The Working Class, Savages in Suits

The Working Class, Savages in Suits

Ewaaaa...point yangu hapa huyu kijana akipanda kidogo tu apate angalau ki altezza ataanza mapepe na videmu vingine na unyonge utamuisha Linda ataisoma namba, yaani namsimulia mwenye stori yake stori itakuwaje mbele! not fair lara 1 tuachie wasomaji tujadili
Me nahisi kama Linda ndo atazingua mwenyewe, maana hako kabinti mmh ....let's wait and see.
 
Bro, ukisoma katikati ya mistari ni these ladies won't date Ronny for the love but for the backup he gives. They will still roll with HOM wakiamini Ronny will always be there...to fall back when things go wrong [HASHTAG]#hotlineBling[/HASHTAG]
labda nilivyosema mnyonge sikueleweka.
 
Bro, ukisoma katikati ya mistari ni these ladies won't date Ronny for the love but for the backup he gives. They will still roll with HOM wakiamini Ronny will always be there...to fall back when things go wrong [HASHTAG]#hotlineBling[/HASHTAG]
Maybe... maybe not. Unamaanisha kuwa hakuna watu kama "Ronny" wanaopendwa wenyewe kama wenyewe, bila girl kuwa na libosile pembeni?
 
Maybe... maybe not. Unamaanisha kuwa hakuna watu kama "Ronny" wanaopendwa wenyewe kama wenyewe, bila girl kuwa na libosile pembeni?
Nafurahi kusikia kwamba jf pia kuna wanawake wanaoweza kupenda mtu kama Ronny.
 
Bro, ukisoma katikati ya mistari ni these ladies won't date Ronny for the love but for the backup he gives. They will still roll with HOM wakiamini Ronny will always be there...to fall back when things go wrong [HASHTAG]#hotlineBling[/HASHTAG]
Mentor ukiwepo haliharibiki neno...nilitaka kulisema hili mapema ila nimechelea kusema,namwona mama mkwe wangu yuko online na anafollow uzi huu!
 
Kumbe nyie mlio kwenye maofisi rasmi huko mjini mnakua na uchafu namna hii!!!
Unakuta limtu limebutua ofisi nzima dadekii...
 
I've been a bad boy at some point in my life - an am not proud of it, EVER - but I had two principles; NO MARRIED LADIES (no matter what!), NO STUDENTS (form six kushuka chini)...wengine wote twende kazi!

Baadaye nikaja kuja na theory, "It's easy being a gentleman when single" (Try being so with one woman for a year...then u r a true gentleman!)

MY POINT: Beware of them 'bad boys' in good boys' skin!!!!!!!
hahah haha mkongwe ktk fasihi kumbe na wewe umekuja kushuhudia hiki kipaji maalumu ktk usimulizi?
 
Hell is just a state of mind!

Linda akawa anawaza sasa atampanga vipi Ronny amuelewe kwenda hio tour. Kiukweli alikuwa anataka kwenda, kwanza sababu ya mkwanja, pili career ile ingekiwa milestone mpya kwenye career yake. Akawazaa na kuwazuaaaa. Akasema no sweat ngoja nimjaribishe.

Wakaenda dinner, akawa kama anamwambia imetokea yeye hataki, Ronny akasema flat tu, usiendee. Akawa anasema sina choice, Ronny akamwambia you have a choice, we kamwambie tu huendi, atakuendesha mpaka lini? Wewe sema huendi tuone kitatokea nini, woga wako siku zote ni umasikini wako.
We nenda mwambie huendiii hana jeuri ya kukufuka kazi, anakutisha tu, kukujambisha ujimalize kwa woga wako, ila akufukuze kwa kosa gani? Hii kampuni ina sheria zake. Linda akataka akawa kwenda anataka na baby nae anamtakaa.

Ronny usiku huo akafanya ile kumpangia tunaenda nyumbani wote, na hivi Linda ana mipango ya kufanya uasi akaamua kukubali. Baadae wakaondoka kufika kule wakapaki CCM kama kawaida yao, wakafika getto, wakaenda kuoga kila mtu ukafika mda wa mechi kali.

Ronny akamjaribu sasa BJ inakuwajeeee? Linda akamwambia labda uniue afu ndo uniwekee hilo dushe mdomoni hivi hivi hapanaaaaa. Hahahaaa Ronny akacheka tu. Ofcourse alijua hawezi kukubali kirahisi itachukua mda kabla hajakubali tenaaa.

Mechi ikaanza kama kawaida, ndugu wa mie cha uvivu anasikizia utamu tu, sababu ya hamu cha kwanza Ronny akapiga kifo cha mende, si alikuwa ana hamuuu. Na bao la kwanza linakuwaga na kiherehere sanaaa, kazi ikaanza goli la pili sasa.

Bibi kaji kajibwetekaaa tu kifo cha mende kama kawaida yake, Ronny akamwambia panda juu, Linda anaanza uvivu wake, bwanaa baby mimi nimechokaaa nimetoka kazini, Ronny akamwambia hata mimi nimetoka kazini baby si tumetoka woteee. Linda akaanza kutafuta sababu zingine, Ronny kamkomalia panda juu hapa woman on top. Linda kapiga mahesabu akaona sasa umbumbu wake kitandani ndo anaumbukaaa.

Ikabidi tu aseme ukweli, sikiliza baby mimi sio mzoefu sanaaa wa haya mambo, you are just my 3rd Bf, HOM was second afu it was more of a one night stand, na yule wa kwanza hakuwa na mambo mengi sanaaa.Alikuwa kifo cha mende tu kina mtosha soo sikupata mda wa ku practise sanaa, so yeah most of the things sizijui sanaa, i just had to be honest.

Ronny akamwambia i know HOM si alisema, hahaaaa! Akamfinyaaa. Ronny akamwambia hata mbuyu ulianza kama mchicha, nitakufundisha baby wanguuu. Ila sio course natoa mimi, kufaidi wakafaidi wengineee oooh! Linda akacheka tuu. I saw you dancing, kama unaweza kukatika katika mziki hata huku hutopata shidaaa.

Akamwambia haya panda juu, akapandaaa, akaanda kumbusu na nini, Linda anasikilizia, akawambia baby usisikilizie asmi am focused kukufanya wewe usikie raha na wewe unatakiwa uwe focused kunifanya mimi nisikie raha simultaneously. So wewe ukiwa unasikia raha, na ukiniona mimi nasikia raha ndo unanyegekea zaidi mambo yana bamba mbaaaa! So if i kiss you, you kiss back, dare, fanya utundu, nisurpraise dont be so predictable.

Akaanza kumbusu, na Linda nae anabusu, akimpapasa nae anampapasa, mambo yakanogaa balaa, baadae akachomeka rupia kwenye uzia, akamlaza so ikawa kama kapiga magoti, kazi yote anaifanya Ronny baadae akamkalisaha sasa, Ticha Ronny anatoa somo aya nyanyuka, kaa, zungusha kiuno, hivo hivo hivooooo, mwanafunzi kuona sio kazi sanaa kumbe na mwalimu huku analegea akaanza kuweka manjonjo sasa, ticha anazidi kudataaa, akambadilisha sytle ikawa popo kanyea mbingu, sasa bibie woga ukawa umemuisha analeta mpaka ubunifuuu sasa ndo anamtia ndimu Ronny, badilisha stile I phone six, badilisha style tenaa chuma mbogaaa Ronny wazungu hawa hapaaa. Linda hoiiiiii! Hoiiii!

Wakawa wamelala sasa, Linda yuko this is so fun, we should do it more offen! You know more offen like tomorrow maybe! Ronny akasema mmmmh unataka kuniuaaa sasa. Linda anmwambia yeah baby, tamu sanaaaa! Ronny yupo mmmhhhh! Pole pole ndo mwendooo.

Kesho akaenda kwa HOM akamwambia mi nimefikiria nimeona sitaki kwenda, sio kwa mahaba ya jana usikuuu. So wewe tafuta mtu mwingine. HOM akamwambia so you think i cant make you go? Come on mimi sitaki mtu boring kwenye trip, it will be fun, we twende wote. Akamwambia siendiii, i just made up my mind. HOM akamwambia i want you in that tour and you will be in that tour. Today is your lucky day i will grant you your wish at the expense of others

Kikombe chako atakinywa MIna, Amina yule shoga ako, she is weak you know, hana CFO wa kumtetea, na akisema aende ustaadhi alivo unreasonable by the time tour inaishaa atakuta talaka 3, na si unajua mtu akipewa talaka 3, hawezi kurudiana na mumewe mpaaka aolewe tena na mtu mwingineee? Na shoga ako anafata dini, ataacha tu kazi ili asiachike, na si watakufa njaa mwanaume alivo mvivuuu? Would you do that to your friend? Think about hii, ijumaa if you still dont want to go, namtumia Mina email formal kabisaaa. Haya nenda.

Akatoka mnyongeee, akimuangalia Mina moyo unafanyaaa paaa, akimkumbuka Ronny roho inafnya paah! Akamuita Joy kikao cha dharuraaa. She felt so defence less, so weak! Roho ikawa inamtukuta ndani kwa ndani. Akawa anamwambia hivi yule hana limit? Mina hana tabu na mtu maskini, can he do that just to annoy me? Like really destroy someones life for fun?

Joy akamwambia mimi naona huyu sio mtuuu, cha kufanyaa mimi naona tumkomeshee. Yani kama anweza kuichezea familia ya mtu mpole, kama Mina, ana bangaizaa. Na hio tour ukute tu kasikia uko na Ronny katumwa na yule mama wa customer service watengeneze mazingira tu mgombaneee.

Linda akasema yaani nakerekaaa si kidogooo, nina hamu kama vipi tumkomoee, umwambukize UKIMWI kwa makusudiii, unalitegaa, unalipa mambo kavu kavu wiki nzimaaaaa. Shenziiiii! Joy akasema niko tayari kwa kazi bio, maana tukisema tumuache hana kikomaaa. Mimi najitolea kwa kazi hio, hilo swala la kumuambukiza UKIMWI makusudi nimekubaliana nalo asilimia 100. Na akishapata tunamtangazaa humu humu. Mmmmmmh!


ITAENDELEA SAA 5 USIKU.
 
Back
Top Bottom