The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

Nimeona hata Chloe kupitia FB akiwaomba Fox na madirector wa hii series wasikilize kilio cha mashabiki ngoma iendelee.....
 
Moscow is the next station.....meanwhile na-hangout with "GANG RELATED", "THE LAST SHIP", "THE DIVIDE", "DOMINION", "RECKLESS", naipenda Gang Related sababu kwenye mambo ya Drugs bana let the Mexicans be involved...utawapenda tu.
 
Simaanishi theme mkuu nasemea kama season mpya itakuja yaan haitakua na masaa24 kama tulivozoea hizi zilizopita labda itakua ndogo kama ile ya jack alivokua africa haikua kimtindo wa masaa24 coz naona saivi wanazifupisha.
Mimi naona 24 lazima ije in a way of 24hrs not 12hrs kwa sababu hii naona ni brand name hivyo kufanya ini 12 unaua soko ila ni mtizamo wangu!
 
Walikosa story au hela ndo mana wakamalizia pale.
Naomba kuuliza kuhusu Revolution maana sijaielewa hadi leo kama imeisha au la
 
Yeah....very touching scenario....Hivi ishatoka series after Russians takeover ya Jack Baurer? Maana kakosa fursa ya kwenda kumzika Audrey ila the way alivokula kichwa cha Zheng ooooh that is Jumong ways fellas
 
Walikosa story au hela ndo mana wakamalizia pale.
Naomba kuuliza kuhusu Revolution maana sijaielewa hadi leo kama imeisha au la

Revolution ni miongoni mwa series zilizopigwa chini Television cables za USA kutokana na kuwa na viewers wachache kama ilivyotokea kwa "Missing", "deception" "the last resort na wengine ngoja ntafte ile link nta attach apa
 
Kwa maana hakuna epsode 13??kwahiyo inaishaje au muendelezo ni kwenye season 10??

Yah katika hii season mpya episode ya 12 ndo mwisho though imeisha tukiwa na maswali kibao so hatujui kama kutakua na season nyingine au ndo mwisho wa series ya 24 kabisa.
 
Yah katika hii season mpya episode ya 12 ndo mwisho though imeisha tukiwa na maswali kibao so hatujui kama kutakua na season nyingine au ndo mwisho wa series ya 24 kabisa.
Ila watakuwa hawajatenda haki!
 
Hatujajua rais anasema nini juu yakifo cha mwanae karud DC au je Jack Moscow nini kinaendelea na ni cole je agent msaliti?kweli maswali nimengi mno
 
kama china walimfanya vile.... najaribu kufikiria warusi watamfanyaje. maana walikuwa wanamtafuta kwa pozi na bila mikwara. na yule mrusi alivyomwambia 'i would say that you are going to enjoy moscow, but you'd know im lying'
 
kwa anaetaka theme ya 24, ile ticking clock na sound track, ile wanapigaga mwisho wakitoa majina, aandike namba nimtumie whatsapp
 
Back
Top Bottom