...ebwana eeh...umehamia mtaa wa pili..sio..
Yuko bafuni anaoga,ngoja akitoka.
Hahahaaa mpe tena aiseeMtaa wa pili kashaharibu siku nyingi nilimpa nafasi ya sekunde tano tu akawa kesha cheza rafu kaniudhi ni kampa mashuti labda akajaribu tena kwa LIZZY
wazee wasikuhizi bana...ivi wewe ndio yule unaevaa suruali bila mkanda eeh?
Nifanyeje mtu wangu,unga ltd maji yamezidi unga.
Mtaa wa pili kashaharibu siku nyingi nilimpa nafasi ya sekunde tano tu akawa kesha cheza rafu kaniudhi ni kampa mashuti labda akajaribu tena kwa LIZZY
wakubwa wanajaa chumbani?,...hujambo!!!Teh we ya wakubwa yaache tu
Teh ngoja umkute ni dume