The Truth behind aliens

The Truth behind aliens

GreetinGs...!

Nimekuwa nikishangazwa na jinsi huyu kiumbe (not real sure kama ni kiumbe) jinsi uwezo wake ambavyo umekuwa ukielezewa na haswa wanasayansi. Kuwa ni kiume mwenye akili ya ajabu ambapo kumekuwepo na theories kukihusu kuwa wapo mbali sana kiakili, technological basis na infrastructural means na inasemekana wana makazi yao anga za mbali.

Wengine wamefika mbali na kusema Aliens ndio wametengeneza/kuumba binadamu nikabaki mdomo wazi coz aliens wenyewe they have got an ugly face how come wamaeumba viumbe vizuri kuliko wao? But that's not a case my question is nani aliumba hawa viumbe tunaoambiwa wameumba binadamu?
 

Attachments

  • gettyimages-516553246-1024x1024.jpg
    gettyimages-516553246-1024x1024.jpg
    39.3 KB · Views: 32
GreetinGs...!

Nimekuwa nikishangazwa na jinsi huyu kiumbe (not real sure kama ni kiumbe) jinsi uwezo wake ambavyo umekuwa ukielezewa na haswa wanasayansi. Kuwa ni kiume mwenye akili ya ajabu ambapo kumekuwepo na theories kukihusu kuwa wapo mbali sana kiakili, technological basis na infrastructural means na inasemekana wana makazi yao anga za mbali.

Wengine wamefika mbali na kusema Aliens ndio wametengeneza/kuumba binadamu nikabaki mdomo wazi coz aliens wenyewe they have got an ugly face how come wamaeumba viumbe vizuri kuliko wao? But that's not a case my question is nani aliumba hawa viumbe tunaoambiwa wameumba binadamu?
mkuu how do you define beuty at looking....??

Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??

Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...

Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...

Is beuty more important than Intellingence...??

Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??


You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!

What is the beuty purpose you deserve ...??

Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....

Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..

Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....

Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...

They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...

Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...

kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....

Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...

Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...

Note that.....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu how do you define beuty at looking....??

Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??

Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...

Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...

Is beuty more important than Intellingence...??

Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??


You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!

What is the beuty purpose you deserve ...??

Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....

Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..

Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....

Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...

They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...

Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...

kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....

Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...

Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...

Note that.....



Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujaelewa kabisa au umeelewa sehemu ndogo sana ya concept ya kilichoandikwa, it's not about looking or beauty of Aliens it's about who created Aliens. Dig deep and understand what is written and come up with concrete answers and evidance if there is any!.
 
Nadhani hujaelewa kabisa au umeelewa sehemu ndogo sana ya concept ya kilichoandikwa, it's not about looking or beauty of Aliens it's about who created Aliens. Dig deep and understand what is written and come up with concrete answers and evidance if there is any!.
kuna matabaka mbalimbali ya beings...kila tabaka lina Intelligence continnum yake...

Aliens wapo katika class tofauti kulingana na intelligence trend...
kuna mamlaka zingine zinazotawala Aliens race kulingana na Anga walipo...Am sure na hiki kitu...

Anga ambalo lipo karibu na sisi ndo liliinteract na mazingira ya huku na kusababisha kutengenezwa kwa kiumbe mwingine kwa kazi maalumu...

it is difficult kuhoji mamlaka kubwa wakati upo shimoni huoni nje pakoje mkuu...hilo lazima ulielewee ...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna matabaka mbalimbali ya beings...kila tabaka lina Intelligence continnum yake...

Aliens wapo katika class tofauti kulingana na intelligence trend...
kuna mamlaka zingine zinazotawala Aliens race kulingana na Anga walipo...Am sure na hiki kitu...

Anga ambalo lipo karibu na sisi ndo liliinteract na mazingira ya huku na kusababisha kutengenezwa kwa kiumbe mwingine kwa kazi maalumu...

it is difficult kuhoji mamlaka kubwa wakati upo shimoni huoni nje pakoje mkuu...hilo lazima ulielewee ...



Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanasema Aliens wameumba watu, na kuwapa supeiorty kama unayowapa but the same people wana question who created GOD? I think haipaswi kuwa difficult kuhoji who created Aliens.. Scientist told us how this globe was formed, the formation of universe why they can't tell us where do aliens came from? I think You're curious about it as well why can't you open up your mind to find out the answers?
 
Watu wanasema Aliens wameumba watu, na kuwapa supeiorty kama unayowapa but the same people wana question who created GOD? I think haipaswi kuwa difficult kuhoji who created Aliens.. Scientist told us how this globe was formed, the formation of universe why they can't tell us where do aliens came from? I think You're curious about it as well why can't you open up your mind to find out the answers?
kabla ya kulalamika kuwa hawataki kuweka uwazi juu ya ukweli huo bais hoji kwanza advantage ya kuficha ukweli...

Usilaumu kwanini wanaweka usiri juu ya hiyo kitu pengine kupitia usiri huo wew ndo unaendelea kupata civilization tofauti tofauti...
Jaribu kureason behind in the importance of hiding the truth ndo utajua reality ilivyo....hao sio wapumbavu kiasi hicho cha kuexpose haya mambo naamini mlango wa kutokea ni mdogo hivyo inapasa watu wachache wachomoke...

bais nahisi utakuwa umepata kity mkuu..hakuna haja ya kulumbana eti kuwalaumu kwanini wanaficha ,ila tunapaswa kufind out importance of hiding the true information kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kabla ya kulalamika kuwa hawataki kuweka uwazi juu ya ukweli huo bais hoji kwanza advantage ya kuficha ukweli...

Usilaumu kwanini wanaweka usiri juu ya hiyo kitu pengine kupitia usiri huo wew ndo unaendelea kupata civilization tofauti tofauti...
Jaribu kureason behind in the importance of hiding the truth ndo utajua reality ilivyo....hao sio wapumbavu kiasi hicho cha kuexpose haya mambo naamini mlango wa kutokea ni mdogo hivyo inapasa watu wachache wachomoke...

bais nahisi utakuwa umepata kity mkuu..hakuna haja ya kulumbana eti kuwalaumu kwanini wanaficha ,ila tunapaswa kufind out importance of hiding the true information kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu nimepata pa kuanzia umenipa concept mpya. I need to findout kwanini wanaficha.
 
Ahsante mkuu nimepata pa kuanzia umenipa concept mpya. I need to findout kwanini wanaficha.
yani mkuu hicho ndo kitu pekee ambacho you should never keep blaming kulalamika kila siku kuwa kwanini wanaficha...find out the postive findings and importance of hiding haya mambo ndo utaweza procced mbele huko la sivyo hapa jukwaaani tutakuwa tunaoneshana uwezo wa kujua lakini there si something we lag behind hasa kujua faida ya kuto expose haya mambo ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwepo wa aliens hauna tofauti na story za uchawi zote ni story za kusadikika.
Uchawi upo kila pande ya dunia kila sehemu wana story za uchawi kutokana na matukio mbalimbali,sasa hao Aliens story zao zinatoka sehemu moja tu na hatuoni matukio yenye kuambatana na uwepo wa hao viumbe.
 
mkuu how do you define beuty at looking....??

Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??

Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...

Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...

Is beuty more important than Intellingence...??

Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??


You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!

What is the beuty purpose you deserve ...??

Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....

Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..

Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....

Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...

They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...

Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...

kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....

Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...

Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...

Note that.....



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu hawa tunaowaona kwenye movie na picha ndio mfano halisi wa hao Aliens walivyo?
 
sijajua kama wanaportary real figure yao...ila hao viumbe wapo katika sura tofauti tofauti kulingana na race zao pia...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyokuwa unajadiliana na jamaa hapo kuhusu suala la Aliens kuumba binaadamu na maumbo mazuri au muonekano ila wao wenyewe Aliens wana muonekano mbaya nikafikiri labda kweli hawa viumbe tunaowaona kwenye movie ndio mfano halisi wa Aliens.
 
mkuu how do you define beuty at looking....??

Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??

Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...

Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...

Is beuty more important than Intellingence...??

Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??


You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!

What is the beuty purpose you deserve ...??

Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....

Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..

Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....

Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...

They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...

Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...

kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....

Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...

Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...

Note that.....



Sent using Jamii Forums mobile app
Je kuna mtu alishawaona hao viumbe na kama hamna picha zao wanazitoa wapi msaada tafadhali
 
Ila mie najiuliza hizi habari za Aliens kwa hiki kiasi ambacho watu wanakijua wamepata wapi?maana zile point muhimu ambazo watu wanataka kuzijua wanapohoji ndio tunaambiwa habari zao ni siri ila mengine ya kuwapamba kuhusu uwezo wa hao viumbe kwamba hadi sisi binaadamu tumeumbwa na wao ndio sio siri sana ndio maana tunajua.
 
Habari wanajukwaa?
Naona kichwa cha habari kitakuwa kimekuvutia na wewe pia.
Hata mimi natamani kufahamu ukweli uliojificha juu ya viumbe hivi kutoka sayari nyingine. Nilishapataga kusikia sana hususani nikiwa bado kijana mdogo kuwa viumbe hivi vilikuja duniani na kufanikiwa kutua sehemu za US. walikimbizwa na majasusi wa kimarekani lakini vyombo vyao vilikuwa na kasi kubwa na vilikuwa na uwezo wa kukata kona ya nyuzi tisini.

Sina uhakika wa habari hizi ama ni hadithi za mwalimu wa fizikia, tafadhali mwenye ujuzi zaidi hebu atujuze!!

Wasalaam!!
hakuna braza! ni story kama za marvel comics tu
 
Katika kufanya utafiti inaelezwa kwamba wanasayansi waligundua kuwa kuna maisha nje ya Sayari ya Dunia katika Sayari ya Mars. Inaaminika kwamba kuna viumbe wanaishi katika sayari hiyo. Inatajwa kuwa, viumbe wanaoishi katika Sayari ya Mars wameendelea sana kiteknolojia kuliko binadamu. Ufahamu wao ni mkubwa mara nyingi zaidi ya ule wa wanadamu.

Serikali ya Marekani kwa kushirikiana na kituo cha anga cha NASA wanadaiwa kwamba wanafahamu ukweli wa jambo hilo lakini wanauficha kwa binadamu kwa sababu wanazijua wao wenyewe.

Kabla ya jambo hilo, kwa muda mrefu wanasayansi wamekuwa wakitafuta uwezekano wa maisha katika sayari nyingine mbali na dunia.

Kuna imani kuwa kwenye sayari hizo, huenda kuna rasilimali nyingi kwa urahisi kuliko duniani ambako binadamu wameishi maelfu ya miaka hadi sasa.

Wataalam hao wa anga wamekuwa wakifanya utafiti huo kwa muda sasa na moja ya mambo muhimu ambayo wamekuwa wakiyaangalia ni upatikanaji wa maji. Popote maji yanapopatikana, wanaamini maisha yanawezekana. Moja ya sayari ambazo wamekuwa wakiichunguza kwa miaka mingi sasa ni Sayari ya Mars ambayo ni ya nne kutoka kwenye jua. Dunia ni ya tatu.

Inaelezwa kwamba sababu kuu za kuichagua sayari hiyo tofauti na zingine ni kwamba, hali ya hewa inatofautiana kidogo sana na ya dunia.Sayari nyingine kama Mercury na Venus, zipo karibu zaidi na jua na hali ya joto iko juu kiasi kwamba hali ya maisha inaweza kuwa tabu.

Sayari ya Mars ambayo wanasayansi wanaipa jina la Sayari Nyekundu ipo karibu na dunia, hivyo ni rahisi kufika iwapo wanasayansi watathibitisha iwapo maisha yanawezekana huko.

Wanaiita sayari nyekundu kwa sababu eneo kubwa la uso wake ni wa rangi nyekundu, tofauti na nyingine zilizomo kwenye mfumo wetu wa sayari.

Hakuna mwanasayansi ambaye amethubutu kusafiri hadi kwenye sayari hiyo kutokana na ugumu wa kupata vyombo vya kuaminika, vinavyoweza kusafirisha watu kutoka duniani hadi Mars na kurudi salama.

Hata hivyo, hilo siyo tatizo kwa sababu wakibaini mazingira mazuri, utengenezaji wa vyombo hivyo hauwezi kuwapa tabu.Kazi ya uchunguzi imekuwa ikifanywa kwa vyombo maalum ambavyo havina watu lakini vina uwezo wa kuleta mawasiliano duniani.

Pia wanatumia viona mbali katika mchakato huo kuchunguza hali ilivyo kwenye sayari hiyo ambayo kumekuwapo na hisia kwamba huenda waliwahi kuishi viumbe hai mamilioni ya miaka iliyopita lakini baadaye mazingira yakabadilika na kuwa mabaya.

Uchunguzi unaonesha kuwa, Sayari ya Mars ina mabonde mengi ambayo yana kila dalili kuwa awali yalikuwa yanatiririsha maji kama ilivyo mito ya hapa duniani.

Kwa muda mrefu, wanasayansi wamekuwa wakiichukulia sayari hiyo kuwa na mazingira ya jangwa yanayotokana na ukame wa muda mrefu.

Hata hivyo, tafiti za hivi karibuni zilikuja na maelezo kwamba sayari hiyo ina kiwango kikubwa cha maji na mengi yapo mita chache kutoka uso wake.

Mmoja wa wanasayansi wanaochunguza sayari hiyo ni Profesa Jay Melosh wa Chuo Kikuu cha Purdue nchini Marekani. Yeye anasema uchunguzi huo umewapa imani siyo tu kwamba Mars ina maji bali kuna viumbe ambao siyo binadamu na bakteria ambao wanaendelea kuishi humo hadi leo hii.

Ni uchunguzi ambao wanaamini una matumaini tofauti na taarifa za uchunguzi uliopita na kizuri zaidi pia ni kubaini kuwa maji yapo kwa wingi zaidi.
Kwa sababu hiyo, wanaamini kwamba maisha yakianza kwenye Sayari ya Mars, kuna uwezekano pia binadamu wakahamia huko.

Taarifa za uwepo wa maji kwenye sayari hiyo zilitolewa kwenye mkutano wa wanasayansi wanaochunguza anga za mbali, uliofanyika nchini Australia, Juni, mwaka huu.

Moja ya dalili za uwepo wa maji ni vimondo ambavyo vimekuwa vikianguka kwa wingi kwenye uso wa sayari hiyo.

Mtaalam wa Uhandisi na Mambo ya Anga, Profesa Kathleen Howell anasema picha walizopiga maeneo ambayo vimondo vimegonga uso wa Mars, zilionesha dalili kama za mtu aliyetupa jiwe kwenye eneo lenye tope.
Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.

Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
 
Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.

Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
Umesoma mpango wa Space X na mission yao huko Mars. Ulilosema bado halijathibitishwa pia. Ila amini ndani ya miezi 24 ijayo binadamu wa kwanza atatua Mars
 
Umesoma mpango wa Space X na mission yao huko Mars. Ulilosema bado halijathibitishwa pia. Ila amini ndani ya miezi 24 ijayo binadamu wa kwanza atatua Mars
Mkuu nilichosema imethibitishwa mara nyingi. Tangu Mariner 4 (NASA) kwenye mwaka 1964 vipimaanga vimepita karibu na Mirihi. Viking 1 (NASA) ilikuwa chomboanga cha kwanza kutua kwenye Mirihi. 1997 Mars Pathfinder ilipeleka rover ya kwanza. Mars Express ya Umoja wa Ulaya ilizunguka Mirihi tangu 2003. Mwaka uliofuata, Marekani ilipeleka tena marover 2 (magari madogo ya kupiga picha na kupima mazingira) huko, yaliitwa Spirit na Opportunity.
Pamoja na hayo, nina uhakika hakuna binadamu atakayefika pale katika miezi 24 ijayo.
 
Back
Top Bottom