These were jf addicted members those days... wako wapi?

These were jf addicted members those days... wako wapi?

Ooooohhhhh, wakati huu mimi niko huku mkoani Katavi, msimu wa kilimo umeanza, hivyo nawajibika.Kwa mbali nikipata nafasi naingia JF na kufuatilia kiinachoendelea, kama ninavofanya sasa.

niletee zawadi Mama Mdogo
 
Last edited by a moderator:
Yaan hapo ndipo unaona jinsi gani watu walikuwa wamebadili ID zao, walivyoona wanaitwa tu wajaingia kwa ID zao za zamani na kuitika make walivyoitwa wamekuja utadhani walikuwa na taarifa kuwa wataitwa....

Ni mtazamo tu... Samahanini lakin
 
Kuna wengine wametangulia mbele za haki R.I.P Wengine wamebadili mfumo wa maisha lakini kuna ambao wamechezea life ban
 
Kuna wengine wametangulia mbele za haki R.I.P Wengine wamebadili mfumo wa maisha lakini kuna ambao wamechezea life ban

hapo kwenye kifo sina hakika sana..... hivi hakuna namna ambavyo tunaweza kupata taarifa?
 
nikiwa napitia list ya marafiki zangu nimejikuta nawaona hawa watu ambao those days walikuwa JamiiForums addicted members... around 2010-2013..

sitawataja wale ambao bhado nawaona hadi leo hii.. bt kupitia list hii naomba kujuzwa walipo.. au wapo majukwaa ambayo me huwa sifiki? probably jukwaa la siasa na kenya forums.. au ndo washaitupia kulee @jf?

wapo wapi akina
afrodenzi, Bishop Hiluka, Freema Agyeman, Mbu, iTech, Crashwise, Gaga, Maria Roza, BelindaJacob, Mama Mdogo, mikatabafeki, Nduka, Rose1980, Saint Ivuga, Sugar wa Ukweli, The Priest, Original Pastor, Reserved, Rutashongerwa, Smile, TIMING, Rutashubanyuma, Steve Dii, The Finest, WiseLady, Gurta... Lizzy...

wako wapi hawa raia?
kama kuna information za ziada tuarifiane kwa wema tu..

Nyakati zinabadilika, majukumu yameongozeka, priority zimebadilika; umefika wakati wa utekelezaji kwa vitendo...

Uhali gani First Born; # Mbu, MwanajamiiONE
 
Nyakati zinabadilika, majukumu yameongozeka, priority zimebadilika; umefika wakati wa utekelezaji kwa vitendo...

Uhali gani First Born; # Mbu, MwanajamiiONE

niko njema sana FREEma agyema hata mm kuna muda nilitoka kidogo.. niliporudi nikaona marafiki niliokuwa nao hawapo

tetesi ni kwamba wengine wamebadili id, wengine wameachana na jf na wengine wametangulia mbelr ya haki..

nimefurahi ww badi upo.
 
Last edited by a moderator:
Ulezi bana, ngoja watoto wakue kue kidogo wasije wakashinda njaa na pampers zilizojaa mkojo kisa mamii ipo busy na JF. :couch2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom