MAPITIO YA TAMTHILIA; Kaeni mkao wa kula kwa ajili ya Episode No 6.
Kikosi cha Rweyemamu kinafanikiwa kujua mahali alipo Brenda na kujua kuwa Brenda hakuwa amepoteza maisha, sasa kinajipanga na kwenda kuvamia mahali alipokuwa mrembo huyo, What is next? watch Out for Episode No 6 jioni ya leo.
Jana after church nilikua invited na msomaji wangu mmoja anaishi tabata, niliinjoy sana kukuta familia nzima inafatilia Tamthilia hii, Lakini kikubwa zaidi the way walivyokuwa wakiizungumzia story hii ilinionesha jinsi wasomaji wangu wanavyo vutiwa na mtiririko wa matukio. Mwenyeji wangu hakutaka kunitajia ID yake ya hapa Jamvini hivyo nitashindwa kumtaja lakini Big up sana kwake.
Mwisho, naomba niwathibitishie kuwa Hii stori ndio kwanza inaanza, bado kabisa muda wa kusema theme ya hii story baadhi wanasema kuwa ni story ya Action na mapenzi kidogo, Trust me idea ya simulizi hii ni Action kidogo sana na Mapenzi mazito, utathibitisha hilo kadri tutakavyoendelea mbele na story hii. Ok nawatakia asubuhi njema na mafanikio kwenye shughuli zenu za kutwa nzima.
NAWAPENDA SANA.