Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Mkuu unataka kitabu ninacho internet wamefuta documents nyingi za flat earth na sasahivi ukituma video kuhusu flat earth unapigwa ban youtube hawataki kabisa watu wajue ukweli wa ulimwengu wao wanawalisha miziki,migames na movies kila siku ndani ya ubongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka kitabu ninacho internet wamefuta documents nyingi za flat earth na sasahivi ukituma video kuhusu flat earth unapigwa ban youtube hawataki kabisa watu wajue ukweli wa ulimwengu wao wanawalisha miziki,migames na movies kila siku ndani ya ubongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni wazo cheap sana kusema hakuna sattelite, kasome kwanini facebook hawaku opt kutumia real sattelite bwana.Watu kama nyie mmesababisha watu wengi wakakariri uongo.Yani hauna proof lakini unakataa kitu kwa msuli tu.Zinakaaje kwanza?angalau huyu jamaa alichoshangaaView attachment 1335518
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za uongo daima zinatakiwa ziondolew tu, unless mtuambie kuwa ni fiction, na youtube hawaondoi video kama una rights nazo bwana😃😃😃.Watu wana upload vitu ambavyo sio vyao kama vyao vile lazima wale ban.Mkuu anzisha group la whatsapp au telegram liite Flat eathers ili tupeane utirio na link za vitabu, video nk kuhusu taarifa hizi muhimu, naomba mi niwe wa kwanza ku ni add humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni wazo cheap sana kusema hakuna sattelite, kasome kwanini facebook hawaku opt kutumia real sattelite bwana.Watu kama nyie mmesababisha watu wengi wakakariri uongo.Yani hauna proof lakini unakataa kitu kwa msuli tu.
Habari za uongo daima zinatakiwa ziondolew tu, unless mtuambie kuwa ni fiction, na youtube hawaondoi video kama una rights nazo bwana.Watu wana upload vitu ambavyo sio vyao kama vyao vile lazima wale ban.
Flat mi nini? Na unajuaje hii ni flat ma hii si flat?Broh, the earth is flat. I know you have been indoctrinated in mainstream education from nursery school to university that it's round, but now it's time to wake up.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi kukuona huku. Bado una deni letu mkuu.Mnaouliza Sunrise na Sunset ni kuwa Sun linatembea from East to West (Points hizi mlizokaa na kuamua ziwe hivyo).
Hivyo Jua Uanza safari kutoka Mashariki na Kufika Magharibi, Kisha jua la Magharibi huanza safari na Kufika Mashariki.
Mwezi ni mfano wa Rubber Bracelet (Culture/Bangili za Mpira) ambazo wakati wakiza utoa uan'gavu na wakati wa mwanga hufifia.
Upepo ni hutokea from Outer Space (Ulimwengu) na sisi hupata hisia.
Mvua hutokana na evaporation inayoathiliwa na maji na joto. Mfano; Uwapo jikoni umefunika Pressure Cooker, Rice Cooker au Sufuria pressure ya chini usugua juu na kuleta mvuke ambao urudi chini.
Je Iweje nchi za kaskazini na kusini (Hio Uliyopangwa) hupata Snow, Winter, Fog etc?. Ni Uwepo wa nchi hizo katika kingo za dunia ambayo ni made of Ice.
Uwepo wa vumbi ni kutokana na ardhi ya juu ya dunia kutifuliwa au kusongwa na upepo.
Round/Spherical Earthers mbona mnashindwa kutoa ithibati ya ramani zenu?! Ramani ya Spherical na Round Earthers inaonyesha Middle East ni Northern Central ya Dunia na uwepo wa Strait of Hormuz, Persian Gulf na Gulf of Oman, huku mkiskia United States Navy Ships zinaenda katika location hiyo kwa 7 Days from Florida Keys (Tampa au Miami Base).
Ukaribu wa SA (Afrika Kusini) na UK (Uingereza) ni prove dunia siyo Kiazi, Kichwa, Mviringo, Tufe, Chungwa wala Yai!
Ukaribu wa Oceania na Chile, Peru na Argentina huku ukubwa wa so called Pacific Ocean unazidi kujipinga.
Oke! Nile inatwa maji kutoka Lake Victoria (South) na Kupeleka Mediterranean Sea (North)
The World is Flat pure Flat Bense!
Dunia ni duara, ila kulingana ukubwa wake na upeo wa macho yetu tuaona ni tambarare.
Nikisema kuandika hujui si utanishangaa sometimes error zipo japo nishakujibu hilo swaliFlat mi nini? Na unajuaje hii ni flat ma hii si flat?
Hujajibu hili swali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie unazungukaje kitu bila corner mkuu??What are you talking about?Earth moves in n orbit hakuna kona sehem yoyote
Hahaha dah
Mungu saidia huyu mjinga
Nmeishiwa hadi nguvu ya kuongea
Quantum physics made phone you are using now you idiot





