The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Unazani wao ni wajinga waweke mkataba wao hapo hiyo inaitwa mind catchup ili watu wawe narelief nao waendelee na agenda zao,unachukulia dunia kirahisi sana ..
Acha uzushi. Hii ni sehemu ya vipengele vya mkataba unaousema;

1. Antarctica shall be used for peaceful purposes only. There shall be prohibited, inter alia, any measures of a military nature, such as the establishment of military bases and fortifications, the carrying out of military maneuvers, as well as the testing of any type of weapons.

2. The present treaty shall not prevent the use of military personnel or equipment for scientific research or for any other peaceful purposes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo unaona dunia ni kubwa saaaaana kiasi kwamba mtu hawezi kuhisi kama ina move kutokana na udogo wake huyo mtu ns dunia ni kubwa,basi ndo hvyo hvyo dunia flat ni kuubwa sana kiasi kwamba lile jua mwanga wake haufiki pande zote za dunia kwa sababu dunia ni kubwa sana.
Mkuu dunia haijawahi kuwa kubwa kuliko jua. Kumbuka pia jua halijawahi kuizunguka dunia.

Na kama ingekuwa dunia ni flat kama unavyodai na tena ni kubwa kuliko jua basi kuna baadhi ya sehemu zisingefikiwa na mwanga milele.

Kuwepo kwa usiku na mchana kunaonyesha dunia ni kama tufe linalojizungusha kwenye mhimili wake ndio maana kuna maeneo yanafikiwa na jua na mengine giza kila siku hali ikiendelea.

Kama dunia ingekuwa flat ingejipangaje na sayari zingine ili kulizunguka jua kumbuka jua halizunguki dunia wala sayari yoyote.
 
Unazani wao ni wajinga waweke mkataba wao hapo hiyo inaitwa mind catchup ili watu wawe narelief nao waendelee na agenda zao,unachukulia dunia kirahisi sana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ni rahisi sana siku zote, ila watu mnaifanya ionekane ngumu pasipo na sababu za msingi. Mnaacha FACTS mnakimbilia UZUSHI - na ofcourse wabongo kwa uzushi tuko vizuri.

FACT: A number of governments have set up permanent research stations in Antarctica and these bases are widely distributed. Many of the stations are staffed around the year. A total of 42 countries (as of October 2006).

Mojawapo ya nchi zenye vituo Antarctica ni South Africa. Hata sisi watanzania tunaweza kujenga kituo kule - ila haitawezekana ikiwa tutaendekeza akili hizi na ujanja ujanja. Lete facts, achana na 'tantalila.'
 
Mkuu dunia nzima wamefundishwa hivyo ,hata mimi nimepitia huko ila sio kweli ni mfumo wa ulimwengu umeamua kufanya hivyo kwa agenda binafsi.
Mkuu dunia haijawahi kuwa kubwa kuliko jua. Kumbuka pia jua halijawahi kuizunguka dunia.

Na kama ingekuwa dunia ni flat kama unavyodai na tena ni kubwa kuliko jua basi kuna baadhi ya sehemu zisingefikiwa na mwanga milele.

Kuwepo kwa usiku na mchana kunaonyesha dunia ni kama tufe linalojizungusha kwenye mhimili wake ndio maana kuna maeneo yanafikiwa na jua na mengine giza kila siku hali ikiendelea.

Kama dunia ingekuwa flat ingejipangaje na sayari zingine ili kulizunguka jua kumbuka jua halizunguki dunia wala sayari yoyote.
flat-earth-memes-74-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mara mangapi kesi za flatearth zimetupiliwa mbali,kwanini ramani za flat earth zifichwe ,kwanini internet data kuhusu flat earth zinaanza kupotea kwenye database,kwanini watu wanalalamika youtube wanazifuta video,kwanini NASA hawatoi report public kwenye mtandao watu wafanye research kwani public wana interest ya kuwa astronauts si wanapewa hizo evidence waprove ,kwanini video za mwezini hawana,kwanini wazifute?kwanini ukiwauliza maswali wanasema classified au confidential ,kwanini waanze kwenda mwezini kwenye 60s,baada ya NASA,Baada ya operation high jump,huku wakijua mwezi is just a glowing circle and sometimes transparent, unjua ni lini dunia Imeanza kuwa mpira,na ni nani alifanya iwe ..

Unaelewa maana ya uzushi, na madhara ya kuzusha zusha vitu? Lazima kesi zitupiliwe mbali kwa sababu ni upotoshaji mnasema dunia ni flat without ACTUALLY INVESTIGATING WHETHER IT'S TRUE OR NOT.

Hivi leo upeleke hata kesi yako mahakamani na hauna ushahidi wataacha itupilia mbali?. Leo ukienda YouTube kuandika uzushi ambao hauna ushahidi na ni una madhara hautafutwa?

Kwanini watoe public announcement kwamba watu wafanye research na wakati wana uhakika kwamba uchunguzi uliofanywa ni sahihi? Wewe hauoni ukisema kwamba Fanya uchunguzi maana yake na wewe mwenyewe una mashaka na uchunguzi uliofanyika?.

Uzushi haukubaliki popote duniani, hata hapa Jamiiforums, ukileta taarifa yenye taharuki inabidi uwe na evidence ya source la sivo ni uzushi na itafutwa.

REALITY, you are a conspiracy theorist. All the flat earth theory's are wrong.
 
Jamani masomo ya urubani ni free kabisa online ingia kasome ila ujue siri moja sio kuwa na malengo ya kua kuwa rubani

Hivi unajua ndege inaruka umbali mrefu sana pasipo kupaa kwa kujikunja kufuata the way dunia ilivyo but huwa inaenda straight tu?

Kama kuna satellite kwanini kuna mkonge duniani kote?
kwanini mmarekani mwenye teknolojia kubwa aliweza kupigwa na kushindw akujiokoa huko mapangoni kwa watu wa iran kisa tu hawawezi wasiliana na ndugu zao? na kumbuka wanasatellite yao binafsi?

Kwanini uwekewe mnara kwa babu yako kule upate shida ya network wakati ingeachiwa moja kwa moja kutoka juu ingefika kwa urahisi?

kwanini ndege zinawekewa rada chini duniani na hazitumii sattelite?

Siwaaaminishi muamini dunia flat ila nataka tujiulize na kujifunza kwanini baba anasema anahela laki mbili ndani lakini amekopa buku ya nauli
Mkuu unachanganya mambo sana sana huenda hujasoma physics ukaelewa kabisha hasa kwenye hilo suala la ndenge na mambo ya satelite na mawasiliano.
Mpaka sasa kusafirisha mawasiliano kwa njia ya satelite kwa speed kubwa technology haijafika huko ndiyo maana ukitaka internet yenye kasi lazima tutumia mkonge. Ila taratibu gunduzi utatufikisha huko kama ilivyo science inapitia mabadiriko.
linapokuja suala la ndege nimecheka nikakumbuka yule sheikh aliyesema kama dunia ingekuwa ina rotate basi helcopter ingeganda hewani baadaae ikajikuta nchi nyingne. hakujua kuwa dunia inarotate na kila ilicho nacho mfano. Uwe kwenye basi linalokimbia halafu ruka juu huwezi jikuta nyuma utatua pale pale uliporukia. hata nzi anayepaa kwenye gari linalotembea akiganda hewani hawezi jikuta nyuma bali atabaki pale pale
 
Unaelewa maana ya uzushi, na madhara ya kuzusha zusha vitu? Lazima kesi zitupiliwe mbali kwa sababu ni upotoshaji mnasema dunia ni flat without ACTUALLY INVESTIGATING WHETHER IT'S TRUE OR NOT.

Hivi leo upeleke hata kesi yako mahakamani na hauna ushahidi wataacha itupilia mbali?. Leo ukienda YouTube kuandika uzushi ambao hauna ushahidi na ni una madhara hautafutwa?

Kwanini watoe public announcement kwamba watu wafanye research na wakati wana uhakika kwamba uchunguzi uliofanywa ni sahihi? Wewe hauoni ukisema kwamba Fanya uchunguzi maana yake na wewe mwenyewe una mashaka na uchunguzi uliofanyika?.

Uzushi haukubaliki popote duniani, hata hapa Jamiiforums, ukileta taarifa yenye taharuki inabidi uwe na evidence ya source la sivo ni uzushi na itafutwa.

REALITY, you are a conspiracy theorist. All the flat earth theory's are wrong.
Mbona mimi naziona nyingi na nimezitazama. so what is beyond hizi boundaries mnazodai zipo? Hivi ina make sense nhi zote ambazo zimeendelea na zimerusha satelite ikiwemo N.Korea, Iran, China, Russia, Nigeria, Ethiopia hata rwanda wote asiwepo hata mmoja wa kusema jamani huu ni uongo?
 
Unaelewa maana ya uzushi, na madhara ya kuzusha zusha vitu? Lazima kesi zitupiliwe mbali kwa sababu ni upotoshaji mnasema dunia ni flat without ACTUALLY INVESTIGATING WHETHER IT'S TRUE OR NOT.

Hivi leo upeleke hata kesi yako mahakamani na hauna ushahidi wataacha itupilia mbali?. Leo ukienda YouTube kuandika uzushi ambao hauna ushahidi na ni una madhara hautafutwa?

Kwanini watoe public announcement kwamba watu wafanye research na wakati wana uhakika kwamba uchunguzi uliofanywa ni sahihi? Wewe hauoni ukisema kwamba Fanya uchunguzi maana yake na wewe mwenyewe una mashaka na uchunguzi uliofanyika?.

Uzushi haukubaliki popote duniani, hata hapa Jamiiforums, ukileta taarifa yenye taharuki inabidi uwe na evidence ya source la sivo ni uzushi na itafutwa.

REALITY, you are a conspiracy theorist. All the flat earth theory's are wrong.
Ok
15-86-11670print.jpeg
C0021196-Apollo_Moon_boot_sole-SPL.jpeg
300px-AS15-82-11120HR.jpeg
300px-AS17-134-20443HR.jpeg
300px-AS17-140-21354HR.jpeg
300px-AS16-114-18454HR.jpeg
300px-AS17-137-20979HR.jpeg
300px-AS15-88-11901HR.jpeg
300px-AS15-88-11902HR.jpeg
300px-AS15-86-11603HR.jpeg
300px-AS17-143-21932HR.jpeg
Rover1.jpeg
1000px-AS11-40-5922HR.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
INAITWA SIRI YA KAMBI
Mbona mimi naziona nyingi na nimezitazama. so what is beyond hizi boundaries mnazodai zipo? Hivi ina make sense nhi zote ambazo zimeendelea na zimerusha satelite ikiwemo N.Korea, Iran, China, Russia, Nigeria, Ethiopia hata rwanda wote asiwepo hata mmoja wa kusema jamani huu ni uongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mtoa mada mbona kwenye uteyezi wa hoja zako sijaona jibu lolote la maana linalothibitisha kwa macho hoja yako zaidi umeokoteza tu vitu uko kwenye mitandao.Hoja zakusema dunia ni tambarare nizakuokoteza kwasababu hazionekani nakuthibitika kwa mtazamo wa kawaida.
 
INAITWA SIRI YA KAMBI

Sent using Jamii Forums mobile app
Haimake sense kama kuwa siri ya kambi uzuri hayo mambo ya antarctica na huyo major nisha yafuatilia sana na huyo major sidhani kama ilikuwa flat earth bali hollow earth wanasema antarctica ndipo kuna mlango wa kuingia ndani naye aliingia na ndege yake. baadae akaja yaongea kwenye interview akafa kwa kifo cha kutatanisha na mwanae akaja kuawa.But naona ni maspeculations tu
 
Thomas Baron Silenced for Attempting to Expose the Truth

During the start of the Apollo missions former NASA Safety Inspector Thomas Ronald Baron participated in a Congressional Hearing where he complained that NASA was not operating a real space program.

He complained about NASA's fraudulent practices, low quality control, and the practice of keeping every employee in the dark about the big picture. R. E. Reyes, an engineer in KSC's Preflight Operations Branch, said Baron filed so many negative charges against NASA that, had KSC heeded them all, NASA would not have had a man on the moon until the year 2069.

Thomas was a real fear that the program could be stopped in its tracks
—Julian Scheer, Former NASA Spokesman


Baron testified before congress that the Apollo program was such disarray the United States would never make it to the moon. His claim and his opinions made him the target.

Then, ironically, Baron himself was stopped in his tracks. Exactly one week after he testified before Congress and only days before his report was set to be released Baron's car was stocked by a train. Baron, his wife and his step daughter were killed instantly. The incident was deemed by the police to be an accident. Baron's unpublished 500 page Congressional Report detailing the specific deficiencies of the Apollo program was never found.

Thomas_baron.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeumbwa au umetokana na nyani kama asili?
Haimake sense kama kuwa siri ya kambi uzuri hayo mambo ya antarctica na huyo major nisha yafuatilia sana na huyo major sidhani kama ilikuwa flat earth bali hollow earth wanasema antarctica ndipo kuna mlango wa kuingia ndani naye aliingia na ndege yake. baadae akaja yaongea kwenye interview akafa kwa kifo cha kutatanisha na mwanae akaja kuawa.But naona ni maspeculations tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauhakika we jua unaliona kubwa dogo?
Ukiwa hapo ulipo unahisi dunia inazunguka?
Tumia uwezo wako wa kufikiri sio vitabu ndo unijibu maana unaukata uhalisi unakimbilia vitu vya kusukwa.
We mtoa mada mbona kwenye uteyezi wa hoja zako sijaona jibu lolote la maana linalothibitisha kwa macho hoja yako zaidi umeokoteza tu vitu uko kwenye mitandao.Hoja zakusema dunia ni tambarare nizakuokoteza kwasababu hazionekani nakuthibitika kwa mtazamo wa kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom