Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 1,003
Ramani ya kwanza waliyotoa Wachina ilikuwa ya Ukweli sana sijui walishindwana nini na serikali nasikia nao walikuwa wanataka kuujenga kwa masharti magumu sana Mzururaji akawatolea nje sasa hawa Waholanzi wamekuja na Magodown haya kwenye hii karne ndo shida ya kufanya mambo kwa misaada ingekuwa tunajenga kwa pesa zetu nadhani ile Ramani ya Wachina ingetufaa sana ilikuwa nzuri na ya kisasa ndo shida ya kutembeza mabakuri kila mahali