inaonekana unahistoria na ghetto......
mimi ninazo ila ni nyumbani kwangu , karibu uje kuzichukua.....
njia rahisi ni kujifunza kudownload movie kwa kutumia torrents........
unainstal programs km vuze , bittorents........
hlf unacopy movie kutoka kwenye sites za torrents km vile The Pirate Bay - The galaxy's most resilient bittorrent site , crazytorrents.com , torrentcrazy.com n.k.
ni bure kabisa , wewe ni bundle yako na spidi ya internet tu.
dah siamin kama episode ya 12 nimeshaichek, rest in piece Aundrey
Jaman Audrey atakufa? Nimeishia episode ya 11 kumbe 12 is out.
duh kumbe na mimi mbeya?? sory mwaya itafute episode 12 imeshatoka
Hahahahaaaa eti mbeya! Tiyari Nshaiona sasa, daah kama kweli imeisha ntaimic jamn ila imeisha kiuzuni sana jack hajatendewa haki kabisaaaaaaa ilitakiwa iishe na zile swaga za "and they lived happily ever after" :sly::sly:
Inanipa maswali mengi, naiona kama ndio imeisha ila kuna vitu bado naona ni kama itaendelea..Kwanza kwa jinsi ilivyoisha it's like they have left an open window for the next season, maana watu wanataka kujua whats going to happen in Moscow, cha pili wakati inaisha Saa ilikua ina-count up, haiku-count down kama ilivyofanya at the end of Season 8.
Yah labda na huo muendelezo unaeza kuwa kama ule wa jack bauer alivokua sangala kwa jeneral Juma na colonel Dubaku sidhani kama itakua inform of 24/12 hrs kama hizi zilizopita.
Hiyo si ilikuaga baada ya C.T.U kuwa disbanded for Human rights Violation, na baadhi ya Agents waliokua wanafanya kazi pale wakawa wanashtakiwa ndio maana Bauer alikimbilia Africa kujificha kukwepa mkono wa sheria. Lakini hii Case ni different, pengine ikirudi atakua anatoka kifungoni kama alivotoka China...
Kifo ni kifo ila nadhani kauliwa kistaarabu ukilinganisha na yule Mrusi aliyemuua Renee Walker.
Nawaza tu, hvi baada ya Aundrey kufa, Jack anaweza kufall in love na Chloe au na kate morgan!!!!
Hichi kitu naona wataalam wanascript zake to infinity,tuchange tu mpunga wadau tutoe vitu viendelee.
Mambo bado sana hadi Jack awe huru hizo bata anazoenda kula Moscow pia lazima zijulikane ngoja tusubiri lakini
ninaimani itakuja kuendelea tu mpunga ukipatikana!...
He he he eti bata anazokwenda kula Moscow hahaha