The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

..
Reality, soma ndugu.
Na ili uelewe unachokisoma futa ulichokishikilia kwenye akili yako uwe kama ndio una anza upya.
IMG_20200126_134909_577.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watathibitishaje kwamba wewe ni nyani,watathibitishaje big bang,watathibitishaje evolution,lazima wafanye mpango kuwa dunia ni sayari inayoelea ambayo imetokana na mlipuko na ukichaa mwingine huku wakijua si kweli na hata nembo ya umoja wa mataifa ni flat earth not spherical

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba nahitaji kuthibitisha kwamba mimi ni nyani? Kuna aliyekwambia mimi ni nyani, mbona unachanganya mafile.

- Bing bang is just a theory kama na wewe unatheory yako ambayo ni bora zaidi unaweza ukaitoa.

- Genetics inathibitisha evolotion, wewe unathibitishaje kwamba hakuna evolutin?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panda gari funga macho iwe speed kwenye highway halafu taratibu inakata kona taratibu kama you dont feel that movement of turn utakuwa mnafki like..........View attachment 1335338

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema kwenye Corner (kona) sio?
Tofauti na kwenye kona na bamsi si hauhisi chochote?.

Sasa dunia ni duara na hizo unazoziita kona hazipo kabisa.
 
Kwamba nahitaji kuthibitisha kwamba mimi ni nyani? Kuna aliyekwambia mimi ni nyani, mbona unachanganya mafile.

- Bing bang is just a theory kama na wewe unatheory yako ambayo ni bora zaidi unaweza ukaitoa.

- Genetics inathibitisha evolotion, wewe unathibitishaje kwamba hakuna evolutin?


Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeamini dunia ni mpira atakataaje asili yake ni ya nyani ..

Au nipe asili yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
paula bana
Sikia dunia inarevolve kwa speed ya hatari yani kubwa kwa lisa around the sun ikiwa inakata corner in a circular motion mbona hatufeel chochote kama gari,ndege and so ambazo zikikata tunafeel.


Unajua kwanini gari ikiwa inakimbia na haufeel chochote kwa sababu ina move straight na ipo kwenye flat road or plane kama ndege.

Anyway tutaelewana tu.
Umesema kwenye Corner (kona) sio?
Tofauti na kwenye kona na bamsi si hauhisi chochote?.

Sasa dunia ni duara na hizo unazoziita kona hazipo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Dunia ikijizungusha kwenye muhimili wake tunapata usiku na mchana.(Rotation)
-Dunia ikizunguka jua tunapata majira mbali mbali ya mwaka.(Revolution).
 
Anayeamini dunia ni mpira atakataaje asili yake ni ya nyani ..

Au nipe asili yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa nimekuelewa vizuri sana, ishu ya satellite pia hata mimi huwa inaniumiza akili. kwann ukifunga madishi lazima yawe na uelekeo unaofanana? kama kuna satellite na inazungu uka kwanin uelekeo usibadilike? kidogo umenipa majibu, shukrani sana
 
Mkuu hapo nyumbani kwako unatumia dish kukamata signal za tv ambazo tunaambiwa ni kitoka kwenye satelite. Kama satelite hazipo huko juu, haya madish yanapata wapi signal?
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni kwamba dunia ina-rotate too slowly of which ni rate mdogo sana ya rotation that would be very hard to notice, hivyo you can't feel motion in any way.
Kitu gani kinakujulisha dunia inazunguka ?

Inatumia mwendo gani kwa saa au kukamilisha mzunguko mmoja ?

Ni yapi matokeo ya dunia kuzunguka ?
Kitu ambacho utakisikia ni acceleration and the Earth isn't accelerating.
Unakisiaje hicho ?

Dunia inapozunguka kila kitu kilichokuzunguka kinazunguka at the same speed. Tofauti na ukiwa kwenye gari unalisikia gari linaenda kwa sababu unaona miti inaanza 'kurudi' nyuma lakini kama ingekuwa inahama na wewe pia usingesikia motion kabisa zaidi ya acceleration kutokana na barabara.
Swali la msingi unajuaje kama dunia inazunguka.

Mathalani, mlima wa kilimanjaro unaweza kunithibitishia ya kuwa hapo kabla haukuwepo hapo ulipo ?

Naomba unitajie majaribio hata mawili yaliyo fanywa na Wanasayansi kuthibitisha hili.

Kuhama ni tofauti na kuzunguka, si kila kuhama kunaitwa mzunguko.

Kuhama ni kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa kutumia visababishi mwendo.

Sasa lipi ni lipi, dunia inazunguka au inahama ? Maana umeleta msamiati wa kuhama ukasahau ya kuwa kuhama kuna harakati ya ku move kutoka point moja kwenda nyingie, yaani kuna mwendo au kama nimzunguko basi sharti uwe katika muhimili wake.
Una feel speed ya kitu pale ambapo unaona tofauti kati ya ya speed of two interacting objects.
Ndio maana tunasema jua Linatembea sababu marejeo yetu ni sisi kuliona lina hama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Historia ina rekodi ya kuwa muelekeo wa jua siku zote ni mmoja tu, kama dunia inazunguka kwa huo mzunguko mdogo au kwa mwendo mdogo sana, tangu zama na zama tunaona uelekeo ni huo huo, ingekuwa kweli basi tungepata habari ya kuwa kuna siku tungeona uelekeo wa jua ni kinyume.
Tukija kwenye a psysological point of view, wewe una uhakika gani kwamba hauisikii ikizunguka? Kumbuka umezaliwa ukaikuta kwenye hali iliyopo na tangu kuzaliwa umeizoea hii hali hivyo ni ngumu ku notice kabisa.
Swali zuri, ndio maana tunsema Dunia haizunguki, sababu mnao dai kama inazunguka hamna ushahidi zaidi ya nadharia kwenye makaratasi.

Sio mimi tu, bali historia inatuambia hivyo, sasa ndio utuambie wewe kipi kimekujulisha Dunia inazunguka ?
 
paula bana
Sikia dunia inarevolve kwa speed ya hatari yani kubwa kwa lisa around the sun ikiwa inakata corner in a circular motion mbona hatufeel chochote kama gari,ndege and so ambazo zikikata tunafeel.


Unajua kwanini gari ikiwa inakimbia na haufeel chochote kwa sababu ina move straight na ipo kwenye flat road or plane kama ndege.

Anyway tutaelewana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Dah, kazi ipo

Ngoja nilale.
 
Anayeamini dunia ni mpira atakataaje asili yake ni ya nyani ..

Au nipe asili yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu na nyani ni viumbe wawili tofauti, nyani hawezi kuwa binadamu na binadamu hawezi kua nyani, ila kiumbe mmoja anaweza evolve na kuunda viumbe wengine tofauti .. tatizo hamsomi mambo mkaelewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom