The West Policy on Libya Vs Putin

The West Policy on Libya Vs Putin

Ebu tajeni ni nchi gani duniani inayotenda haki? Gaddafi ameingia kwenye crosshairs za wakubwa wacha wamshugurikie.
 
Marekani haijawahi kutenda haki duniani !

Hapana Mzee, Marekani ni nchi ya haki kuliko nchi nyingine yoyote duniani. Ndiyo maana hata mmatumbi mwenzetu naye aliweza kukalia usukani wa kuingoza marekani kutokana na misingi yao ya haki.
 
Hao jamaa walikuwa wakimuwinda Gadafi siku nyingi sana na sasa wamepata kisingizio...ila wakae wakijua wanatengeneza maelfu ya kina Osama na siku moja huko mbeleni 9/11 itawarudia tu. Nalaani vitendo vyote vya mabavu vinavyofanywa na westerns kwani havijengi ila vinaandaa anguko lao wenyewe siku moja.
Mungu waokoe Walibya na wote waonewao duniani,Amin.

Haya basi next Friday wabongo waandamane tena kuilaani Qatar pia. Sio kuandamana kuipinga US pekee.
Halafu mbali ya kuandamana ingetangazwa na maimamu woote hapo Dar wawaambie wabongo wote wenye ndugu jamaa na marafiki wanaoishi USA, UK, Denmark, Dubai (UAE), Canada na nchi zoote zilizohusika kwenye uvamizi wa Libya warudi nyumbani. Waislamu wote wabongo wanaoishi nchi hizi waondoke asap.Msusie hela zote mnazotumiwa via Moneygram na Western Union toka kwa jamaa zenu wanaoishi ktk nchi hizo. La sivyo ndio yale yale baniani mbaya......tuache unafiki na kufuata mkumbo
 
wow!nafurahi kujua kuwa kuna watu wenye mawazo kama yangu....kwasababu sote twajua aliyoyafanya gadafi au sio?lkn i really cant c the main reason ya marekani kuingilia mambo yasiyowahusu!WANABOA TENA SANA!...je,ni wanatoa msaada au wana lao jambo?..wanadai UN inaleta peace mbona inaongeza matatizo?au shida yao ni mafuta ya libya?....kwa kweli mimi nina doubts na hicho wanachodai kuwa ni MSAADA!...:smash:
 
LIBYA'S rebels have thanked France for its role in the Western-led military blitz against the Gaddafi regime but said "outside forces" could now leave the country, in a letter published overnight.
"In the middle of the night, your planes destroyed tanks that were set to crush Benghazi. ... The Libyan people see you as liberators. Its recognition will be eternal," wrote rebel leader Mahmoud Jibril in the letter addressed to President Nicolas Sarkozy, published by the French daily Le Figaro.
However, Mr Jibril said: "We do not want outside forces. We won't need them. We will win the first battle thanks to you. We will win the next battle through our own means."
French, US and British air strikes against the regime of longtime Libyan leader Moamer Kadhafi began a week ago under UN Security Council Resolution 1973, which authorised "all necessary means" to protect civilians and set up a no-fly zone over the north African country.

Forces loyal to Gaddafi had been closing in on the eastern opposition stronghold of Benghazi when the campaign began.
Rebel forces early yesterday made their first significant victory since then, recapturing the strategic town of Adjabiya, also in the east.
France was the first country to recognise the rebels' "national council" as the "legitimate representative of the Libyan people" on March 10.
The rebels, emboldened by revolutions in neighbouring Tunisia and Egypt that ousted strongmen Zine el Abidine Ben Ali and Hosni Mubarak, launched their drive to topple Kadhafi, in power for 41 years, on February 15.
"The Libyan people, as well as neighbouring friends, notably our Tunisian and Egyptian brothers, see in the help you have brought a great gesture towards the Arab world," Mr Jibril wrote.
 
Aliyeanzisha mashambulizi ni Ufaransa, nashangaa wanawalaani wamarekani tu!
 
1.Jamani no-fly zone sio uamuzi wa USA bali ni wa umoja wa mataifa (UN). Kwa hiyo watu mnaoilaumu US nadhani hamjalifuatilia nakuliewa vizuri hili suala.
2. Mbona wanaolaumiwa ni wamarekani peke yako katika hili wakati wapo wengi tu wanaotekeleza hili ikiwemo UK, France, Qatar, Jordan (UAE), NATO(except Turkey) etc. vilevile nchi nyingi duniani zinasupport hili suala wakiwemo viongozi wa Africa kama Rwanda na Botswana(kama sikosei)

3. Tanzania na nchi nyingi tu duniani ni wanachama wa UN, lakini nchi ambazo nimebahatika kusikia kuwa zinapinga wazi no-fly zone ni Russia, China na Uganda. Sijui kuhusu nchi yetu Tanzania (unaweza ukakuta ni moja wapo ya wanaounga mkono)
4. Watu wamekuwa wepesi kujibu kuwa marekani imefuata mafuta libya. Je vipi kuhusu UN, UAE(Qatar Jordan), NATO, UK, France na mataifa mengine yanayoshiriki yanatafuta nini huko..?(usitoe jibu jepesi kuwa hawa wote ni vibaraka wa marekani coz kama ndio hivyo basi ni dunia nzima)
5. Hivi ni kweli uchumi wa USA unategemea sana mafuta kiasi hiki (wataalamu wa uchumi wa dunia tusaidieni katika hili)? Je ni kweli kuwa USA huwa inaiba au kuchimba mafuta kule Iraq na Afghanistan au ni uzushi tu huu?(wikileaks mko wapi?)
Tupeana facts waheshimiwa, stick to the topic, its hard bt try not to be biased an Feel at home.
 
1.Jamani no-fly zone sio uamuzi wa USA bali ni wa umoja wa mataifa (UN). Kwa hiyo watu mnaoilaumu US nadhani hamjalifuatilia nakuliewa vizuri hili suala.
2. Mbona wanaolaumiwa ni wamarekani peke yako katika hili wakati wapo wengi tu wanaotekeleza hili ikiwemo UK, France, Qatar, Jordan (UAE), NATO(except Turkey) etc. vilevile nchi nyingi duniani zinasupport hili suala wakiwemo viongozi wa Africa kama Rwanda na Botswana(kama sikosei)

3. Tanzania na nchi nyingi tu duniani ni wanachama wa UN, lakini nchi ambazo nimebahatika kusikia kuwa zinapinga wazi no-fly zone ni Russia, China na Uganda. Sijui kuhusu nchi yetu Tanzania (unaweza ukakuta ni moja wapo ya wanaounga mkono)
4. Watu wamekuwa wepesi kujibu kuwa marekani imefuata mafuta libya. Je vipi kuhusu UN, UAE(Qatar Jordan), NATO, UK, France na mataifa mengine yanayoshiriki yanatafuta nini huko..?(usitoe jibu jepesi kuwa hawa wote ni vibaraka wa marekani coz kama ndio hivyo basi ni dunia nzima)
5. Hivi ni kweli uchumi wa USA unategemea sana mafuta kiasi hiki (wataalamu wa uchumi wa dunia tusaidieni katika hili)? Je ni kweli kuwa USA huwa inaiba au kuchimba mafuta kule Iraq na Afghanistan au ni uzushi tu huu?(wikileaks mko wapi?)
Tupeana facts waheshimiwa, stick to the topic, its hard bt try not to be biased an Feel at home.
As of yesterday Turkey wamekubali kushiriki kwenye kuenforce no fly zone in Libya.
 
pumba hujui lolote kama unajua basi umeamua kufumbia macho! Hadi leo hujui kuwa usa walieuata mafuta iraq? hivi na wewe unaitwa great thinker eti? Kawambie wakuoneshe silaha za maangamizi walizosingizia kuwa sadam hussein anazo.

Kabla ya no fly zone usa ilikuwa nchi ya kwanza kusogeza manoari za kivita karibu na libya. Then un haikuwaagiza wakaimpliment no fly zone walijipeleka wenyewe. Then kwa nini wasiende ivory coast kumtoa gbagbo km wanauchungu na raia?
 
pumba hujui lolote kama unajua basi umeamua kufumbia macho! Hadi leo hujui kuwa usa walieuata mafuta iraq? hivi na wewe unaitwa great thinker eti? Kawambie wakuoneshe silaha za maangamizi walizosingizia kuwa sadam hussein anazo.

Kabla ya no fly zone usa ilikuwa nchi ya kwanza kusogeza manoari za kivita karibu na libya. Then un haikuwaagiza wakaimpliment no fly zone walijipeleka wenyewe. Then kwa nini wasiende ivory coast kumtoa gbagbo km wanauchungu na raia?

Acha hasira, Gaddafi anastahili kichapo, kwa taarifa yako ni kuwa Gaddafi alisababisha vijana wetu wengi wa TPDF kupoteza maisha wakati wa vita vya Kagera kwa kumsaidia Idd Amin Dada silaha na logistic kibao kama hufahamu. Gaddafi si rafiki wa Tanzania hata kidogo.

Tukirudi kwenye No fly zone ni kuwa Arab League ndiyo walioomba hiyo kitu UN na UN wakapitisha azimio, sasa kama Gaddafi anavunja azimio kumchapa ni wajibu wa nchi wanachama wa UN na USA ikiwa moja wapo. Kama bado una hasira zako za Iraq too late. Hii kitu ni popular siyo tu ndani ya Libya bali Arab countries, sasa wewe ni nani unalalamikia pilipili usoila?

Kama Gaddafi angeachiwa awaadhibu wananchi wake kwa vifaru na ndege za kivita kisa wameandamana basi hii ingekuwa ni precedence kwa nchi zote na Tanzania ikiwemo, tusingeshangaa vifaru vikitumika kudhibiti maandamano Tanzania, ila action hii itawafanya watawala madikteta kufikiria mara kumi kabla ya ku-suppress maandamano ya amani
 
Kuna mkusanyiko wa mambo mengi japo hakuna taifa linalo kwenda kupigana vita na taifa jingine bila kuwa na maslahi binafsi. Makampuni mengi yaliyowekeza kwenye mafuta Libya yametoka Ulaya, Marekani na mataifa mengine makubwa duniani. Uwekezaji uliofanywa na makampuni hayo ni mkubwa hivyo haya mataifa wanapigania kulinda maslahi yao na makampuni yao. Kweli Gadafi aliwauwa raia ambao waliamua kwenda kinyume na utawala wake japo uharaka wa kuvamia ni kulinda maslahi ya mataifa makubwa dunia amabayo yamewekeza huko. Uwekezaji katika mafuta North Africa na Middle East umefanywa na Matifa ya Ulaya, America na mataifa mengine yenye uchumi mkubwa duniani hivyo sehemu kubwa ya haya mataifa yanaendeshwa kutokana na matakwa ya wawekezaji na endapo utakwenda kinyume na matakwa yao ujue wata kuondoa madarakani kwa njia yeyote ile.
 
Some us marine are on the ground in libya helping rebel to retake oil rich town of adabiya.26th marine Expeditionary unit
 
Mkuu Greek ni wale wasio juwa kusoma ndio wanachuki na USA. Hata kuandika bango tu imewashinda. Don't even bother about them, they are loooosers of life.
 
pumba hujui lolote kama unajua basi umeamua kufumbia macho! Hadi leo hujui kuwa usa walieuata mafuta iraq? hivi na wewe unaitwa great thinker eti? Kawambie wakuoneshe silaha za maangamizi walizosingizia kuwa sadam hussein anazo.

Kabla ya no fly zone usa ilikuwa nchi ya kwanza kusogeza manoari za kivita karibu na libya. Then un haikuwaagiza wakaimpliment no fly zone walijipeleka wenyewe. Then kwa nini wasiende ivory coast kumtoa gbagbo km wanauchungu na raia?

Jazba na povu la nini weye.
 
Algaida in maghreb snath some surface to air missile in libya took them to the middle of sahara desert away from western attack it is said the missile could be used to shootdown passenger airline in north afrika BEWARE PEOPLE who go that way
 
Back
Top Bottom