Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Baada ya formal party, queen ataondoka na kuwaachia palace wajukuu wake, Prince Harry atafanya party ya vijana tuu.watu 650 ndo wamealikwa ukumbini na sherehe zitaisha arasili ya leo...hakuna usiku wala nini