Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 1,054
- 1,617
GreetinGs...!
Nimekuwa nikishangazwa na jinsi huyu kiumbe (not real sure kama ni kiumbe) jinsi uwezo wake ambavyo umekuwa ukielezewa na haswa wanasayansi. Kuwa ni kiume mwenye akili ya ajabu ambapo kumekuwepo na theories kukihusu kuwa wapo mbali sana kiakili, technological basis na infrastructural means na inasemekana wana makazi yao anga za mbali.
Wengine wamefika mbali na kusema Aliens ndio wametengeneza/kuumba binadamu nikabaki mdomo wazi coz aliens wenyewe they have got an ugly face how come wamaeumba viumbe vizuri kuliko wao? But that's not a case my question is nani aliumba hawa viumbe tunaoambiwa wameumba binadamu?
Nimekuwa nikishangazwa na jinsi huyu kiumbe (not real sure kama ni kiumbe) jinsi uwezo wake ambavyo umekuwa ukielezewa na haswa wanasayansi. Kuwa ni kiume mwenye akili ya ajabu ambapo kumekuwepo na theories kukihusu kuwa wapo mbali sana kiakili, technological basis na infrastructural means na inasemekana wana makazi yao anga za mbali.
Wengine wamefika mbali na kusema Aliens ndio wametengeneza/kuumba binadamu nikabaki mdomo wazi coz aliens wenyewe they have got an ugly face how come wamaeumba viumbe vizuri kuliko wao? But that's not a case my question is nani aliumba hawa viumbe tunaoambiwa wameumba binadamu?