This is how l lost it.....

if it is a story then you are really creative. If it is real then we should say very sorry!
 

Dah,kumbe true story?
So sad,ila yamepita,bora haya kukuletea madhara ambatanishi
(Psychological problems),..maana kuna wengine wakisha fanyiwa
unyama huo hata hawataki kaa karibu na wanaume tena,au wanakua
wakatili sana kwa wanaume.
 

Duh,una tutisha wajomba sasa.
 
Mimi ningekuwa wewe ningekubali kubaki na upumbavu wangu badala ya kumjibu. Watu wengine sijui wakoje?

Swali la kizushi: Kwanini umeamua kushea na sisi hii makitu hivi leo tena siku nlokula sakramenti nikimuombea Matesha wngu apate nafuu haraka?

he he he he,hakyanani
 
Asante kwa kushare story yako, mie kaka yangu alinisemea kwa mdingi juu ya kaboyfriend kangu ambapo nilikaruhusu kunihug tu ndio ikapelekewa kupigwa na kucheckiwa bikira kabla ya tukio hilo.

Nani ali kucheki bikira? Baba? Mama?
Whoever it was,ni udhalilishaji.....
 
Pole dada Kaunga,wish ningemjua................nitamtafuta.........nitampata...........he gona pay for his past....... pole again ilumbuye
 
hahahahahaha...mzee kauza usichana wako kwa kinywaji asee!.pole mama!
 
Usijali Innocent, just wanted to share my story; unajua watu wengi wanasema 1st love wao penzi haliishi so nikaona niwape uzoefu mwingine wa 1st man wangu.
Pia ni onyo tu kwa wazazi, baba yangu angejua naona angejichukia mpaka basi.

POLE SANA KAUNGA,
Huwa hata mimi naamini first love wako penzi haliishi,bt ya jamaa ni kama kakubaka vile......anyway.....kila la kheri....ngumu kumeza.....you will be an Oprah......
 
Pole mkuu...I promise nitakuwa karibu sana na wanangu,I will make them my friend ili nijifunze pia kutoka kwao!thanx for sharing, hakika umenipa somo!
 
Hawa wazee walevi usiwaamini sana. Ukute alishamuuzia bikra yako mlevi mwenzie wakiwa bar wanakunywa. Akaona ahakikishe kwamba kuwa ipo kabla hajachukua hela, ndio maana akakucheki kama kama dado unayo.

 
Pole. Sounds bad than ambayo nilishawahi kusimuliwa.

How older were you?
 
Ewaaaaaaaaaaa.... lakini mchawi mwenyewe asiwe bazazi Superman. Mtu analoga hata kikombe akinyweacho chai? Khaaa!
 
Last edited by a moderator:
Nani ali kucheki bikira? Baba? Mama?
Whoever it was,ni udhalilishaji.....
I Hate him/her just like the same way I hate fhe faken bazazi aliyemnaniliyu Kaunga! Hivi watu wazima tukoje siku hizi? Waeza mwita bintiyo umkague bikra? How? Utatumia nini? No no no no..... Kaunga, I also hate aliyekukagua bikra asee.... Yes I mean it! Fak him/her!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Thanks Kaunga....... Thanks!!

Watu wote waseme amina katika sala yangu ya Oh Mungu, let Matesha apate nafuu haraka. Get well soon my darling and lovely daughter. Unavyoumwa nami naugua.

Please Kaunga, next time usilete ushuhuda unaoumiza namna hii hapa jamvini. Am totally destroyed!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…