Previously on TYRANT
Nahisi hawataicancel. Ni show nzuri sana, inatamanisha sana. Inshort sijui fox wanapata wapi hizi shows zao. Zinabamba kinoma.
Back to topic: Kifo cha Javier kitaondoka na wengi sana. Yule mkuu wa DEA ambeye yupo kwenye payroll ya Javier na anataka kupata umeya kwa kuongezewa kura za mexicans atabaki dilema kwa sababu hajui pa kukimbilia.
Daniel na yule kaka yake kilemma wataanza vita tu.
Carlos atajikabidhi mikononi kwa Chapel na wataanzisha vita dhidi ya Metas.
I see the Opportunity ya kuendelea
Javier acosta "The Boss" kufa hafi ila chamoto atakiona, Daniel kabadilika kweli kutoka kua college boy mpaka kua mafia na yule kaka yake kiwete naona miguu imeanza kupata nguvu hatakua kwenye wheelchair tena so sipati picha hiyo vita kati yao.
Machungu ya 24 yamehamia huku
Jamani hiyo filamu mpya ya Jack Bauer inaitwaje?
Kila wakati nacheck muendelezo hola mbona imeisha kiutata km ni episode 13 tu, au huenda watarejea na kitakachomtokea Jack huko Russia!!!!!Hahahaaa umeona eenhhh sema hii season nayo ipo kidogo yaan viepisodi vi 13 tuu jaman ingekua na episodes kama 22 hivi ingekua mwake kweli cjui itaendelea sasa.
Kila wakati nacheck muendelezo hola mbona imeisha kiutata km ni episode 13 tu, au huenda watarejea na kitakachomtokea Jack huko Russia!!!!!
Hii sio siri wafanye ku-renew for another season, dah sipati picha Javier akifa, Poor Carlos, Daniel will be running the Los Angelicos family, Kidoogo Chapel kaanza kupata knowledge kuhusu Lopez, The Metas Cartels are still at Large...Come on Fox! Hii ndio Show yao inayobamba saa hizi, wakiicancel sijui watakua wanataka nini??
Gang related huwa siku zote inaishia pazuri sana hadi unatamani week iwahi.
Last ship nayo naona inafikia mwishoni.
Under the dome pia inafikia mwishoni kabisa
Machungu ya 24 yamehamia huku
Km una laptop/computer ni bora kudownload toka kickass torent zipo zote mana hawa jamaa wa mtaani wakati mwingine wanazingua.Mi natafuta 24 season ya 7 na 8 maana nimeishia ya sita afu jamaa wakaniuzia ya 9 part1 na 2(Live another day)
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums