The Truth behind aliens

The Truth behind aliens

Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.

Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
1593239759241.png
Picha ya eneo kwenye Mirihi, ilchukuliwa na kipimaanga Mars Global Surveyor
Picha kama hizi zimeleta hoja kuwa maumbo yanyaoonekana ni ya delta, yaani mdomo wa mto unapoishia katika ziwa au bahari. Hapa asili ya imani Mirihi ilikuwa na maji ya kutiririka kwenye uso wake, miaka milioni iliyopita.
 
Propaganda tu za wamarekani, hakuna kitu kama hicho,

Jiulize kwanini hao aliens waonekane marekani tu?!

Inamaana nchi nyingine hawapendi kuja ni marekani tu?!

Hebu tuache kuchotwa akili na hawa jamaa, naona wanapenda sana kutu brainwash sana!
 
concept zangu nyingi zinakuja kuharibika napo sikia dunia ni duara yan na choka kufikiri
 
hakuna aliens wala hakuna sayari zenye uwezo wa kuishi viumbe,sayari zote ni nyota tu wala hazina udongo wala maji,hii dunia sio sayari,hairuki angani wala haina motion ya aina yeyote badala ya tetemeko la ardhi na iko peke yake na inawezekana kuwa ukubwa wake hauna mwisho inaendelea milele na milele wala sio duara na bahari pia ni milele.

kama kuna viumbe wanaishi basi watakuwa juu ya ardhi hii ambako sisi hatuwezi kufika na wao hawawezi kuja huku kwetu ,na hao viumbe hawatakuwa kama eliens tuaoonyeshwa kwenye movies inawezekana wakawa kama sisi tulivyo
hii kali kuliko
 
mkuu how do you define beuty at looking....??

Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??

Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...

Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...

Is beuty more important than Intellingence...??

Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??


You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!

What is the beuty purpose you deserve ...??

Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....

Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..

Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....

Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...

They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...

Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...

kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....

Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...

Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...

Note that.....



Sent using Jamii Forums mobile app
it's a fact
 
Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.

Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
Tutahamsha kiasi cha maji kupeleleka huko. Binadam huwa hatukubali kushindwa.
 
Mnasumbuka tu. Msichokijua ni kwamba hao Aliens ndo walimtengeneza binadamu na ndio wanam control hadi leo. Rejea kwenye biblia kitabu cha Mwanzo pale akina Mungu (aliens) wakisemezana "tumuumbe mtu kwa mfano wetu"

Binadamu wa asili(original) ni mweusi. Hao wazungu wamepatikana kwa wana wa Mungu (aliens) kuwaingilia binadamu na kuzaa nao. Kilichopatikana ni hao wazungu na ndo maana wako intelligent na wanajiita wateule.

Soma Mwanzo 6

1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.


Wewe hujiulizi hao wana wa Mungu waliozaa na wanawake binadamu ni akina nani? Maana tunajisema wana wa Mungu ni sisi binadamu, sasa hao wengine wana wa Mungu ni viumbe gani?? Kiufupi ni alliens.
 
Mnasumbuka tu. Msichokijua ni kwamba hao Aliens ndo walimtengeneza binadamu na ndio wanam control hadi leo. Rejea kwenye biblia kitabu cha Mwanzo pale akina Mungu (aliens) wakisemezana "tumuumbe mtu kwa mfano wetu"

Binadamu wa asili(original) ni mweusi. Hao wazungu wamepatikana kwa wana wa Mungu (aliens) kuwaingilia binadamu na kuzaa nao. Kilichopatikana ni hao wazungu na ndo maana wako intelligent na wanajiita wateule.

Soma Mwanzo 6

1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.


Wewe hujiulizi hao wana wa Mungu waliozaa na wanawake binadamu ni akina nani? Maana tunajisema wana wa Mungu ni sisi binadamu, sasa hao wengine wana wa Mungu ni viumbe gani?? Kiufupi ni alliens.
Khiiiiiii!!! Aaahaaaa
 
Yaani jinsi universe ilivyo kubwa kwa asilimia kadhaa nadhani hatupo peke yetu.

Far far far away kwenye galaxy kadhaa kutakuwa na viumbe.
 
Mnasumbuka tu. Msichokijua ni kwamba hao Aliens ndo walimtengeneza binadamu na ndio wanam control hadi leo. Rejea kwenye biblia kitabu cha Mwanzo pale akina Mungu (aliens) wakisemezana "tumuumbe mtu kwa mfano wetu"

Binadamu wa asili(original) ni mweusi. Hao wazungu wamepatikana kwa wana wa Mungu (aliens) kuwaingilia binadamu na kuzaa nao. Kilichopatikana ni hao wazungu na ndo maana wako intelligent na wanajiita wateule.

Soma Mwanzo 6

1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.


Wewe hujiulizi hao wana wa Mungu waliozaa na wanawake binadamu ni akina nani? Maana tunajisema wana wa Mungu ni sisi binadamu, sasa hao wengine wana wa Mungu ni viumbe gani?? Kiufupi ni alliens.
sawa. dunia na duara au tambarale? kwako kashasha
 
Mkuu nilichosema imethibitishwa mara nyingi. Tangu Mariner 4 (NASA) kwenye mwaka 1964 vipimaanga vimepita karibu na Mirihi. Viking 1 (NASA) ilikuwa chomboanga cha kwanza kutua kwenye Mirihi. 1997 Mars Pathfinder ilipeleka rover ya kwanza. Mars Express ya Umoja wa Ulaya ilizunguka Mirihi tangu 2003. Mwaka uliofuata, Marekani ilipeleka tena marover 2 (magari madogo ya kupiga picha na kupima mazingira) huko, yaliitwa Spirit na Opportunity.
Pamoja na hayo, nina uhakika hakuna binadamu atakayefika pale katika miezi 24 ijayo.
Nilichogundua wewe kidogo una idea kwa mbali ya haya mambo ya space..hawa "great thinkers" wengine wanazingua.
Ask me anything about space and aliens
 
Back
Top Bottom