The World is a flat plane and not a globe

Wewe binafsi katika hilo la pili la taswira ya uumbaji umefikia wapi?
Na hilo la nne umefanikiwa kutokuwa mtumwa kama "sisi" umashaijua hatma yako,asili,mtazamo na kwa nini upo hapa?Nakusihi na kukuomba saaana sana round hii nijibu straight mkuu,ili uwe umesaidia wengi.Wala usijali kama majibu yako yatabadilisha uelekeo wa mjadala.Refer hapo Lifecoded nae kaeleza kuwa ni kama tunafanyiwa experimentsπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.
 
Unaweza kufahamu jambo hata kwaa ishara tu achila mbali kuona kitu hicho baada ya kifaa fupani kunasa picha.

Kama ushajua ya kuwa macho ni uhalisia na camera ni taswira bunifu viwili haviwezi kuwa sawa.

Kimoja ni msaada wa kingine,ila kimoja hakikupi uhalisia timilifu.
 
hahaa paragraph ya mwisho ..my ribs


baba itakuwa ni bahili tu na anapenda kuomba+....BTW hoja zako zinafikirisha
 
LOL
 
Mkuu huko kote mi nishavuka na issue ya experiments ni kweli kwa mtazamo ukilinganisha kuwa TUMEUMBWA ila maelezo kamili ukitaka sasa hiyo ni mada nyingine ya uumbaji na ni ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo nalielewa hoja yako ni ipi sasa?
Moja actual real ingine artificial ila vina nasa kitu kimoja sasa tatizo lipo wapi?camera inahifadhi uhalisia kwa njia ya computerization ila sisi tunahifadhi uhalisia kwa utimilifu wake ,lakini haimaanisha kwamba kumbukumbu za camera zimehifadhi utofauti.is all about decoding sight and nothing else

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkono.
 
Hoja yangu niliisema tangu awali ni kuwa vitu vinavyotumika kufikia hitimisho havikidhi haja.
 
Kwahiyo unakubali ya kuwa Camera haiko au haijstengezwa kwa kukupa hitimishl la utimilifu bali msaada kufikia ukamilifu/utimilifu. Kama hali iko hivyo kwanini unatumia kitu kisocho kamili kuhitimisha juu ya utimilifu ?
 
Sawa mkuu. What is a purpose of life,regardless of earth being flat or spherical?
What is reality, is reality actual or a relative concept?
Purpose of life is experiencing a gift of we immortals ,to experience this gift we have to be mortals meaning we should have a body and soul.

A good example is we can mate but angels can't so we experience things that other immortals cant experience.

We are supposed to live in humanity order perfectly matching our intelligence substance within us thus creating a pure man kind structure ,free of thoughts,conductivity and organization,love and survival.

The artificial world today is irrelevant to all the above.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…