xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,288
Yap! uhondo unaendelea na kuanzia Episode ya 14 au 15 nahisi ndio utakuwa mwanzo wa utamu kamili wa Tamthilia hii nashukuru wooooote kwa sapport. Lakini shukrani zangu za kipekee ziwafikie prospa, everlenk na beth ambao wamekuwa watu wa kwanza kutoa michango yao kwaajili ya kuisapot Tamthilia hii naamini wasomaji wangu wengine wanaonipa nguvu kubwa kabisa kwa kufatilia tamthilia hii wasomaji kama ram, xfactor,davidson689, Mrembo by Nature, Mbimbinho, Kyenju na wengine wengi sana zaidi ya 5000 siwezi kuwataja woote naamini pia wapo njiani kusapot kazi hii kwa kuichangia hata kidogo
Kama kawaida brother.Hii simulizi inanipa feelings kama zile nazopata nikiwa naangalia TV series za action.
Umenifurahisha ulivyoingiza matukio ya computer hacking maana ndio eneo langu la kujidai japo terms ulizotumia sio sahihi sana ila imeeleweka na inafariji kuona mwandishi ukiwa na upeo wa haya mambo maana ndio dunia yetu ilipo sasa,watu hawapigani kwa bunduki ila kwa teknolojia ya computer.
Big up sana,nipo mguu kwa mguu.