Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
Mimi nashusha mavitus tu. Hayo ya chuki na ukabila unayaleta wewe na nitawaachia wasomaji wengine wenye fikira nzuri wa-tu-judge. Wakishasoma na ku-comment then nitajibu hoja including za bibie Asha. Naipost tena hoja yangu kwa manufaa ya wasomaji.
Kama hivi ndio mnaita mavitus basi kuna haja ya kutafuta tafsiri mpya ya neno mavitus