They said...Walisema...

They said...Walisema...

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,334
Reaction score
23,941
They said;

Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, women, money, etc etc...are a man's worst enemies,
and the man who runs away from his enemies is a COWARD!

Walisema;

Pombe, bia, sigara, wanawake, pesa, n.k, n.k., ...ni adui wakubwa wa Mwanaume.
Na Mwanaume anayekimbia adui zake ni MJINGA!


I say;

I am not running from my enemies.....am simply walking away coz am THE LAST MAN STANDING.


Lakini mimi nasema;

Siwakimbii maadui zangu...ninaondoka taratibu kutoka kwenye uwanja wa vita...kwani mimi ndiyo MWANAUME WA MWISHO NILIYEBAKI NIMESIMAMA!


They said;

If you can't beat them, join them.


Walisema;

Kama huwezi kuwashinda/kuwapiga, jiunge nao.


I say;

After you've conquered them all,
why stick around!??


Lakini mimi nasema;

Baada ya kuwashinda,
kuna haja gani ya kubaki karibu yao!??


(Nimejaribu rough translation, nadhani inaeleweka sasa...)...
CHONDE CHONDE....ULEVI, NOUMER!
 
mi sjaelewa wewe jaman...ndo kusemaje?
we wapenda ?au wawapinga ao manywaji?

mi st anna wine kwa afya......
 
Mentor mi bado njaelewa
I need u to 'mentor me' on this your thread
 
Napinga matumizi ya hizo zinazoitwa 'man's worst enemies'...kwa visingizio vingi wanavyovitoa....
 
Niko na kamusi hapa sijui nitaambulia kitu.

mmmmh..Desidii, really hujaelewa lugha na nimetumia kiingereza basic kabisa!??
ama ni kunipinga technically!??
 
Even the Greatest gotta suffer some time...
progress.gif
 
I believe ushindi umekuja baada ya kujua pros and cons.... Bravo!
 
Shida yangu ni kingereza cha shule za kata. Haya walosoma shule za mama Lokatare waendelee. Napita
 
They said;Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, women, money, etc etc...are a man's worst enemies,and the man who runs away from his enemies is a COWARD!Walisema;Pombe, bia, sigara, wanawake, pesa, n.k, n.k., ...ni adui wakubwa wa Mwanaume.Na Mwanaume anayekimbia adui zake ni MJINGA!I say;I am not running from my enemies.....am simply walking away coz am THE LAST MAN STANDING.Lakini mimi nasema;Siwakimbii maadui zangu...ninaondoka taratibu kutoka kwenye uwanja wa vita...kwani mimi ndiyo MWANAUME WA MWISHO NILIYEBAKI NIMESIMAMA!They said;If you can't beat them, join them.Walisema;Kama huwezi kuwashinda/kuwapiga, jiunge nao.I say;After you've conquered them all,why stick around!??Lakini mimi nasema;Baada ya kuwashinda,kuna haja gani ya kubaki karibu yao!??(Nimejaribu rough translation, nadhani inaeleweka sasa...)...
CHONDE CHONDE....ULEVI, NOUMER!
ukweli utabakia palepale kwamba mwanaume anawakimbia adui sio kabisa, kwa hiyo basi ili uonekane we wa ukweli lazima uwapende adui zako, imeandikwa kwenye bible kwamba you must love your Enemy.
 
Shida yangu ni kingereza cha shule za kata. Haya walosoma shule za mama Lokatare waendelee. Napita

God bell, ndiyo maana nimejaribu kutafsiri kwa kiswahili pia....ama hilo nalo hujaliona!??
 
ukweli utabakia palepale kwamba mwanaume anawakimbia adui sio kabisa, kwa hiyo basi ili uonekane we wa ukweli lazima uwapende adui zako, imeandikwa kwenye bible kwamba you must love your Enemy.

Haha..hii mpya, nitaitafutia ujumbe wake,lol!
 
Back
Top Bottom