Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Na ile saluni ya Serena hotel inauzwa,mwambie The Secretary kama anaitaka nimnunulie.
teh uza ndizi umnunulie
Na ile saluni ya Serena hotel inauzwa,mwambie The Secretary kama anaitaka nimnunulie.
Usicheze na kupenda,hivi niko njiani naelekea boda tunduma,mtoto The Secretary kumbe anaishi Lusaka.
ha haaaaaaaaaaaaaa, mambo ya kupenda usipopendwa, lol
teh uza ndizi umnunulie
Usicheze na kupenda,hivi niko njiani naelekea boda tunduma,mtoto The Secretary kumbe anaishi Lusaka.
Hahahaa chombo ndio kinapotea hicho hakuna kupona
teh uza ndizi umnunulie
Ya Lizzy yametokea wapi tena love,hujui ana mmewe huyo,sema kajamaa kenyewe kachovu ni hatari.
Ya Lizzy yametokea wapi tena love,hujui ana mmewe huyo,sema kajamaa kenyewe kachovu ni hatari.
SS kwani ni uongo,jamaa yake Lizzy si mpiga debe stendi arusha?