Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,198
- 78,101
...hahahahaha....so ugali una mabuje buje...?Nifanyeje mtu wangu,unga ltd maji yamezidi unga.
...hahahahaha....so ugali una mabuje buje...?Nifanyeje mtu wangu,unga ltd maji yamezidi unga.
Teh ngoja umkute ni dume
wakubwa wanajaa chumbani?,...hujambo!!!
Hapana mkuu,The Secretary ni mtoto mashallah!
Mungu kampa kila kitu...macho ya kuita,shingo ya upanga,figa nambari nane,mguu wa kihaya,sauti ndo usiseme inaita,ngozi laini utadhani kazaliwa leo,yaani mambo mengine usiseme.
mimi niko poa dogo...uzi wa braza huu tusichakachue bana!!!Niko poa dogo mambo vipi
Yuko bafuni anaoga,ngoja akitoka.
Babaake! Usipoteze hiyo point fasta, hukohuko bafuni mfate!
Akibugi tu kuku'allow ukiingia bafuni unafunga Thrade. Hatutakua na uwezo wa ku'comments vya bafuni.
hata hiyo nguvu ya kugonga mlango anayo basi!
Mambo yote mariedo!
Nijibu basi main thread pliiiiz!!!!!
Au nirudie kujimwaga?
ndo maana nakwambia mbona umebadilika
Mi nnaye huyu,kwa jinsi roho yangu ilivyomdondokea,niko tayari kwa lolote,hata akitaka li apartment langu la masaki nitampa hati fasta.Kazza buti mwanaume!
Awali nilitaka kuona kama uko kimzahamzaha hivi.
Sasa nimeona uko serious, hebu komaa uchukue jimbo haraka.
Kuzingatia jimbo lilikua wazi .