Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
UsijaliUsisahau kunitag bae.
UsijaliUsisahau kunitag bae.
Wee siwaona mwenyewekhaaaah

Leta tuchekeWallah na mie ntaleta story yangu.![]()
Kwahiyo kuanzia demu wa kwanza hadi wa NANE kwenye maisha yako, kila mmoja ulikusudia kuoa.... naweza kusema ulikuwa na akili za kitoto sana.



Usikate tamaa.... Wala hujachelewa. Mwombe Mungu atakuonyesha njiaAisee natamani sana nikae kwenye taasisi ya ndoa nikiwa baba fulani hivi, mwenye stories na familia yangu,very strict ila sasa yooote naona yamefifia...
Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Inaweza ikawa yake na akaiacha vilevile sasa sijui mnatakaga wadada pia nao wawatelekeze watoto wao sababu wakiamua kulea ni kusemwa tuKabisa Mkuu lakini ME pia wanahusika baadhi. Utasikia mie nataka kukuoa lakini sitangazi ndoa hadi upate mimba. KE anajiachia mimba hiyo jamaa linasepa! Lakini hakuna DNA ya mimba inaweza kabisa isiwe ya huyo anayetaka kuoa.
Hakuna mahala niliposema mimi ni mtakatifu sana.Ukweli ni kwamba, unaweza kuwa na ndoto nzuri, mipango mizuri kwa ajili ya kuijenga kesho yako, ila ukikutana na mtu asiye na mlengo sawa na wako, (na kwa kuwa huwezi kuota) basi jua umekwisha!
Kwa mnavyonipiga mawe utasema nyie wote ni watakatifu...hebu semeni ukweli hapa, St. Anne na mwenzako, Nani amekuwa na mpenzi mmoja tu (yaani aliyekubikiri ndiye huyo aliyekuoa/kumuoa) na kama unajua ume-date zaidi ya mwanaume/m/mke mmoja basi hauna tofauti na mimi sema tu wewe haujazalisha,singiziwa/zalishwa baaaas...lakini mengine mengi tunakuwa kwenye ukurasa mmoja tu
Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Sio kila mtu ana hyp bahati mkuu,... kama uko jf miaka mitatu ujapata ata demu umu nkupA poleAisee kumbe ni kweli watu mmeliwa humu, akikulenga unistue mkuu... nilidhani chai tu.
Basi nami nataka, ukinipea mimi sitaambia mtu.![]()
Pole sana, kwa kuwa unaamini katika allah, nakushauri kabla hujafanya maamuzi katika jambo zito uswali swalat istikhaara na/ au ufunge.Mkuuu....Kuna Mambo huwezi hata hadithia mtu....yanasikitisha Sana...Sijui kurogwa kupo.... Inawezekana NAMIMI.nilirogwa....kuna maamuzi unafanya baadae unajiuliza hivi kweli.mimi niwakufanya maamuzi kama Yale....
Inasikitisha Sana.....lakini sisi tunao Amini Allah...Tunasema Mitihani na Furaha zote hutoka.kwa Allah..... Na Tunasema Alhamdulilah....
Ila kwa mtihani nlopitia.. kwa maamuzi yangu yakipumbafu.... Najutia nalia nakusaga meno...
Nawaombea Vijana wafanye maamuzi ya busara....Maamuzi ya leo.Matokeo ya kesho.......
I feel you G'Man.....uko xawa na katika maisha haya ya zigzag Nadra xana Mtuu kudate na mpenz mmoja Maisha yako yootee..coz ni Bahati kukutana na Mtu sahihi.....Ukweli ni kwamba, unaweza kuwa na ndoto nzuri, mipango mizuri kwa ajili ya kuijenga kesho yako, ila ukikutana na mtu asiye na mlengo sawa na wako, (na kwa kuwa huwezi kuota) basi jua umekwisha!
Kwa mnavyonipiga mawe utasema nyie wote ni watakatifu...hebu semeni ukweli hapa, St. Anne na mwenzako, Nani amekuwa na mpenzi mmoja tu (yaani aliyekubikiri ndiye huyo aliyekuoa/kumuoa) na kama unajua ume-date zaidi ya mwanaume/m/mke mmoja basi hauna tofauti na mimi sema tu wewe haujazalisha,singiziwa/zalishwa baaaas...lakini mengine mengi tunakuwa kwenye ukurasa mmoja tu
Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Sio kila mtu ana hyp bahati mkuu,... kama uko jf miaka mitatu ujapata ata demu umu nkupA pole

HahahahhahaUsinipe pole tu, fanya wepesi nioshe nyota.![]()
Angejipa muda kusingekuwa na story hii...acha amwage vitu.🤫Ulikua unampenda mary with all your heart yet ukaenda kumlipia mahari mwanamke ambae bado ulikua humjui vizuri na at the same time akili yako ndio iliamua though moyo ulikua kwa Mary, ungejipa muda kidogo wa kutafakari na kupata uhakika wa maamuzi unayotaka kuchukua
Kila mahusiano unayoingia unatia mimba au unabambikiwa mimba, ni kama you did not learn from the past ukachukua tahadhari badala yake ulikua inarudia kosa hili hilo, lets say wote wangekua na mimba zako, how could you describe your fatherhood to the kids au kwa kizazi chako? Being a farther is not about providing the needs its more than that
Kama utaendelea hivyo you will end up with unsettled life kwa sababu hata mwanamke utakaemuoa bado atakua na usumbufu wa kuwaza watoto wa nje, i mean hamtakua na utulivu wa kufocus kwenye famikia ila mtajikuta mnaanza kuwaza na watoto wa nje ambao they need equal rights na hao wa ndoani, hapo hujahesabia usumbufu wa mama zao
Nshawai Swali Istikhara Mkuu...Kuna Jambo Lilinitatiza sanaaa... Nikaswali...nanikapata majibu...Pole sana, kwa kuwa unaamini katika allah, nakushauri kabla hujafanya maamuzi katika jambo zito uswali swalat istikhaara na/ au ufunge.
Imeisha hiyoooooohUsijali