The West Policy on Libya Vs Putin

The West Policy on Libya Vs Putin

Those idiot rebel did shoot down their own warplane over benghazi a week ago.
Hofsede you dont get these infor from MSM.(Mainstream media) there are us troops in libya doing convert operation i cant reveal the source.
 
Those idiot rebel did shoot down their own warplane over benghazi a week ago.
Hofsede you dont get these infor from MSM.(Mainstream media) there are us troops in libya doing convert operation i cant reveal the source.

wakikabidhiwa nchi itakuwaje..?
 
The issue here is transparent as my grandmother's nightgown,libya will never be the same again it is going the afaghnstan way.
Half million protester in london prostest war turn violent
 
Naomba munieleweshe nini mantik ya hilo neno?
 
Haya basi next Friday wabongo waandamane tena kuilaani Qatar pia. Sio kuandamana kuipinga US pekee.
Halafu mbali ya kuandamana ingetangazwa na maimamu woote hapo Dar wawaambie wabongo wote wenye ndugu jamaa na marafiki wanaoishi USA, UK, Denmark, Dubai (UAE), Canada na nchi zoote zilizohusika kwenye uvamizi wa Libya warudi nyumbani. Waislamu wote wabongo wanaoishi nchi hizi waondoke asap.Msusie hela zote mnazotumiwa via Moneygram na Western Union toka kwa jamaa zenu wanaoishi ktk nchi hizo. La sivyo ndio yale yale baniani mbaya......tuache unafiki na kufuata mkumbo

Mh! Mh! hii ni ngumu kupita maelezo-we are living to be given from heaven!
 
Some us marine are on the ground in libya helping rebel to retake oil rich town of adabiya.26th marine Expeditionary unit
Seriously Marines? Ungesema Special Forces au Delta Force ningekuelewa ila marines hapa hii ni story ya kijiweni, by the way word is kuna 350 British SAS kutoka kwenye SBS wana operate deep in Libya for a while now.

Those idiot rebel did shoot down their own warplane over benghazi a week ago.
Hofsede you dont get these infor from MSM.(Mainstream media) there are us troops in libya doing convert operation i cant reveal the source.
Wacha longo longo eti siwezi kureveal source unataka kutuambia una observe OPSEC?
 
Sababu zako kuwa WATU waichukukia marekani azina tofauti na za KIKWETE na CCM, Hamna anaye wachukia ila ni UONGO na UJINGA wanao walisha WATU WAKE na WAJINGA WENGINE na wanaendelea kuamini kuwa yeyote anayewapinga basi ANAWACHUKIA.

HIVI USHAWAHI KUJIULIZA WANASHINDWA VIPI KUMALIZA MGOGORO WA MIDDLEEAST?
What if WAARABU WOTE WANGEKUWA NA MSIMAMO KAMA GADAFY au SADAM au AHDMEJAD?
 
The issue here is transparent as my grandmother's nightgown,libya will never be the same again it is going the afaghnstan way.
Half million protester in london prostest war turn violent

we endelea kushabikia ujinga na ukoloni mamboleo wa usa! Jaribu kuvuta picha libya ya ghadafi na libya baada ya ghadafi itakuwaje? Unafikiri kumtoa ghadafi kutaleta aman libya? Ni watu wangapi watakufa kwenye hiyo operation?

Sehemu yoyote ambayo usa aliingia kuleta demokrasia au peace kwa vita hakuna hiyo amani. Soon libya itakuwa source ya magaidi
 
we endelea kushabikia ujinga na ukoloni mamboleo wa usa! Jaribu kuvuta picha libya ya ghadafi na libya baada ya ghadafi itakuwaje? Unafikiri kumtoa ghadafi kutaleta aman libya? Ni watu wangapi watakufa kwenye hiyo operation?

Sehemu yoyote ambayo usa aliingia kuleta demokrasia au peace kwa vita hakuna hiyo amani.
Soon libya itakuwa source ya magaidi

Hapo kwenye red ebu tuwekee nchi zote ambazo US imezivamia tuangalie kama zina amani au la.
 
Matukio ya Kisiasa | 26.03.2011

Vikosi vya jeshi la muungano vyaishambulia Libya bila huruma



Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Wanajeshi wanaoshiriki kwenye operesheni za Libya

Vikosi vya jeshi la muungano linaloongozwa na Marekani vimeongeza shinikizo kwa kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi kutokana na mfululizo wa mashambulio ya anga bila huruma.





Miripuko ilisikika kwenye mji mkuu wa Tripoli mapema leo na walioshuhudia wamesema kuwa eneo la rada ya kijeshi lilikuwa likiwaka moto.
Ndege za kivita za jeshi la muungano zilifanya mashambulio 150 zaidi dhidi ya vikosi vya jeshi la Kanali Gaddafi, ukiwemo mji wa mashariki wa Adjabiya. Mashambulio hayo yamewawezesha waasi kuudhibiti tena mji huo. Bildunterschrift: Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Baadhi ya ndege za kijeshi zinazoshiriki katika operesheni nchini Libya
Kuna taarifa kwamba mtoto wa kiume wa Kanali Gaddafi, Saif al-Islam ameondoka kwa siri nchini humo ikiwa ni katika kuchukua hatua za kidiplomasia kwa ajili ya kuzuia mapigano zaidi na kuidhibiti hali iliyopo sasa ya kisiasa na kijeshi ambayo inazidi kuwa mbaya.
Marekani na Jumuiya ya Kujihami ya NATO zinafikiria kuwapatia silaha wapinzani, zikisema kuwa azimio la Umoja wa Mataifa linaruhusu uwezekano huo.
NATO hatimaye pia imekubali kuchukua jukumu la kuongoza operesheni za kutekeleza marufuku ya ndege kuruka katika anga ya Libya. Operesheni hiyo itakuwa chini ya Jenerali Charles Bouchard kutoka Canada.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo (AFPE,RTRE,DPAE)
Mhariri: Mohamed Dahman
Vikosi vya jeshi la muungano vyaishambulia Libya bila huruma | Matukio ya Kisiasa | Deutsche Welle | 26.03.2011
 
pumba hujui lolote kama unajua basi umeamua kufumbia macho! Hadi leo hujui kuwa usa walieuata mafuta iraq? hivi na wewe unaitwa great thinker eti? Kawambie wakuoneshe silaha za maangamizi walizosingizia kuwa sadam hussein anazo.

Kabla ya no fly zone usa ilikuwa nchi ya kwanza kusogeza manoari za kivita karibu na libya. Then un haikuwaagiza wakaimpliment no fly zone walijipeleka wenyewe. Then kwa nini wasiende ivory coast kumtoa gbagbo km wanauchungu na raia?

Hongera wewe mwenye point mkubwa. Ila sikutaka kujua kama ni pumba au mchele toa ushahidi(evidence) na source yako inayoonyesha USA walifuata mafuta Iraq & Afghanistan. Kwanini isiwe sababu nyingine, Inawezekana walikwenda as military retaliation after 9/11 au kutibua kichaka cha magaidi. Why just a cheap solution?
 
Mkuu Greek ni wale wasio juwa kusoma ndio wanachuki na USA. Hata kuandika bango tu imewashinda. Don't even bother about them, they are loooosers of life.[/QUOTma E]

.............. hivi ni nani msomi Dunia hii ?! kwa vigezo vipi !? kuwa bingwa wa mikakati ya dhulmah unaita usomi ? umejiuliza hapa kwenu (TZ) kama kuna wasomi ? watu wanao saini mikata ya kupewa mrahaba 3 % !, kuna vichwa humu vimejaa pumba za CNN na ABC, kisha vinajiita great thinker ! shame on you !
 
Hongera wewe mwenye point mkubwa. Ila sikutaka kujua kama ni pumba au mchele toa ushahidi(evidence) na source yako inayoonyesha USA walifuata mafuta Iraq & Afghanistan. Kwanini isiwe sababu nyingine, Inawezekana walikwenda as military retaliation after 9/11 au kutibua kichaka cha magaidi. Why just a cheap solution?

........ husikiii ! lakini hata kuona huoni pia?! Tony Blair anasumbuliwa kila kukicha na ma enquiry ! ......... kwa nini wamsumbue na yeye alifuata magaidi?
 
Hapo kwenye red ebu tuwekee nchi zote ambazo US imezivamia tuangalie kama zina amani au la.

....1. Vietnam, amani ilikuja baada ya kukubali kushindwa !
2. Korea Kusini/kaskazini, kuna tension kubwa kwa ajili ya majeshi yao !
3. Iraq
4. Afghanistan
5. Haiti
6. Somalia (waliposhindwa, wakawatuma wa Ethiopia!)
 
As of yesterday Turkey wamekubali kushiriki kwenye kuenforce no fly zone in Libya.

....wewe hujui waturk ni mabazazi ?! ........ waislaam amao wanauliza uhalali wa hijab ! wanafagilia sectarium kuwafurahisha "MAKAFIR" kuna unafiki zaidi ya huo ?
 
........ husikiii ! lakini hata kuona huoni pia?! Tony Blair anasumbuliwa kila kukicha na ma enquiry ! ......... kwa nini wamsumbue na yeye alifuata magaidi?

wapi? Achakupiga makelele Nionyeshe. Nielekeze, Toa basi hata ushahidi kuwa walifuata mafuta and not otherwise. Kama huna uchune tu, mi mtu mzima ntaelewa.
 
....wewe hujui waturk ni mabazazi ?! ........ waislaam amao wanauliza uhalali wa hijab ! wanafagilia sectarium kuwafurahisha "MAKAFIR" kuna unafiki zaidi ya huo ?

This is both not a point and out of topic but nakujibu ili usijisikie mpweke. Unataka wawachukie makafiri na kuwalipua au? Kwani kuhoji uhalali wa kitu (hijab) hairuhusiwi?
 
This is both not a point and out of topic but nakujibu ili usijisikie mpweke. Unataka wawachukie makafiri na kuwalipua au? Kwani kuhoji uhalali wa kitu (hijab) hairuhusiwi?

.......... hapo katika kuhoji ndio tatizo ! kwa taarifa yako wako watu wanajiita waislaam lakini wamekatazana kuswali kabisa ! wao msikitini kutia stori tu ! ........ hivyo hujaelewa mantiki na hoja yangu ! (wangekuwa ni watu wanao amini, wasinge comply na MAKAFIR, sio kuwalipua !)
 
Back
Top Bottom