara ya Lindi –Kibiti lakini muda mfupi mwalimu Nyerere alisitisha ujenzi huo baada ya kugundua kuwa nchi hiyo ilikuwa na wazo la kuitawala Tanzania nasio kutekekeleza mradi huo . Kwa wale wasio jua kipindi hiki, ilikuwa ni miaka ya themenini kabla mwalimu Nyerere hajag'atuka uongozi.

Iran baada ya kutimuliwa kwenye mradi huo ,ilimkabidhi Rostam Azizi mitambo yote ya ujenzi ambayo ingetumika kwa ajili ya ujenzi wa mradi huo,ingawa hakuna anyejua walifahamiana vipi na Rostam Azizi.

Watu wanaomfahamu Rostam Azizi wanasema yeye ni miongoni mwa wa Irani waliopo Tanzania ambaye kwa sasa makazi yake yako Igunga mkoani Tabora , ndugu zake wakaribu wengi wao wanapatikana katika maeneo Mwisi ,Sungwizi , Ndembezi,Bukene ,Mwamala na Itobo mkoani humo ,huku wengine wakiishi Lujewa mjini , mbarali mkoani Mbeya wakilima mpunga.

Nini uhusiano kati ya Rostam Azizi na Iran na zana za ujenzi alizokabidhiwa ,kampuni ya ujenzi wa Caspian construction Tanzania ilianzishwa kwa mtaji wa vifaa hiyo alivyokabidhiwa na Iran,kampuni ambayo pia imefahamika baadaye kuwa ni moja ya matawi ya kampuni mama ya Caspian.

Mitambo hiyo tangu wakati huo inaendelea kutumika kuchimba madini kwenye migodi yote hapa nchini .

Caspian Tanzania haichukui tenda za kuchimba madini moja kwa moja ila kwa mara ya kwanza ilipita kwenye kampuni iliyojenga hospitali ya Rufaa ya Mbeya mitambo yake ambayo ilikuwa ikihifadhiwa eneo la Pugu Road Daresalam baada ya kumaliza ujenzi wa hospitali . kampuni hiyo ilitoweka katika mazingira tata.

Kazi ya uchimbaji madini kwenye migodi yote nchini tangu mwanzo inaonekana kufanywa na mitambo ya kampuni ya Caspian construction ya afrika kusini lakini ukweli ni kwamba kampuni ya Caspian Tanzania ambayo mmliki wake ni Rostam Azizi ndiyo inayojishugulisha na kazi hiyo kwa kivuli cha Caspian ya Afrika kusini.


Tunataka Dunia ijue kuwa Tanzania imevamiwa na Iran na kila anayeiunga mkono Tanzania anaiunga mkono Iran kwa sababu ,mitambo ya Caspian construction Company Tanzania ambayo inamilikiwa na Rostam Azizi ndiyo inayochimba madini kwenye migodi yote hapa nchini ,sehemu ya madini hayo yanapelekwa ulaya ,lakini sehemu kubwa ya madini yote yanakwenda Iran kupitia Caspian construction company.

Kampuni hiyo pia ndiyo inayoamua mchanga kutoka mgodi upi upelekwe nje ya Tanzania ,Ni kampuni hii ambayo pia inapeleka ulaya Sehemu ndogo ya madini hayo kuwapumbaza watanzania wasijue Irani inavyowaibia madin yao.

Vianzo huru vinaweka bayana kuwa asilima 3 ya marahaba inayopata Tanzania inatokana na kiasi cha madini yake yanayokwenda ulaya,wakati sehemu yote ya madini yanayopelekwa Iran hayatozwi chochote ukiachilia mbali mchanga ambao pia unauzwa Dubai kwa ajili ya kujengea hoteli za kifahari na kunakshi mazingira ya hoteli hizo.

Mbali na Tanzania kuibiwa madini yake ,Marekani ambalo ni Taifa kubwa duniani kwa miaka mingi linapambana na ugaidi duniani , vyanzo vya uhakika vinathibitisha kuwa haliwezi kutimiza jukumu hilo bila kwanza kukata mizizi ya Iran iliyojikita nchini Tanzania ambako inachukua bure mdini ya uranium kupitia kampuni ya Caspian construction Tanzania .

Kwa hiyo Rais wa marekani Baraka Obama kuendelea kuumbatia utawala wa Jakaya kikwete ni kuiunga mkono Iran, iwe inajua au haijui huo ndiyo ukweli na ndiyo maana hadi sasa Iran inakiburi katika kutekeleza vikwazo vya kimataifa dhidi ya urutubishaji wa madini ya uranium kwa kuwa ina hazina kubwa ya madini hayo kutoka Tanzania na kwamba Marekani bila kujijua iko nyuma yake.

Kupitia makala haya tunamwonesha marekani,washirika wake katika vita dhidi ya ugaidi na watanzania kuwa wakala wa moja kwa moja wa shirika la jasusi la Iran hapa Tanzania ni Rostam Azizi na namna anavyoendesha shughuli zake za kijasusi kwa ajili ya Iran.

Rostam Azizi ana vituo vikuu viwili Afrika kusini na Ujerumani ambako hukutana na maafisa wa shirika hilo la ujasusi la Iran wanaompangia kazi ingawa kituo chake kikubwa ni ujerumani .Mara zote anapoondoka hapa nchini anaaga kwa visingizio tofauti ikiwemo kupelaka mgonjwa.

Hajawahi hata mara moja kwenda Iran na kama amewahi kufanya hivyo ni kwa siri na kupitia nchi nyingine ,hii ina maanisha nini ?anawaghiribu wa Tanzania wasifahamu ujasusi wake na hivyo amefanikiwa kuikwepa idara ya ujasusi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi imejigamba kuwa na uwezo mkubwa wa kazi. Kama sivyo Jasusi huyu amefanikiwa kuinunua Idara hiyo.

Iran inafahamu kwamba kikwete anafahamu ujasusi wa Irani hapa nchini ,lakini anaogopa kuchukua hatua dhidi yao akihofia kuhatarisha maisha yake ,kwani amejipeleka mno kwao hata ameozwa mtoto wa Megheji na mtoto wa Asas ambaye harusi yake ilifanyikia kwenye hifadhi ya Taifa ya Ruaha katika mkoa wa Iringa, wote hawa ni wa Iran.

Ndiyo maana ubadhilifu wote unaofanywa na Rostam Azizi kikwete anashindwa hata kuukemea sembuse kuchukua hutua za kisheria? Kwa hiyo kitendo cha Jakaya kikwete alipokuwa igumga wakati wa kampeni zake za Urais kumunadi Rostam Azizi kuwa ni mtu safi hazikuwa za kubahatisha na zinatoa picha kuwa bila Rostam Azizi kikwete hawezi kuongoza nchi.

Inaendelea--------------[/QUOTE)

MTOTO WAKE ANAITWA PATRIC ROSTAM ALIBAKA MTOTO WA MUGABE MWAKA JANA

mkuu heshima mbele kwa mada, ila sidhani kama IRAN inajihusisha na RA kama nchi au serikali bali ni watu wachache (wa IRAN) ambao wameona opportunity iliyopo Tanzania, na kwasababu hiyo hata marekani watakuwa na interest na RA ili waweze ku-monitor nyendo zao na hao wa-IRAN hasa kwenye Uranium! na hili linapoteza interest kwa mtanzania wa kawaida kwani ni ngumu kuelewa!!!

linalotuhusu sana ni la humu ndani, pale ambapo RA ana-control viongozi wakuu wa nchi na hata inakuwa aibu kwao! tunachohitaji ni watu wachache tu ndani ya CCM kujitoa mhanga ili mtu huyu apoteze nguvu alizo nazo (iwe ni uanachama wa CCM, ubunge na hata uraia) hilo kwanza na mengine rahisi!!!!
 
ya kagoda yameisha kwisha kwani hat mawakili wetu na majaji sio waaminifu, Mfano wanasheria wetu waoga na wanapenda sana cha juu kuliko kuhurumia nchi yao zidi ya wahujumu uchumi, kama kweli wanauchungu na nchi yetu angejitokeza mwanasheria kuwashitaki mafisadi kama Kagoda, lakini badala yake wanawashauri wafiche pesa na kuwaambia kuwa wakizionyesha au kuzirudisha kama alivyosema JK watakuwa ameonyesha ushahidi kuwa waliiba, nasikia kagoda karudisha baadhi hivyo hakuna uwezekano tena wa kuishitaki kwani wamekamilisha masharti ya Rais
 
Hiyo mitambo Rostam alikabidhiwa mwaka gani?Baada ya kufa Mwalimu au Kabla?Mwalimu alistaafu Urais 1985!Na hiyo Caspian ilianzishwa lini na kupewa hizo tenda katika migodi?
Hivi Kikwete na wake wangapi?Mara Al kharusy mara Mkwe wa Mama Megji mara huyo mara yule!This is too much kwa kweli!
 
Mkuu umesema mengi ila tatizo hasa la rostam ni nini katika insha yako?

Ni kupewa mitambo na Irani au ni Kuchimba madini au ni kuwa mwakilishi wa nchi ya irani?

mimi naona aibu sana kujaribu kujenga hoja ambazo sina uthibitisho nazo mezani sijui wenzangu.
 
Nimejaribu kupitia Habari ya BWana Iwangwa, lakini mimi nina mtazamo unaopingana kidogo na mtoa mada
naomba ieleweke kuwa mimi sio kama namtetea Rostam lakini habari zinapokuja humu basi angalau ziwe na ukweli kwa kiasi fulani ili tunapounganisha doti basi tuwe na uhakika na tunachokiongea na kukijadili

Sikweli kuwa Caspian wanachukua madini ya Tanzania kwa sasa labda ni kwa siri kubwa sana na ndio tunaitaka hiyo siri,
Caspian imekuwa registered kama construction Company, kama aliachiwa vifaa na hao jamaa wa Iran inawezekana lakini kwa hizi mining equipment/Machines nyingi huwa wanazipata kwa njia ya mkopo hasa pale wanapopata tender ya kufanya mining, wapo wengi tu (KASSCO) waliopata hizo Machines kwa mikopo baada ya kuonyesha mikataba waliopata kwenye mining

Migodi ya Tanzania ni
Bulyanghulu, Buzwagi,Tulawaka, Northmara-Hii migodi hipo chini ya Barrick ambayo ni kampuni ya waCanada na makao makuu yapo huko Canada, japo wana zonal office kila sehemu zenye migodi, kwa zonal ya Africa makao makuu yapo J,Burg
Geita gold mine-Huu mgodi unamilikiwa na Wamarekani (Anglo-Gold) wakiwa pamoja na waghana (Ashanti)
Resolute-Nzega hu mgodi unamilikiwa na Wa Australia
Mwadui Diamond-Huu mgodi unamilikiwa na Wa-South african na Watanzania

katika hiyo migodi Rostam hayupo humo wala hana share humo, isipokuwa Rostam alipata kazi ya kufanya mining kwenye Baadhi ya Migodi (Resolute, Tulawaka, Diamond-Mwadui, Nmara), na ni ukweli usiopingika kuwa alipata hizo kazi isivyo halali kwani kampuni yake imekuwa registered kama Construction na sio kama Mining Company hivyo hakupaswa kupewa hizo kazi za Mining

Kuhusu Uranium, hapo Rostam hawezi tia Mguu kabisa, huo ni mzigo wa Wamarekani na wao wameshaanza kuumonitor tangu miaka mingi, Rostam anaweza kuingia pale kama mining company (Caspian) na anaweza kupewa hiyo kazi kwa sababu ana uzoefu wa mining lakini sio kwa kuonga wala kwa hila (walioomba kumine hiyo Uranium ni wengi na hata Caspian wameomba)

Point ambayo naweza kukubaliana na wewe ni kuwa, Rostam kama yeye ama kama hao Wairan inawezekana wana stratergies za kuingia (sasa bado hajaingia) kwenye hayo mambo ya Madini na Energy kwa hapa Tanzania, na kwa kuanzia Rostam alihakikisha anaitawala wizara ya nishati na madini, kwa kuweka watu ambao atawahitaji Kalamagi, Ngereja, Kafumu, aliyekuwa mkurugenzi wa Tanesco (Rashid) ,

Kwenye sekta ya energy (Umeme) alichofanya Rostam hakuna asiyekijua

Kuhusu swala la madini, cha kwanza alichokifanya ni kuakikisha anapewa kazi ya kumine kinguvu, nasema kinguvu kwa sababu hao jamaa wenye migodi walikuwa wanasign mikataba isiyokuwa na kichwa wala miguu na ten % kubwa aliyokuwa anapewa Kalamagi ni hofa ya kufanya Mining na hili lilifanyika chini ya Rostam kwa kumine na kampuni ya Construction (Not mining Company) sio siri jamaa (Caspian) walikuwa wanauwezo wa kutengeneza zaidi ya 100m kwa siku kwenye mgodi mmoja na alikuwa anafanya (ana-mine) migodi minne (Diamond-mwadui, Tulawaka, Resolute na NorthMara), kuna uchafu mwingi sana ambao Rostam ameshiriki kuiangamiza hii nchi hasa kwenye mikataba hii tulioingia kwenye sekta ya nishati na madini (mimi huwa naiita wizara ya Rostam, kaimaliza kuanzia nywele mpaka....)

Angalizo
Kwa kutumia hiyo wizara na hao watu wake wizarani, Rostam amefanikiwa kupata eneo maeneo ya Kahama na soon ataanza kumine akiwa ni mmiliki wa Mgodi
 
Hii imekaaje hii, mbona yafanania muvi fulani hivi au novel fulani nilisomaga, this is tooooooooooooooooooo much pliz.

Kwa kweli mambo yanavyoenda nchini humu utadhani ni muvi. Inauma sana sana. Najisikia kulia kwa uchungu. Haki huinua Taifa, dhuluma na rushwa huleta laana katika nchi yetu.
 
"Mbali na Tanzania kuibiwa madini yake ,Marekani ambalo ni Taifa kubwa duniani kwa miaka mingi linapambana na ugaidi duniani , vyanzo vya uhakika vinathibitisha kuwa haliwezi kutimiza jukumu hilo bila kwanza kukata mizizi ya Iran iliyojikita nchini Tanzania ambako inachukua bure mdini ya uranium kupitia kampuni ya Caspian construction Tanzania."


Mdau amekuja na hoja nzuri ila inahitaji backup, CIA bado hawana hizi taarifa? maana wangeshachukua hatua kali, nakumbuka marekani na UN walikuja juu sana Iran ilivyotaka tu kurutubisha madini ya uranium Brazil, hivyo mdau aturidhishe zaidi kuhusu Iran kunufaika na Uranium yetu (maana hili ni zito), nimeamua ku-argue namna hii lakini ni mpambanaji wa vita dhidi ya mafisadi (manyang'au) wanaotuibia rasilimali zetu.
 
Mungu anaanza kushughulika na vilio vya Watanzania maskini.Jambo usilolijuwa ni usiku wa giza. Kagoda, Richmond ni mambo yanayofahamika. Lakini hili jipya gumu. LINAWEZA kuwa linaeleza kiburi cha huyu RA?
This is a serious matter.Sisi hawa hatuwezi kuzijuwa facts. Lakini ukaribu huu usio wa kawaida kwa Rais wetu na sasa kwa Speaker wa bunge, na hata kwa EL anayesemwasemwa kuutafuta Uraisi wa nchi yetu baada ya JK is also an interesting and an amazing story. Is it a mere happen stance or a calculated move?!!! Lakini ni kweli pia anachimba uranium? Anaweza kutuambia anauza wapi? Je ni kweli anauza dhahabu,je anasafirisha mchanga nje?Tumekuwa na wahindi wengi sana toka nyakati za uhuru lakini hatujaona vituko kama vya huyu muirani.KUNA JAMBO.Mazingara haya yanaeleza jambo.
 
Nimejaribu kupitia Habari ya BWana Iwangwa, lakini mimi nina mtazamo unaopingana kidogo na mtoa mada
naomba ieleweke kuwa mimi sio kama namtetea Rostam lakini habari zinapokuja humu basi angalau ziwe na ukweli kwa kiasi fulani ili tunapounganisha doti basi tuwe na uhakika na tunachokiongea na kukijadili

Sikweli kuwa Caspian wanachukua madini ya Tanzania kwa sasa labda ni kwa siri kubwa sana na ndio tunaitaka hiyo siri,
Caspian imekuwa registered kama construction Company, kama aliachiwa vifaa na hao jamaa wa Iran inawezekana lakini kwa hizi mining equipment/Machines nyingi huwa wanazipata kwa njia ya mkopo hasa pale wanapopata tender ya kufanya mining, wapo wengi tu (KASSCO) waliopata hizo Machines kwa mikopo baada ya kuonyesha mikataba waliopata kwenye mining

Migodi ya Tanzania ni
Bulyanghulu, Buzwagi,Tulawaka, Northmara-Hii migodi hipo chini ya Barrick ambayo ni kampuni ya waCanada na makao makuu yapo huko Canada, japo wana zonal office kila sehemu zenye migodi, kwa zonal ya Africa makao makuu yapo J,Burg
Geita gold mine-Huu mgodi unamilikiwa na Wamarekani (Anglo-Gold) wakiwa pamoja na waghana (Ashanti)
Resolute-Nzega hu mgodi unamilikiwa na Wa Australia
Mwadui Diamond-Huu mgodi unamilikiwa na Wa-South african na Watanzania

katika hiyo migodi Rostam hayupo humo wala hana share humo, isipokuwa Rostam alipata kazi ya kufanya mining kwenye Baadhi ya Migodi (Resolute, Tulawaka, Diamond-Mwadui, Nmara), na ni ukweli usiopingika kuwa alipata hizo kazi isivyo halali kwani kampuni yake imekuwa registered kama Construction na sio kama Mining Company hivyo hakupaswa kupewa hizo kazi za Mining

Kuhusu Uranium, hapo Rostam hawezi tia Mguu kabisa, huo ni mzigo wa Wamarekani na wao wameshaanza kuumonitor tangu miaka mingi, Rostam anaweza kuingia pale kama mining company (Caspian) na anaweza kupewa hiyo kazi kwa sababu ana uzoefu wa mining lakini sio kwa kuonga wala kwa hila (walioomba kumine hiyo Uranium ni wengi na hata Caspian wameomba)

Point ambayo naweza kukubaliana na wewe ni kuwa, Rostam kama yeye ama kama hao Wairan inawezekana wana stratergies za kuingia (sasa bado hajaingia) kwenye hayo mambo ya Madini na Energy kwa hapa Tanzania, na kwa kuanzia Rostam alihakikisha anaitawala wizara ya nishati na madini, kwa kuweka watu ambao atawahitaji Kalamagi, Ngereja, Kafumu, aliyekuwa mkurugenzi wa Tanesco (Rashid) ,

Kwenye sekta ya energy (Umeme) alichofanya Rostam hakuna asiyekijua

Kuhusu swala la madini, cha kwanza alichokifanya ni kuakikisha anapewa kazi ya kumine kinguvu, nasema kinguvu kwa sababu hao jamaa wenye migodi walikuwa wanasign mikataba isiyokuwa na kichwa wala miguu na ten % kubwa aliyokuwa anapewa Kalamagi ni hofa ya kufanya Mining na hili lilifanyika chini ya Rostam kwa kumine na kampuni ya Construction (Not mining Company) sio siri jamaa (Caspian) walikuwa wanauwezo wa kutengeneza zaidi ya 100m kwa siku kwenye mgodi mmoja na alikuwa anafanya (ana-mine) migodi minne (Diamond-mwadui, Tulawaka, Resolute na NorthMara), kuna uchafu mwingi sana ambao Rostam ameshiriki kuiangamiza hii nchi hasa kwenye mikataba hii tulioingia kwenye sekta ya nishati na madini (mimi huwa naiita wizara ya Rostam, kaimaliza kuanzia nywele mpaka....)

Angalizo
Kwa kutumia hiyo wizara na hao watu wake wizarani, Rostam amefanikiwa kupata eneo maeneo ya Kahama na soon ataanza kumine akiwa ni mmiliki wa Mgodi

Hapo nachanganyikiwa maana naona unajicontradict tena unaposema Sikweli kuwa Caspian wanachukua madini ya Tanzania na wakati huo huo tunamwona huyu Fisadi akiwa na mkono wake kwenye migodi 4 kama ulivyoainisha. Nakushukuru na ninamshukuru sana aliyeleta hii mada kwa kutufungua macho. Huyu RA akitoka nadhani hata wazawa wa CCM waliovaa kutu za kifisadi wataanza kuwa binadamu, maana wote ni kama wanyama tena wale wanaoweza tafuna watoto waliowazaa
 
weel ukitaka jiulize swali moja kubwa, nchi ya Iran ndio ilofadhili ujenzi wa dodoma Uiversity(kwa % ngapi sina uhakika), iran imejenga mitambo ya nuklia hivi karibuni,mitambo hiyo inatumia sana uranium km mojawapo ya product,Rostam ana ni chimba madini, Dodoma kuna URANIUM, tafakari na chukua hatua kama unaweza...!!

Jamani jamani nji hiii? Lol!:caked:
 
Nafikiri kuna jambo ambalo halijakaa sawa apa.

Yabidi sote tuelewe namna migodi inavyofanya kaz na nafasi ya Caspian katika migodi ya tanzania.

Shughuli ya uchimbaji madini huhusisha makampuni mengi ambayo ujulikana kama sub-contractors, makampuni haya ufanya kazi za blasting, fuel supply, repair & maintenance of machinery, security, food supply, fuel supply, supply ya explosives, supply ya heavy machinery etc.

Kampuni ya Caspian yenyewe imejkita katika shughuli za heavy duty machinery zinazotumika katika shughuli ya uchimbaji.

Vile vile yabidi wote muelewe ya kuwa migodi ya tanzania ina uwezo mdogo sana wa kurefine dhahabu inayochimbwa apa. Kutokana na ilo dhahabu nying na mchanga upelekwa uko Japan for processing kwa kuwa uko ndiko kuna viwanda vya kisasa na vyenye uwezo mkubwa wa shughuli iyo. Vile vile kuna makampuni machache uko ulaya hasa ujerumani zenye uwezo wa kuprocess dhahabu.

Suala la Uranium, nafikiri wote tunajua kuwa kwa Tanzania hazina kubwa ya Uranium inapatikana uko wilaya ya Bahi, dodoma na maeneo ya mtwara karibu na mto mkuju.

Wawekezaj wa kubwa na wamiliki wa kubwa wa leseni za kuchimba Uranium apa nchini ni kampuni kutoka Australia. Kwa kina zaid fatilia taarifa za stock exchange za Australia. vile vile vyanzo vingine vya habari katika eneo hili la extractive industry ni stock exchange ya Canada. Makampuni ya madini yaliyowekeza nchi mbalimbali pamoja na yale yanayotafit madin uchapisha taarifa zao kila baada ya miez 3 katika masoko aya ya hisa.

Ningependa tuwe na kawaida ya kutembelea majarida kama aya kwa taarifa za kina.
 
Wana JF, naona ndugu yetu Muro ameona kama hii story ni ya kawaida sana kwake wakati sisi wengine tumeungana na Mageuzi 1992 kwenda kunywa maziwa na asali ili kuweza kuisoma tena hii case study, hebu ndugu yetu Muro tueleze zaidi kuhusu huyu RA, inaonekana you're three steps ahead.
Pls napenda kujua pia kuhusu connection ya RA na Kagoda pamoja na kwamba kesi imekwisha.
 
Anayoyasema mtoa hoja yana msingi,kwa kuongezea ni kwamba kwao si Igunga ni Nzega ambako ndiko familia imeishi kwa muda mrefu na kuhusika sana na biashara haramu ya pembe za ndovu Igunga alitokezea kiubunge tu.Na mali zake nyingi anashughulikia kaka yake anaitwa Bahram na ofisi yake iko Mirambo hapo,si rahisi kuona sehemu huyu jamaa ana umiliki wa moja kwa moja na anafanya hivyo ili kikitokea chochote asifilisiwe.Na hao ccm wanaopewa mabilioni na mtu ambaye vyanzo vyake vya hela haviko wazi ndio wanaotakiwa kuchukuliwa hatua,kuna sheria ya fedha za uchaguzi inakataa fedha chafu lakini wenzetu ccm wanampa nafasi mwizi anaiba halafu anawachangia huku wakimpa misifa kem kem ingali wanajua fedha hizo ni chafu mpaka nafasi ya CC wamempa kisa ya huo wizi.Haingii akilini mtu kama huyo mchango wake wa halali haujawahi kuonekana popote,bungeni yupo lakini hajawahi kusikika labda kipindi cha kuapa tu,hashiriki katika lolote la maendeleo lakini wanamkumbatia.Lawama ni kwa viongozi wa juu wa nchi kwani wao ndio wanamsaidia huo uharamia wake.
 
Hapo nachanganyikiwa maana naona unajicontradict tena unaposema Sikweli kuwa Caspian wanachukua madini ya Tanzania na wakati huo huo tunamwona huyu Fisadi akiwa na mkono wake kwenye migodi 4 kama ulivyoainisha. Nakushukuru na ninamshukuru sana aliyeleta hii mada kwa kutufungua macho. Huyu RA akitoka nadhani hata wazawa wa CCM waliovaa kutu za kifisadi wataanza kuwa binadamu, maana wote ni kama wanyama tena wale wanaoweza tafuna watoto waliowazaa

Hapo amepewa kazi ya ku-mine na hizo hela ni malipo ya kazi anazozifanya, kazi yake ni kuchukua mali na kupeleka processing unit na pia kuchukua takataka na kuzipelewa dampo, lakini madini sio yake
 
Katika assassin inayoogopeka ni ile inayopangwa na mtu mmoja mmoja.

Kwani ni ngumu kuichunguza na hata kuigundua kabla ya actual event kutokea. Mara nyingi pale
inapofail (miscalsulation), ndio huwa inajulikana. Hivyo naamini kwa chuki iliyopo kuna siku tutasikia
kichwa ch mtu kimeliwa ghafla.... kwa chuki iliyopo dhidi ya viongozi wetu, next 5yrs kutakua na mambo.

wait and see hii miaka
 
Ukweli kuhusu Rostam Azizi

Ukurasa mpya wa nchi ulifunuliwa baada ya kifo cha baba wa Taifa mwalimu Nyerere kwa kuingiliwa kijanja na taifa la nje ambalo linafanya maamuzi ya kiungozi bila watanzania wenyewe kufahamu kwa kujipenyeza kwenye uongozi wa chama cha mapinduzi CCM watu ambao kabla ya kifo cha mwalimu Nyerere haikuwezekana kushika nafasi za uongozi ndani ya chama hicho.

Mambo haya yanawezekanaje ?
Ikumbukwe kwamba wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere Nchi ya Irani ilikuja Tanzania kujenga mradi wa barabara ya Lindi –Kibiti lakini muda mfupi mwalimu Nyerere alisitisha ujenzi huo baada ya kugundua kuwa nchi hiyo ilikuwa na wazo la kuitawala Tanzania nasio kutekekeleza mradi huo . Kwa wale wasio jua kipindi hiki, ilikuwa ni miaka ya themenini kabla mwalimu Nyerere hajag’atuka uongozi.

Iran baada ya kutimuliwa kwenye mradi huo ,ilimkabidhi Rostam Azizi mitambo yote ya ujenzi ambayo ingetumika kwa ajili ya ujenzi wa mradi huo,ingawa hakuna anyejua walifahamiana vipi na Rostam Azizi.

Watu wanaomfahamu Rostam Azizi wanasema yeye ni miongoni mwa wa Irani waliopo Tanzania ambaye kwa sasa makazi yake yako Igunga mkoani Tabora , ndugu zake wakaribu wengi wao wanapatikana katika maeneo Mwisi ,Sungwizi , Ndembezi,Bukene ,Mwamala na Itobo mkoani humo ,huku wengine wakiishi Lujewa mjini , mbarali mkoani Mbeya wakilima mpunga.

Nini uhusiano kati ya Rostam Azizi na Iran na zana za ujenzi alizokabidhiwa ,kampuni ya ujenzi wa Caspian construction Tanzania ilianzishwa kwa mtaji wa vifaa hiyo alivyokabidhiwa na Iran,kampuni ambayo pia imefahamika baadaye kuwa ni moja ya matawi ya kampuni mama ya Caspian.

Mitambo hiyo tangu wakati huo inaendelea kutumika kuchimba madini kwenye migodi yote hapa nchini .

Caspian Tanzania haichukui tenda za kuchimba madini moja kwa moja ila kwa mara ya kwanza ilipita kwenye kampuni iliyojenga hospitali ya Rufaa ya Mbeya mitambo yake ambayo ilikuwa ikihifadhiwa eneo la Pugu Road Daresalam baada ya kumaliza ujenzi wa hospitali . kampuni hiyo ilitoweka katika mazingira tata.

Kazi ya uchimbaji madini kwenye migodi yote nchini tangu mwanzo inaonekana kufanywa na mitambo ya kampuni ya Caspian construction ya afrika kusini lakini ukweli ni kwamba kampuni ya Caspian Tanzania ambayo mmliki wake ni Rostam Azizi ndiyo inayojishugulisha na kazi hiyo kwa kivuli cha Caspian ya Afrika kusini.


Tunataka Dunia ijue kuwa Tanzania imevamiwa na Iran na kila anayeiunga mkono Tanzania anaiunga mkono Iran kwa sababu ,mitambo ya Caspian construction Company Tanzania ambayo inamilikiwa na Rostam Azizi ndiyo inayochimba madini kwenye migodi yote hapa nchini ,sehemu ya madini hayo yanapelekwa ulaya ,lakini sehemu kubwa ya madini yote yanakwenda Iran kupitia Caspian construction company.

Kampuni hiyo pia ndiyo inayoamua mchanga kutoka mgodi upi upelekwe nje ya Tanzania ,Ni kampuni hii ambayo pia inapeleka ulaya Sehemu ndogo ya madini hayo kuwapumbaza watanzania wasijue Irani inavyowaibia madin yao.

Vianzo huru vinaweka bayana kuwa asilima 3 ya marahaba inayopata Tanzania inatokana na kiasi cha madini yake yanayokwenda ulaya,wakati sehemu yote ya madini yanayopelekwa Iran hayatozwi chochote ukiachilia mbali mchanga ambao pia unauzwa Dubai kwa ajili ya kujengea hoteli za kifahari na kunakshi mazingira ya hoteli hizo.

Mbali na Tanzania kuibiwa madini yake ,Marekani ambalo ni Taifa kubwa duniani kwa miaka mingi linapambana na ugaidi duniani , vyanzo vya uhakika vinathibitisha kuwa haliwezi kutimiza jukumu hilo bila kwanza kukata mizizi ya Iran iliyojikita nchini Tanzania ambako inachukua bure mdini ya uranium kupitia kampuni ya Caspian construction Tanzania .

Kwa hiyo Rais wa marekani Baraka Obama kuendelea kuumbatia utawala wa Jakaya kikwete ni kuiunga mkono Iran, iwe inajua au haijui huo ndiyo ukweli na ndiyo maana hadi sasa Iran inakiburi katika kutekeleza vikwazo vya kimataifa dhidi ya urutubishaji wa madini ya uranium kwa kuwa ina hazina kubwa ya madini hayo kutoka Tanzania na kwamba Marekani bila kujijua iko nyuma yake.

Kupitia makala haya tunamwonesha marekani,washirika wake katika vita dhidi ya ugaidi na watanzania kuwa wakala wa moja kwa moja wa shirika la jasusi la Iran hapa Tanzania ni Rostam Azizi na namna anavyoendesha shughuli zake za kijasusi kwa ajili ya Iran.

Rostam Azizi ana vituo vikuu viwili Afrika kusini na Ujerumani ambako hukutana na maafisa wa shirika hilo la ujasusi la Iran wanaompangia kazi ingawa kituo chake kikubwa ni ujerumani .Mara zote anapoondoka hapa nchini anaaga kwa visingizio tofauti ikiwemo kupelaka mgonjwa.

Hajawahi hata mara moja kwenda Iran na kama amewahi kufanya hivyo ni kwa siri na kupitia nchi nyingine
,hii ina maanisha nini ?anawaghiribu wa Tanzania wasifahamu ujasusi wake na hivyo amefanikiwa kuikwepa idara ya ujasusi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi imejigamba kuwa na uwezo mkubwa wa kazi. Kama sivyo Jasusi huyu amefanikiwa kuinunua Idara hiyo.

Iran inafahamu kwamba kikwete anafahamu ujasusi wa Irani hapa nchini ,lakini anaogopa kuchukua hatua dhidi yao akihofia kuhatarisha maisha yake ,kwani amejipeleka mno kwao hata ameozwa mtoto wa Megheji na mtoto wa Asas ambaye harusi yake ilifanyikia kwenye hifadhi ya Taifa ya Ruaha katika mkoa wa Iringa, wote hawa ni wa Iran.

Ndiyo maana ubadhilifu wote unaofanywa na Rostam Azizi kikwete anashindwa hata kuukemea sembuse kuchukua hutua za kisheria? Kwa hiyo kitendo cha Jakaya kikwete alipokuwa igumga wakati wa kampeni zake za Urais kumunadi Rostam Azizi kuwa ni mtu safi hazikuwa za kubahatisha na zinatoa picha kuwa bila Rostam Azizi kikwete hawezi kuongoza nchi.

Inaendelea--------------

Alikwenda Iran bado kijana mwaka 1975 hivi na alirudi mwaka 1988, baada ya kwisha ile vita ya miaka minane ya Iraq na Iran. Huko Iran alikaa katika mji mmoja unaitwa Godda -- na ndiyo alichukulia jina hilo kuunda kampuni ya KAGODA.

Alipewa mradi wa kutengeneza barabara ya Shekilango kwa jumla ya Sh 75 milioni in earyl 1990s ambayo haikuwa na kiwango.

Natafuta dataz zingine.
 
Back
Top Bottom