February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
Nilichogundua wewe kidogo una idea kwa mbali ya haya mambo ya space..hawa "great thinkers" wengine wanazingua.Mkuu nilichosema imethibitishwa mara nyingi. Tangu Mariner 4 (NASA) kwenye mwaka 1964 vipimaanga vimepita karibu na Mirihi. Viking 1 (NASA) ilikuwa chomboanga cha kwanza kutua kwenye Mirihi. 1997 Mars Pathfinder ilipeleka rover ya kwanza. Mars Express ya Umoja wa Ulaya ilizunguka Mirihi tangu 2003. Mwaka uliofuata, Marekani ilipeleka tena marover 2 (magari madogo ya kupiga picha na kupima mazingira) huko, yaliitwa Spirit na Opportunity.
Pamoja na hayo, nina uhakika hakuna binadamu atakayefika pale katika miezi 24 ijayo.
Ask me anything about space and aliens