Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,223
Hata mimi naona Romney amefanya vizuri.
kuna kipindi Obama alikuwa na kigugumizi kama JK.
Hata baada ya mjadala mke wa Obama, Michele alionekana dhahiri kuwa amekuwa very disapointed wakati mke wa Romney alionekana kufurahia.
Tukumbuke OBAMA ni binadamu anaye juwa kijieleza vilivyo, haya ya asubuhi ya leo wenda hikawa ni tacticts za kutaka kumchota akili Rommey ili baadae ajisahau na kuanza kuropoka kwa kudhani kamshinda kwenye mdaharo; lakini nakuhakikishia kwenye mdaharo unaokuja utaona a true colour ya OBAMA atamuacha Rommey midomo WAZI.
Mbinu kama hizi huwa zinatumika hata katika uchezaji wa mpira, mkienda kucheza katika nchi unayo shindana nayo utaona wachezaji wake wanajifanya kama hawajuhi mpira vile, mnaweza mkawafunga bao moja/mbili alafu mnaanza kuvimba kichwa - sasa ikija zamu ya timu hiyo kutembelea nchi yenu mnajikuta mnabamizwa magori lukuki. Kuna mbinu nyingi mkuu katika mabo ya siasa.