Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,103
- 9,198
- Thread starter
- #21
, ila ulienjoy bana, kwa wakati huo hata maumivu ya nauli hayapo, unawaza ukamwone baby tu Kigomaa.
Huwa nawaza sana mapenzi yale ya udogoni utamu wake umekwenda wapi!!niliwahi kwenda kwa mguu kama 20 hivi kwa miguu kwa miguu kisa tu kumuona bby wangu,halafu tulikuwa hatujawahi sex hata siku moja na hatukufanya hivyo hadi form four likizo pale!!daah nimebaki na mtoto wake ni zawadi tamu sana!!ila now days labda saivi kwa sababu na No A angalau, ila ulienjoy bana, kwa wakati huo hata maumivu ya nauli hayapo, unawaza ukamwone baby tu Kigomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikumbuka najiona fala sana sana najionea aibu, ila ulienjoy bana, kwa wakati huo hata maumivu ya nauli hayapo, unawaza ukamwone baby tu Kigomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
TryI need to do things for love
Kama unaenda kwa demu then unabeba vyeti, kweli ulikua fala sana!
We ni jasiri sana mkuu,wala usijione boya lkn ulikua sahihi na kipindi hicho ulikua unafanya maamuzi kwa kutumia kichwa cha chini pekee
Na wewe ulimfata babe mkuu?Pole sana kwa kupotelewa na vyeti. Ulifanya ufala wa kiwango kikubwa kwenda na vyeti og.
Route yangu ya kwanza ndefu enzi hizo ilikuwa kutoka Tbr to Musoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo, Nilimfuata aisee!
Dooh na mkaachana ,kila rakheri piaaNdiyo, Nilimfuata aisee!
Maana alinifuata Tbr kwanza. Baadae nikamfuata huko Msm.
Mungu amlindie ndoa yake huko aliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu mpaka leo sijui demu yuko wapi yule ms**** alinialibia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu mpaka leo sijui demu yuko wapi yule ms**** alinialibia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app