Nacheka sana, hata wajinga wanapeana tuzo, hili halishangazi.Hey Zurri my understanding level is beyond yours
My instincts are definitely different
Thats why i don't argue
I am going to take my award next year for this
Just be humble all things will be possible for you
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu ya watu kama nyinyi, yaani kwa ujinga huu mnapeana tuzo.
Kusema tu uelewa wako ni zaidi ya uelewa wangu, ni ishara ya kuwa wewe ni mjinga.
Wanao jua wanajua, haiwezekani tangu jana huweki hoja zaidi ya kutaj taja majina, na hii ni kazi rahisi sana.
Hujawahi kusikia tuzo za wanamuziki, wacheza mipira na wacheza filamu za ngono ? Sasa ujinga hauishi na huo wakwenu ni muendelezotu.




