The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .

Kama ni hivyo MwK basi itakuwa vizuri sana kukabiliana na CCM na hii iende sambamba na kuwafahamisha Watanzania wote hasa wa vijijini juu ya uchafu unaoendelea kufanywa na CCM.
 

kwanini asiwe Zitto au Mbowe akaja kwa mara pili?
 


Mkuu Kalamu,

Conclusion yako ni nzuri ingawa bado wale walio na ushabiki wa kivyama badala ya kudadisi mielekeo ya matukio, bado hawataridhika nayo. It is time now for Chadema, NCCR, TLP, CUF & even UDP and other small parties, kuunganisha nguvu zao, kuondoa dosari ndani yao na kuanza kufanya kazi kwa pamoja kama chama kimoja ili wananchi wawaamini na kuelewa wanachopigania katika umoja wao.

Bila ya hivyo wasitegemee watu wenye akili zao, no matter how ugly CCM looks like, wata-i-dampo CCM na kuwaamini Chadema, TLP, CUF n.k. kuwa watakuwa tofauti, hasa ukitilia maanani kuwa, wao nao wana dosari ambazo tayari zimo vichwani mwa baadhi ya wananchi.
 


Mkuu FMES,

Hayo maneno ndio ya kuhimiza humu mtandoni. Wakiungana pia watapunguza gharama zinasojirudia katika kila chama.
 

Angalau sasa unabadili tone na hupingi suala la CHADEMA au upinzani kugombea nafasi ya uraisi mwaka 2010. Punguza chuki za kidini na kikabila na utaishi maisha marefu.
 
Angalau sasa unabadili tone na hupingi suala la CHADEMA au upinzani kugombea nafasi ya uraisi mwaka 2010. Punguza chuki za kidini na kikabila na utaishi maisha marefu.

Mwafrika wK,

You seem to be angry each time you read my postings and causes your IQ to shoot down to earth. My position is always very clear and never change, read my first posting here. It is for you to adjust to realities that criticism is not enmity. I told your buddy Asha that when angry she should count to ten before posting anything, but if very angry, she should count to a thousand.

I would advise you to count to at least two thousands before responding to any of my comments. You tend to lose so much of your wits.
 

My Dear Kubwa Jinga

Any comment on this?

Asha
 

Do you have any word on this as well? If not ask Mugongo Mugongo to come up

Asha
 

Do you agree with me on this? You seem to skip my post jamani. I am just reminding you to respond to the issues I have raised.

Asha
 

Come on guy! Kama kimeeleweka niambie tu adios, otherwise- tuliendeleze

Asha
 


Is it a sign of being provoked to the extent that you degrade her that her IQ is down, or are you losing your wits as well? Have you counted up to ten thousand before writing this? I think you should count and rewrite. Just be sober, there is nothing personal.

The main mjadala was Dr Slaa for Urais 2010, lets get back to the talk...

Asha
 

Asha, No comments. Sikuzijibu postings zako maana zimejaa speculations na ushabiki wakati mimi napendelea kufanyia kazi facts. Ndio maana sikuona sababu ya kupoteza muda kujibu ushabiki.

Hii ni pamoja na hizo nyingine zilizofuata. Wakati tunajibizana hapa, sio ajabu Zitto akawa yupo nyumbani kwa balozi wa TZ, DC, kwa mwaliko wa maongezi ya 'kawaida'.
 
Do you agree with me on this? You seem to skip my post jamani. I am just reminding you to respond to the issues I have raised.

Asha

Yaah! Nazi-skip message ambazo ni miningless. Kikwete kurudi 2010 huwezi kuipinga hapa na ikawa hivyo.

Ukitaka asirudi shawishi wabunge wamuondoe kabla ya 2010. Lakini uwezekano wa kurudi ni mkubwa whether unapenda au la.
 

 
Yaah! Nazi-skip message ambazo ni miningless. Kikwete kurudi 2010 huwezi kuipinga hapa na ikawa hivyo. Ukitaka asirudi shawishi wabunge wamuondoe kabla ya 2010. Lakini uwezekano wa kurudi ni mkubwa whether unapenda au la.

Silence means YES. Ok

Asha
 

Wasomaji ndio waamuzi basi.

Hilo la Zitto mbona umezusha tena? Zitto mbona hayuko Washington wala New York leo? Ratiba yake ya wiki hii si imetangazwa? Sasa inamaana huyo balozi wa tanzania anapatikana kila state. Mbona unapenda propaganda wewe? Unataka tuamini kwamba Zitto wetu amenunuliwa? Hutafanikiwa kwa kweli.

Ni rahisi kusema tu, 'sijibu kwa kuwa simejaa speculations na ushabiki', kama ndio hivyo basi, kwa nini usizichane chane hoja kwa hoja kama wanavyofanya wakina mwanakijiji, Mkandara, FMES, Kitila na wengine ili nionekane bayana kama usemavyo?

Jamani si ukiri tu kwamba yamekushinda? Hii sio mchezo wa lazima kushinda jamani. Hapa tunatoa mawazo tu. Kama umeona mawazo yangu yamekushawishi au umeyaelewa si useme tu!

Asha
 
Kubwa Jinga

Mi si mtaalamu wa kuweka hizo links, kwa hiyo ambayo imekataa kufungua-nilidhamiria kuweka links ya kwenye thread hii- http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123 eneo ambalo nilianza kukuuliza maswali ambayo mpaka sasa hujanijibu. Hebu ingia kwanza huko ujibu maswali yangu.

Kuhusiana na majibu ya Zitto na Mnyika kuhusu Viti Maalumu sijaweka link yoyote, nimekwambia ufanye searching. Lakini kama hujui pia, hebu mwambie Game Theory aweke hapa link za thread zote ambazo Zitto na Mnyika wamezungumzia suala la Viti Maalum kuanzia kwenye “Mbowe Vs Chifupa”, “The only thing to fear”, “Focus 2010”, “CHADEMA Must reform” na nyingine nyingi tu. Mi niliwahi kufanyiwa searching hapa nikaona kuwa suala hili Zitto na Mnyika wamelitolea maelezo hapa vizuri kabisa mwaka 2006, 2007 na hata 2008 mpaka wanachama wengine humu wakaridhika

Nijibu pia jamani, nimeuliza swali kama uliwahi kufukuzwa CUF kutokana na tabia yako ya kuwabagua watu kutokana na dini na makabila yao.

Asha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…