CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
Ntilie basi neno kwa mah'buba.
nawatakia kila la heri. Bishanga and The secretary forever. . . . . li li li
Last edited by a moderator:
Ntilie basi neno kwa mah'buba.
Mi nnaye huyu,kwa jinsi roho yangu ilivyomdondokea,niko tayari kwa lolote,hata akitaka li apartment langu la masaki nitampa hati fasta.
Ntilie basi neno kwa mah'buba.
Ona sasa!
Wa kukataa ofa sampuli hii , nitajitolea kwa gharama zangu nimpeleke sakartry wakampime akili .
Mwambie hiyo ofa akupe wewe niifate kwako majigambo ya bure hana lolote na geto lake la mabwe pande
Mwambie hiyo ofa akupe wewe niifate kwako majigambo ya bure hana lolote na geto lake la mabwe pande
Bora umetoa angalizo,ujue erick ana msongo wa mawazo Amyner kambwaga chini.
...mkuu Erickb52...uko salama..maana hapo kwenye weusi pamenishtua...Bora umetoa angalizo,ujue erick ana msongo wa mawazo Amyner kambwaga chini.
I love you.......
nawatakia kila la heri. Bishanga and The secretary forever. . . . . li li li
Duh kaaz kwelikweliSijui nikushukuruje,mmmmmwwwaaaaaaa......