The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

basi wekeni hapa huo mdahalo tuuone wenyewe manake mshaanza kutuchanganya. mia
 
Kwa sasa sera ya nje ya US sio ma-vita, kwa hiyo Obama atashinda TU, hata kwa kuchakachua kama walivyofanya kipindi kile kati ya Bush na na Al Gore...
 
Wana JF,

Leo alfajiri kulikuwa na mdahalo kati ya wagombea wenye nguvu kubwa katika siasa za Marekani, Mitt Romney wa Chama cha Republican na Barack Obama wa Chama cha Democrat. Mada kuu ilikuwa kuongelea sera zao za ndani ya nchi, hususani katika masuala ya Uchumi, Afya, Elimu, Nishati na Ulinzi. Katika mdahalo huo ulioanza mishale ya saa kumi na dakika tano na kuisha saa kumi na moja kasorobo alfajiri ya kuamkia leo, ni wazi kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Republican Gavana Mitt Romney alionyesha kutulia huku akielezea sera za Chama chake kwa ufasaha na kujiamini zaidi na kujibu maswali yaliyoelekezwa kwake kwa weledi wa hali ya juu. Kwa upande mwingine, Rais anayetetea kiti hicho Barack Obama wa Democrat ameonyesha kutomudu vyema mdahalo huo huku akiongea kwa kutojiamini na kushindwa kumudu vyema maswali yaliyoelekezwa kwake kama ambavyo alivyokuwa mzungumzaji mzuri na mahiri wakati wa kampeni za Mwaka 2008. Kwa mdahalo huu wa leo, naamini hata kiwango cha kukubalika cha Mitt Romney kitaongezeka na hivyo kumpa wakati mgumu sana mtetezi wa kiti hicho Barack Obama.


Nini maoni yenu wadau?

oky.., unajuwa siasa za wezetu si za kukurupuka kama hapa kwetu..., obama alichofanya kwenye mdahalo huu is just
like a delaying tactics kwa mpinzani wake Mr.Romney..., ukizingatia kwamba Rais obama na chama chake wanajalibu
kutaka kujua mikakati ya wazi ya Mr.Romney na chama chake hasa katika maeneo ya uchumi,Afya,Elimu,Nishati na ulinzi.
Bado,Rais Obama na chama chake ana nafasi kubwa ya kushinda urais wa marekani kwani anaungwa mkono kwa kiasi kikubwa na wamarekani wengi wenye maisha ya kati na chini,... kuliko mpinzani wake ambaye anaonekana kukumbatia tabaka la wamarekani matajiri.
Nadhani baada ya mdahalo huu wa jana then tegemea Rais Obama kuja kivingine kabisa au kufunguka zaidi katika mdahalo wa pili nafikili utakaofanyika huko Atlanta au New york.
Kumbuka Rais Obama ni mmoja wa wanasiasa wazungumzaji wazuri na mjenga hoja makini na nzuri katika medani ya siasa........, Ni ayo tu Mkuu.
 
. Wachambuzi wa BBC World News nao wanalitambua hilo. Wewe je?
Hata mimi naona Romney amefanya vizuri.
kuna kipindi Obama alikuwa na kigugumizi kama JK.
Hata baada ya mjadala mke wa Obama, Michele alionekana dhahiri kuwa amekuwa very disapointed wakati mke wa Romney alionekana kufurahia.
 
Nimefurahi sana asubui ya leo maana Obama ni kilaza tu analeta maneno mengi wakati Romney anatoa data za uchumi.Obama alibaki anashangaaa tu.MAREKANI INAMUITAZI MTUU KAMA ROMNEY.Kwanza asilimia 70% ya wamarekani wanaamini huyu jamaa ni muislum
 
Sasa sisi tusiojua kidhungu tumwamini nani? Mara Romney mara obama,kwa mama naomba Obama ashindwe mpaka kwenye uchaguzi,sizipendi sera zake kabisa hasa kwa africa na mashariki ya kati

Unazijua sera za Romney kwa hayo maeneo uliyayataja?
 
Nimefurahi sana asubui ya leo maana Obama ni kilaza tu analeta maneno mengi wakati Romney anatoa data za uchumi.Obama alibaki anashangaaa tu.MAREKANI INAMUITAZI MTUU KAMA ROMNEY.Kwanza asilimia 70% ya wamarekani wanaamini huyu jamaa ni muislum

Unajua, Nyinyi Watanzania mnashida kweli kweli. Obama sio mpumbavu, amekaa ofisini miaka 4,his a lawyer by professional. Wht he did was case study. He wanted to know Romney where he is going and pick up faults from there. Tutegemee different obama next time. Dude didn't care
 
Mkuu nakushauri pia ufuatilie na wachambuzi wa kimataifa wanasemaje kuhusu huo mdahalo.
wachambuzi wengi wanasema Obama alimudu vema kuliko mpinzani wake.
Na mpaka sasa kwa mdahalo ule Obama ana 48% na Romney ana 46%

sasa nani hapo amegalagazwa?

...Anayesema Obama amefanya vizuri ni lazima atakuwa ana mahaba mazito sana na Obama, kwenye debate hii Obama alikuwa kama Kilaza fulani hivi, am disappointed...

MSNBC's Chris Matthews rants, 'Where was Obama tonight?' - POLITICO.com

Bill Maher on Denver debate: Obama needed teleprompter - Kevin Cirilli - POLITICO.com

Press agree: Obama 'rusty,' Romney 'strong' - POLITICO.com

Denver debate: Obama stumbled - POLITICO.com

CNN Poll: Most watchers say Romney debate winner – CNN Political Ticker - CNN.com Blogs

Analysis: Romney scores in debate, but will it be enough? | Reuters
 
Tusiwe wanazi jamani...ki ukweli Obama amechemka leo asubuhi

Obama began the debate with a 71 percent chance of winning. Immediately following the debate, his chances had fallen to just over 67 percent.

Romney's odds of winning shot up to 32.3 percent. That means that for the day, Romney's odds of winning rose more than 24 percent.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tuache Unazi ...tuseme Ukweli RomNey amekuwa na Siku Bora leo na it seems after Week Kadhaa ushawishi found his Footing.

ObAma began the debate with a 71 percent chance of winning. Immediately following the debate, his chances had fallen to just over 67 percent.* Over the course of the day, his odds declined by more than 8 percent.

Romney's odds of winning shot up to 32.3 percent. That means that for the day, Romney's odds of winning rose more than 24 percent.



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
aminiusiamini,... you are Absolutely Perfect.....Mwisho nakugongea yale mambo yetu yaleeeee...you deserve to be GT.!!
 
dah, ngoja tusubiri debate nyingine tarehe 16 oct, hii nafikiri itakuwa ya international policies.
Nafasi ya obama kujipanga upya" KUVUNJIKA MWIKO SI MWISHO WA UHUNZI,,!"
Obama naye alitusahau sana africa, wakati wengi tulikuwa na matarajio ya mtelemko kutokana na yeye kutokea asili ya africa. hiki kipigo ni kama laana kwake!
 
Wana JF,

Leo alfajiri kulikuwa na mdahalo kati ya wagombea wenye nguvu kubwa katika siasa za Marekani, Mitt Romney wa Chama cha Republican na Barack Obama wa Chama cha Democrat. Mada kuu ilikuwa kuongelea sera zao za ndani ya nchi, hususani katika masuala ya Uchumi, Afya, Elimu, Nishati na Ulinzi. Katika mdahalo huo ulioanza mishale ya saa kumi na dakika tano na kuisha saa kumi na moja kasorobo alfajiri ya kuamkia leo, ni wazi kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Republican Gavana Mitt Romney alionyesha kutulia huku akielezea sera za Chama chake kwa ufasaha na kujiamini zaidi na kujibu maswali yaliyoelekezwa kwake kwa weledi wa hali ya juu. Kwa upande mwingine, Rais anayetetea kiti hicho Barack Obama wa Democrat ameonyesha kutomudu vyema mdahalo huo huku akiongea kwa kutojiamini na kushindwa kumudu vyema maswali yaliyoelekezwa kwake kama ambavyo alivyokuwa mzungumzaji mzuri na mahiri wakati wa kampeni za Mwaka 2008. Kwa mdahalo huu wa leo, naamini hata kiwango cha kukubalika cha Mitt Romney kitaongezeka na hivyo kumpa wakati mgumu sana mtetezi wa kiti hicho Barack Obama.


Nini maoni yenu wadau?

Unaposema Romney amgaragaza Obama katika mdahalo weka na ushahidi sio kutumia kichwa chako.
 
Nimefurahi sana asubui ya leo maana Obama ni kilaza tu analeta maneno mengi wakati Romney anatoa data za uchumi.Obama alibaki anashangaaa tu.MAREKANI INAMUITAZI MTUU KAMA ROMNEY.Kwanza asilimia 70% ya wamarekani wanaamini huyu jamaa ni muislum

Kwa hiyo tatizo la Marekani ni Uislam?
 
Hata mimi naona Romney amefanya vizuri.
kuna kipindi Obama alikuwa na kigugumizi kama JK.
Hata baada ya mjadala mke wa Obama, Michele alionekana dhahiri kuwa amekuwa very disapointed wakati mke wa Romney alionekana kufurahia.
Yaani obama alivyoanza mambo yako ya fare shot or Donald trump duh yaani obama amechemsha mnooo
 
dah, ngoja tusubiri debate nyingine tarehe 16 oct, hii nafikiri itakuwa ya international policies.
Nafasi ya obama kujipanga upya“ KUVUNJIKA MWIKO SI MWISHO WA UHUNZI,,!”
Obama naye alitusahau sana africa, wakati wengi tulikuwa na matarajio ya mtelemko kutokana na yeye kutokea asili ya africa. hiki kipigo ni kama laana kwake!
Libya libya
 
Unazijua sera za Romney kwa hayo maeneo uliyayataja?

Sera za Rommey ni mbaya sana, akifanikiwa kuwa RAIS wa Merikani mashariki ya kati kutawaka moto akishirikiana na Netanyahu, mkuu dunia haitakuwa salama na chini ya Kiongozi huyu mpenda vita na mbaguzi.
 
Back
Top Bottom