The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

You guys while mnaisubiri season 10, better watch "The divide" and "Gang Related", hizi ndio zinanipa mzuka saa hizi, "The last ship" ndio ila sio kiviiile
 
You guys while mnaisubiri season 10, better watch "The divide" and "Gang Related", hizi ndio zinanipa mzuka saa hizi, "The last ship" ndio ila sio kiviiile

Gang Related ni bonge moja la series nimependa sana storyline yake na nimependa zaidi episode ya 12 ilipoishia sikuwahi waza kama mayor naye ni mole wa Javier Acosta, ila ndo ukweli wa mambo ulivyo drug lords huwa wana strong network siku zote, hapa na hamu tu ya kuona season finale itakavyoishia
 
You guys while mnaisubiri season 10, better watch "The divide" and "Gang Related", hizi ndio zinanipa mzuka saa hizi, "The last ship" ndio ila sio kiviiile

Manhattan, Dominion, Falling Skies
 
Mimi naona 24 lazima ije in a way of 24hrs not 12hrs kwa sababu hii naona ni brand name hivyo kufanya ini 12 unaua soko ila ni mtizamo wangu!

Upo sawa mkuu, 24 ni brand name, nina uhakika sio wewe tu ulikasirishwa
 
Revolution ni miongoni mwa series zilizopigwa chini Television cables za USA kutokana na kuwa na viewers wachache kama ilivyotokea kwa "Missing", "deception" "the last resort na wengine ngoja ntafte ile link nta attach apa

Kama last resort waliiacha, basi nadhani last ship itaachwa kwasababu zinakaribia kwenye theme
 
Manhattan, Dominion, Falling Skies

Manhattan siangalii, naangalia Falling Skies na Dominion, aisee kuna The divide ni nzuri kinyama ila kama siwaelewi hivi maana wamestuck kwenye ep5,sijui wanataka kuicancell
 
Gang Related ni bonge moja la series nimependa sana storyline yake na nimependa zaidi episode ya 12 ilipoishia sikuwahi waza kama mayor naye ni mole wa Javier Acosta, ila ndo ukweli wa mambo ulivyo drug lords huwa wana strong network siku zote, hapa na hamu tu ya kuona season finale itakavyoishia

Yaani nitawalaumu sana wasipo-renew for season 2, hii series ina storyline ya kipekee sana, yaani wasiiache waende nayo asee pengine huko mbele itakuja kutoboa kama ilivyotoboa Breaking Bad, japo kuna mtu wamemuua (Miguel Salazar) nilikua natamani sana kuendelea kuiona Character yake, he was acting like a true drug cartel...Pigieni chapuo iendelee hii series.
 
Kama last resort waliiacha, basi nadhani last ship itaachwa kwasababu zinakaribia kwenye theme

Heheheheh issue sio same storyline,huwa wanaangalia viewers rating zikiwa ndogo sana wanapiga chini
 
Manhattan siangalii, naangalia Falling Skies na Dominion, aisee kuna The divide ni nzuri kinyama ila kama siwaelewi hivi maana wamestuck kwenye ep5,sijui wanataka kuicancell

Kuna the flash wamestuck kwenye episode 1
 
Im dying waiting for Homeland Season 4 though am still mourning the death of Sargent Brody...fu'ck CIA, ---- Senator Lockhart.

Teh teh teh Huyo carey mchepuko wa brody alikua anapenda kutumia dat "F" word kila saa.
 
Gang Related wanaikatishia sehemu nzuri,

Wana makusudi kama 24 hawa

Hii sio siri wafanye ku-renew for another season, dah sipati picha Javier akifa, Poor Carlos, Daniel will be running the Los Angelicos family, Kidoogo Chapel kaanza kupata knowledge kuhusu Lopez, The Metas Cartels are still at Large...Come on Fox! Hii ndio Show yao inayobamba saa hizi, wakiicancel sijui watakua wanataka nini??
 
Hii sio siri wafanye ku-renew for another season, dah sipati picha Javier akifa, Poor Carlos, Daniel will be running the Los Angelicos family, Kidoogo Chapel kaanza kupata knowledge kuhusu Lopez, The Metas Cartels are still at Large...Come on Fox! Hii ndio Show yao inayobamba saa hizi, wakiicancel sijui watakua wanataka nini??

Nahisi hawataicancel. Ni show nzuri sana, inatamanisha sana. Inshort sijui fox wanapata wapi hizi shows zao. Zinabamba kinoma.

Back to topic: Kifo cha Javier kitaondoka na wengi sana. Yule mkuu wa DEA ambeye yupo kwenye payroll ya Javier na anataka kupata umeya kwa kuongezewa kura za mexicans atabaki dilema kwa sababu hajui pa kukimbilia.

Daniel na yule kaka yake kilemma wataanza vita tu.

Carlos atajikabidhi mikononi kwa Chapel na wataanzisha vita dhidi ya Metas.

I see the Opportunity ya kuendelea
 
Back
Top Bottom