Tembo pale nyanganyanga hata kusimama kwishnei lakini matunda bado anayo anayavuta tu ha ha ha... vitumbiri navyo vyapindukapinduka tu full sarakasi.....
Cc farkhina
Nimecheka sana hiyo ya wanyama, ila hili lijihadi la kike haliwezi tulia bila kuwatongoza wanaume wa Kenya. Kwa sasa achana nasi tuko busy Rombo, ila kaa kwenye foleni tutakufikia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.