mkuu how do you define beuty at looking....??
Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??
Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...
Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...
Is beuty more important than Intellingence...??
Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??
You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!
What is the beuty purpose you deserve ...??
Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....
Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..
Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....
Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...
They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...
Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...
kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....
Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...
Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...
Note that.....
Sent using
Jamii Forums mobile app