Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,550
- 1,852
kuna kitu kinagoma katika maisha ya uhalisia! prof ryeyemamu ni mwanasheria mkuu hivi kwa akili ya kawaida mtu hadi aufikie uprof na kuwa mwanasheria mkuu wa serikali atakuwa na miaka mingapi? wakati huo huo baba yake still ni mwanasiasa maarufu
najiuliza hawa baba na mwana wanatofauti ya umri gani?
najiuliza hawa baba na mwana wanatofauti ya umri gani?