The West Policy on Libya Vs Putin

Perhaps USA feared another Iraq/Afghanistan scenerio and/or discovered they will not be able to excess the oil there??
 
Perhaps USA feared another Iraq/Afghanistan scenerio and/or discovered they will not be able to excess the oil there??

Libya rebels to sell first oil cargo this week-report | Top News | Reuters

BBC News - Italy recognises Libya's rebel National Council

Watamtoa tu....lakini walibya tayari wanaelewa maana ya Vita.
Walipopata amani yao, kula yao na raha zao hawakujua "hell" imekaaje!
Gaddaffi cant last long either!
West na US walipata opening ya kumtoa na hawataiwacha nafasi hiyo, walikuwa wakimtafuta siku nyingi tu na sasa wamepata pa kumbamiza.
 
America hawatafanikiwa kumtoa Gaddafi kwa sababu njia na sababu wanazotoa hazijitoshelezi kuungwa mkono na watu pamoja na viongozi wa bara la afrika.Labda watafute sababu nyingine kahalalasha uovu wao.
 
Back
Top Bottom