These were jf addicted members those days... wako wapi?

These were jf addicted members those days... wako wapi?

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,485
nikiwa napitia list ya marafiki zangu nimejikuta nawaona hawa watu ambao those days walikuwa JamiiForums addicted members... around 2010-2013..

sitawataja wale ambao bhado nawaona hadi leo hii.. bt kupitia list hii naomba kujuzwa walipo.. au wapo majukwaa ambayo me huwa sifiki? probably jukwaa la siasa na kenya forums.. au ndo washaitupia kulee @jf?

wapo wapi akina
afrodenzi, Bishop Hiluka, Freema Agyeman, Mbu, iTech, Crashwise, Gaga, Maria Roza, BelindaJacob, Mama Mdogo, mikatabafeki, Nduka, Rose1980, Saint Ivuga, Sugar wa Ukweli, The Priest, Original Pastor, Reserved, Rutashongerwa, Smile, TIMING, Rutashubanyuma, Steve Dii, The Finest, WiseLady, Gurta... Lizzy...

wako wapi hawa raia?
kama kuna information za ziada tuarifiane kwa wema tu..
 
Last edited by a moderator:
Watu wapo addicted zaidi ya hao sema huwagundui coz wamebadili id
 
nikiwa napitia list ya marafiki zangu nimejikuta nawaona hawa watu ambao those days walikuwa JamiiForums addicted members... around 2010-2013..

sitawataja wale ambao bhado nawaona hadi leo hii.. bt kupitia list hii naomba kujuzwa walipo.. au wapo majukwaa ambayo me huwa sifiki? probably jukwaa la siasa na kenya forums.. au ndo washaitupia kulee @jf?

wapo wapi akina
afrodenzi, Bishop Hiluka, Freema Agyeman, Mbu, iTech, Crashwise, Gaga, Maria Roza, BelindaJacob, Mama Mdogo, mikatabafeki, Nduka, Rose1980, Saint Ivuga, Sugar wa Ukweli, The Priest, Original Pastor, Reserved, Rutashongerwa, Smile, TIMING, Rutashubanyuma, Steve Dii, The Finest, WiseLady, Gurta... Lizzy...

wako wapi hawa raia?
kama kuna information za ziada tuarifiane kwa wema tu..

MTM,nilimkubali sana siku hizi simuoni kabisa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom