The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

On a serious note, umeshaweka ushahidi kwamba NASA wanazuia watu ku -fly around the Earth to prove whether it's flat or not? Or you just came up with another conspiracy theory?

PS, usinijibu kwa picha.
NASA ni kundi la jesuits ,kwenye uzi nimeongezea kwenye topic we soma taratibu kama upo real serious maana mnafanya kejeli kwenye mambo ambayo yanawahusu viumbe sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umeshinda wasalimie spiral galaxy mi niache kwenye flat earth
Kamwe jua haliwezi kuizunguka dunia. KAMWE NA NITAAMINI HIVYO MPAKA SIKU NAINGIA KABURINI.

Sent using Cash Money Wings
images%20(6).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie mwambie
Kijana nikisema naishi katika hayo mambo ujue na maanisha na ndio maana nimekuoa uwanja uandike unacho kijua una taja majina, kaka habari za kina Werner Heinsberg nazijua na nadharia yake tunaitumia sana katika method moja wapo ya kupima Earth Resistance, kijana kuhusu kina Schrodinger nakumbuka nilimsoma nikiwa chuo mwaka wa pili au wa kwanza, kwahiyo haya mambo nayajua kuliko unavyo fikiria.

Kijana weka mambo uone tofauti kati ya ushabiki, kukariri na kuelewa na kujenga hoja.

Kwahiyo sasa kama ukitaka tushindane kutaja majina, kazi hii rahisi sana. Wewe elezea vitu, au mpaka tuanze kuandika fani zetu ni zipi, ndio ujue unajadiliana na watu wa sampuli gani ? Sasa acha uoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameamua kwamba hizi nuclear zinatengenezwa ili tupasue kioo kilicho juu yetu, na mmarekani ni selfish sana hataki wengine wawe na nuclear wapasue kioo, wanataka wapasue wenyewe.
Niambie haya ni ya uongo jamani.

Ni kweli ndicho kilichojadiliwa?
 
Dah

Diameter ya jua ilipimwaje mkuu?


Ni mambo ya kufikirika tu.


Kama ambavyo unaona dunia ni kubwa saaaaana kiasi kwamba mtu hawezi kuhisi kama ina move kutokana na udogo wake huyo mtu ns dunia ni kubwa,basi ndo hvyo hvyo dunia flat ni kuubwa sana kiasi kwamba lile jua mwanga wake haufiki pande zote za dunia kwa sababu dunia ni kubwa sana.

Kumbuka hapo juu kuna mavitu vitu mengi hapo ya hewa na mamoshi n.k hivyo vinaweza kufanya mwanga usifike mbali duniani kote



Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee

Inashangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka mkuu acha masihara,flat earth sio imani flat earth ni dunia yetu ambayo ni duara tambarare lenye mfuniko wa kioo ambao unaitwa dome ama firmament ,ndo maana kuna ndugu yetu ametuma picha hapa ya hilary ya campaign huko marekani akihaidi wamerekani kuwa atahakikisha kuwa wanakivunja kioo ,yeye amesema ceiling glass kwakuwa hakuna namna yeyote mwanadamu anaweza akatoka nje dome ila anaweza akawa ndani ya dome na kuona uso wa dunia ukiwa tambarare
Mama na baba.
Mkuu hizo akili ulizo nazo mm sina. Nafanyia kazi uhalisia si nadharia.
Sina mpango wala sina nyenzo za ugunduzi wa kuishtua dunia hivyo uwezo wangu upo kwenye kulipa kodi watoto warithi dunia iwe flat au mvirimgo.
Hapa nafurahia tu kusoma imani yako ilivyo strong kanakwamba unampango wa kutukomboa watz kutoka kwa wanasayansi na NASA
images%20(9).jpeg
images%20(8).jpeg
images%20(7).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni dunia ni ya kibox.View attachment 1337242
Halafu bado unaiamini Sayansi ya anga. Hawana misimamo watu hao sababu msingi wa elimu yao ni dhana na majaribio, ona leo kama hiyo tasrifa ni ya kweli, ona wamekuja na na habari za kuwa Dunia ina umbo la box, baada ya miaka fulani watakuja kusema umbo la dunia ni kama la nyoka.
 
So where is the end point of this planet earth?mtoa mada take your time download google earth ufurahie dunia yako which is not a floating flat surface object

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unavyofikiri nje ya dunia ni kuanzia wapi? Juzi tu mwaka jana kuna chombo imetumwa inaenda kuingia ndani ya jua kabisa!!Nyie mnakazana kujadili nadharia ambazo watu walikomaa nazo mpaka wakapoteza maisha kwa kuzipinga.Yani hamkubali efforts alizofanya Gallileo mpaka mamlaka ya Roma iliyokuwa inaamini dunia ni tambarare kama meza ikamuhukumu kifo,kabla ya baadae kuja kuthibitika kuwa ni ya mfano wa duara.Kabisa mtu unakazana eti hakuna picha iliyopigwa nje ya dunia, wakati hata drone na rockets zinakuwa launched zinaenda katika space na outer space, mtu unapinga kwa vitu ambavyo hakuna taasisi yoyote ya kielimu wala kitaalamu inayokubaliana!!! Wachina nao walishafanya route za mwezini, nadhani hata russia.Wakenya hapo jirani zetu washarusha sattelite yao kwa mafanikio outer space, na hawako katika hizo contracts zq nchi 14 mlizosema.Haya ndio matatizo ya kuwa vizuri kichwani kwa sababu ya long extended memory na uwezo mkubwa wa kukariri,lakini analysis 0. Yani unafaulu mitihani tu lakini hauwezi kufanya analysis.Na ndio mnakuja kuwa ma Professor mnaotukwamisha tukiwaamini na kuwapa nafasi za kutuongoza.Yani unakataa kabisa kuwa hakuna sattelite katika space tehee tehee yani kwa point hiyo tu inabidi tukiri "nyinyi hamna kitu" yani Sattelite hakuna ila katika mchoro mmoja wa evidence heaven, na heaven of heaven na destination ya God ipo.Wakati katika vitabu vyote hakuna mtu kawahi kumwona Mungu looh!!!
I wish dunia ingeruhusu FREE THINKERS. Hakuna kitu cha hovyo maishani kama kujivunia knowledge ya kukariri.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mimi nadhani theory yao ina udini ndani yake kuwa dunia ni round yaani spherical.
Sababu ni hii:
Kuna kitabu kinaitwa bible au mjumuisho wa vitabu vya kidini ambavyo watu wa zamani waliokuwa illuminated au inspired na muumbaji wa binadamu a.k.a Mungu.
Kitabu hiki kimeelezea mengi kuhusu binadamu, uumbaji na miisho yetu.

Then kuna story kutoka humo kwenye bible kuhusu shetani a.k.a Lucifer au ibilisi.

Then Kuna story kuhusu suluhisho la dhambi au uovu wa binadamu na hatima yake, hayo yote yamedadavuliwa kwenye hicho kitabu bible.
Zipo jitihada za kukipinga kweli zilizomo kwenye kitabu hicho, ambacho kuna wakati katila historia kilitafutwa ili kiangamizwe kabisa ikashindikana.

Kwenye bible imeandikwa, kuwa wakati wa mwisho wakati Yesu anakuja, kila jicho litamuona, hili ni tumaini kwa wanadamu wote, kwa nadharia hiyo ya kila jicho litamuona, haiwezekani kwa spherical earth, bali kwa flat earth.

Kwenye bible, kitabu cha Daniel, Nebukadneza aliota ndoto kuwa Kuna mti mkubwa sana umeota ambao unaonekana kutoka kila kona ya dunia, kwa spherical earth haiwezekani mti kuonekana dunia nzima, bali kwa flat earth.

Hivyo basi biblia yote inaamini katika flat earth.
Hivyo basi elimu hii ya kuwa dunia ni sphere ni kupandikiza kwenye mind za watu mtazamo tofauti wa biblia, na ndo maana watu leo hii wanaambiwa na waliambiwa huko mashuleni binadamu alikuwa nyani, huko huko shule wanasema binadamu alichipuka ( evolution) na hakuumbwa na pia ulimwengu haukuumbwa bali uliibuka tu, kanisa katoliki a.k.a Vatican ndo ilianzisha ule mradi wa CERN yaani electron collider ili waweze kupata theory ya uparikanaji wa ulimwengu, hao hao VATICAN ndo wanamiliki telescope kubwa lanisa duniani tena inaitwa Lucifer jina la shetani mwenyewe.

Kwa kufupisha, elimu hii ya Unajimu ni ya Lucifer ikisaidiwa na NASA ya USA. Na lengo lake ku divert mind za watu toka kwa Muumbaji kupeleka kwake yeye aliye kinyume na Muumbaji.
Mada ni fikirishi sana ingawa bado nasubiri facts za mtoa mada ili nichague upande.
Mkuu mtoa mada hukutakiwa kuanzisha uzi mgumu kama huu kwa kutegemea kutoa facts zako kwa kuulizwa maswali tu maana sio wote wanajua unavyojua wewe. Mfano mzuri angalia wewe na baba swalehe wote wataalamu wa quantum physics lakini bado kila mmoja anahisi mwenzake haijui vizuri quantum physics sembuse sisi tusioijua hata kuiandika?
Tunaomba utuambie ni kwa nini dunia ikiwa spherical sisi tunapunjika halafu wao wananufaika??
Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.
Hebu tusiongelee quantum physics kwa sasa bali tuelezee unayoyajua kuhusu dunia tambarare mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom