The power of giving in the world of exchange - Natural leverage

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,529
Marko 4:25"Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang'anywa hata kile kidogo alicho nacho."

Nianze kwa kusema kwamba sihubiri injili nataka niwafundishe siri ndog tu ya ulimwengu.

Na kwa wale waliosoma Science ya maumbo-A body remains in a state of rest or uniform motion unless an external force compels it to act otherwise.Na pia kuna laws kama vile Law of conservation of energy,Momentum n.k ambazo zote zinaendeleza universal dynamics.

Sasa leo nataka nilete siri ambayo najua kuna wanaoijua na kuna wasoijua na hata ukiijua bado unaweza usiifanyie kazi. Ni siri inayohusu the Power of Giving.

What is Giving-Giving is the act of transferring what you have/own to another person who needs it.Giving becomes meaningful and powerful when the person we are giving has no ability nor intention of giving us something in return.It is called charity.

Kwa Kiswahili chepesi, kutoa ni ile hali ya kuhamisha kile ulichonacho kwenda kwa mtu mwingine anayekihitaji. Utoaji unakuwa na maana zaidi pale ambapo yule unayepatia anakuwa hana uwezo au ni ya kukupatia kitu kingine na wewe.

Unapotoa unapata zaidi na maradufu.Kwa nini?kwa sababu hakuna cha bure.Unapopokea lazima pia utoe hivyo usisahau kurudisha wema.

Kwa mfano:
Watu wenye tabia/desturi ya kuomba omba huwa utawakuta miaka mingi wanakuwa katika hali ile ile ya unyonge na umaskini kwa nini?-Watu wanaotoa sana hujikuta wakiongezeka katika utajiri maradufu kwa nini? Watu wachoyo hujikuta wakipungukiwa na kufilisika sana kwa nini? Kama unafikiri nakosea jaribu kuangalia watu wanaokuzunguka, matajiri wengi wakarimu huendelea kuwa matajiri. Matajiri wachoyo hufilisika, maskini wakarimu hupata utajiri, maskini wachoyo hutopea katika lindi la umaskini.

Ufunguo upo katika kutoa na hii ni kwa mujibu wa kanuni zilizodumu karne nyingi.

Najua kuna anayeuliza: Nitoe nini? Sina cha kutoa. Sio kweli unayo mengi sana ya kutoa na sio lazima iwe pesa, pesa ni namna tu ya ku-exchange.

Karibisha mtu au watu chakula nyumbani mwako,Tembelea wagonjwa hospitalini. Jitolee katika shughuli mbalimbali katika jamii yako, mtaa wako. Unapotoa chochote iwe muda wako, pesa yako, talanta yako n.k. Toa kwa kadiri ya uwezo wako na Mungu atakujazia. Toa kwa Upendo.

Tazama, kipimo kile upimacho ndicho utapiwa na kujaziwa na kusukwasukwa.

Uwezo uliopewa wewe, uwe wa kifedha, kielimu, talanta, sio kwa ajili ya kukufaidisha wewe tu ni lazima na wana jamii wengine pia wafaidike nao ndio uweze kuzaa matunda maradufu. Tazama jamii inayokuzunguka uone nguvu ya utoaji inavyofanya kazi.

Mfano Rahisi ni uhusiano wa Baba na mtoto. Mtoto anapopewa matunzo na mzazi huwa anapokea tu bila kutoa,anapofikisha umri wa kuanza kujitegemea na bado akaendelea kuwa tegemezi basi anaanza kupoteza mibaraka. Ulipokuwa mdogo mzazi wako alibarikiwa kwa kukupatia wewe mahitaji kwa kuwa hukuwa na uwezo wa kujitegemea.

Unapkuwa mtu mzima unayeweza kujitegemea basi hali inabadilika pale unapoendelea kupokea kutoka kwa wazazi badala ya kujitegemea, unaanza kupoteza. Ndio maana vijana wengiwanajikuta mpaka wakiwa wana miaka arobaini bado wanaanza na Dady kafanya hivi, kafanya vile kwa sababu wamekuwa tegemezi mpaka wakatopea. Matokeo yake mzee akifa wanaishia kugawana mali na kuzitumbua kisha kubaki katika umaskini kwa sababu mzee wao alishawanyonya kila kitu wakati akiwatunza wakiwa na ndevu zao.

Ila tazama pale ambapo mzazi ni kauzu, ametiimua watoto watafute maisha, huwa anawafungulia baraka, watakula msoto ila baada ya muda hutasikia "dady kanunua nyumba sijui dady kaoa mke mwingine"

Ninachotaka kusisitiza ni kwamba pale unapotoa lazima upokee maradufu.

Anza sasa kutoa katika kidogo ulicho nacho na uone utapokea kiasi gani,toa upendo na utapokea upendo.

Kila la heri
 
Marko 4:25"Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang'anywa hata kile kidogo alicho nacho."

Nianze kwa kusema kwamba sihubiri injili nataka niwafundishe siri ndog tu ya ulimwengu.

Na kwa wale waliosoma Science ya maumbo-A body remains in a state of rest or uniform motion unless an external force compels it to act otherwise.Na pia kuna laws kama vile Law of conservation of energy,Momentum n.k ambazo zote zinaendeleza universal dynamics.

Sasa leo nataka nilete siri ambayo najua kuna wanaoijua na kuna wasoijua na hata ukiijua bado unaweza usiifanyie kazi. Ni siri inayohusu the Power of Giving.

What is Giving-Giving is the act of transferring what you have/own to another person who needs it.Giving becomes meaningful and powerful when the person we are giving has no ability nor intention of giving us something in return.It is called charity.

Kwa Kiswahili chepesi, kutoa ni ile hali ya kuhamisha kile ulichonacho kwenda kwa mtu mwingine anayekihitaji. Utoaji unakuwa na maana zaidi pale ambapo yule unayepatia anakuwa hana uwezo au ni ya kukupatia kitu kingine na wewe.

Unapotoa unapata zaidi na maradufu.Kwa nini?kwa sababu hakuna cha bure.Unapopokea lazima pia utoe hivyo usisahau kurudisha wema.

Kwa mfano:
Watu wenye tabia/desturi ya kuomba omba huwa utawakuta miaka mingi wanakuwa katika hali ile ile ya unyonge na umaskini kwa nini?-Watu wanaotoa sana hujikuta wakiongezeka katika utajiri maradufu kwa nini? Watu wachoyo hujikuta wakipungukiwa na kufilisika sana kwa nini? Kama unafikiri nakosea jaribu kuangalia watu wanaokuzunguka, matajiri wengi wakarimu huendelea kuwa matajiri. Matajiri wachoyo hufilisika, maskini wakarimu hupata utajiri, maskini wachoyo hutopea katika lindi la umaskini.

Ufunguo upo katika kutoa na hii ni kwa mujibu wa kanuni zilizodumu karne nyingi.

Najua kuna anayeuliza: Nitoe nini? Sina cha kutoa. Sio kweli unayo mengi sana ya kutoa na sio lazima iwe pesa, pesa ni namna tu ya ku-exchange.

Karibisha mtu au watu chakula nyumbani mwako,Tembelea wagonjwa hospitalini. Jitolee katika shughuli mbalimbali katika jamii yako, mtaa wako. Unapotoa chochote iwe muda wako, pesa yako, talanta yako n.k. Toa kwa kadiri ya uwezo wako na Mungu atakujazia. Toa kwa Upendo.

Tazama, kipimo kile upimacho ndicho utapiwa na kujaziwa na kusukwasukwa.

Uwezo uliopewa wewe, uwe wa kifedha, kielimu, talanta, sio kwa ajili ya kukufaidisha wewe tu ni lazima na wana jamii wengine pia wafaidike nao ndio uweze kuzaa matunda maradufu. Tazama jamii inayokuzunguka uone nguvu ya utoaji inavyofanya kazi.

Mfano Rahisi ni uhusiano wa Baba na mtoto. Mtoto anapopewa matunzo na mzazi huwa anapokea tu bila kutoa,anapofikisha umri wa kuanza kujitegemea na bado akaendelea kuwa tegemezi basi anaanza kupoteza mibaraka. Ulipokuwa mdogo mzazi wako alibarikiwa kwa kukupatia wewe mahitaji kwa kuwa hukuwa na uwezo wa kujitegemea.

Unapkuwa mtu mzima unayeweza kujitegemea basi hali inabadilika pale unapoendelea kupokea kutoka kwa wazazi badala ya kujitegemea, unaanza kupoteza. Ndio maana vijana wengiwanajikuta mpaka wakiwa wana miaka arobaini bado wanaanza na Dady kafanya hivi, kafanya vile kwa sababu wamekuwa tegemezi mpaka wakatopea. Matokeo yake mzee akifa wanaishia kugawana mali na kuzitumbua kisha kubaki katika umaskini kwa sababu mzee wao alishawanyonya kila kitu wakati akiwatunza wakiwa na ndevu zao.

Ila tazama pale ambapo mzazi ni kauzu, ametiimua watoto watafute maisha, huwa anawafungulia baraka, watakula msoto ila baada ya muda hutasikia "dady kanunua nyumba sijui dady kaoa mke mwingine"

Ninachotaka kusisitiza ni kwamba pale unapotoa lazima upokee maradufu.

Anza sasa kutoa katika kidogo ulicho nacho na uone utapokea kiasi gani,toa upendo na utapokea upendo.

Kila la heri

Umenena vyema sana mkuu, Ni kweli kuna nguvu kubwa sana katika KUTOA
 
Kutoa na kupokea ni kanunu ya kimungu. Hata kama wewe si muumini ya dini ila unatimiza kanuni hii itakulipa ni kama mvua hunyesha kwa wema na wabaya. Kuna siri kubwa sana hapa na kuna watu fulani wanatumia kanuni hii na inawalipa mno wameficha siri hii.
 
Barikikiwa ndg
Hapa nilipo nilikua najiuliza je nianze kuwa kauzu au Basi tu niwe poa!

Nimechagua Basi ngoja tuendelee kugawana umasikini
 
Karibuni kuchangia Bujibuji foundation, tunapokea nguo za watoto, vyakula, sabuni, pampas, no kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi KWENYE mazingira magumu, mfano, watoto wa mitaani, mayatima na watoto wenye ulemavu wa akili
 
Karibuni kuchangia Bujibuji foundation, tunapokea nguo za watoto, vyakula, sabuni, pampas, no kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi KWENYE mazingira magumu, mfano, watoto wa mitaani, mayatima na watoto wenye ulemavu wa akili
Sidhani kama upo mzima kichwani wewe,
Hauko sawa
 
Marko 4:25"Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang'anywa hata kile kidogo alicho nacho."

Nianze kwa kusema kwamba sihubiri injili nataka niwafundishe siri ndog tu ya ulimwengu.

Na kwa wale waliosoma Science ya maumbo-A body remains in a state of rest or uniform motion unless an external force compels it to act otherwise.Na pia kuna laws kama vile Law of conservation of energy,Momentum n.k ambazo zote zinaendeleza universal dynamics.

Sasa leo nataka nilete siri ambayo najua kuna wanaoijua na kuna wasoijua na hata ukiijua bado unaweza usiifanyie kazi. Ni siri inayohusu the Power of Giving.

What is Giving-Giving is the act of transferring what you have/own to another person who needs it.Giving becomes meaningful and powerful when the person we are giving has no ability nor intention of giving us something in return.It is called charity.

Kwa Kiswahili chepesi, kutoa ni ile hali ya kuhamisha kile ulichonacho kwenda kwa mtu mwingine anayekihitaji. Utoaji unakuwa na maana zaidi pale ambapo yule unayepatia anakuwa hana uwezo au ni ya kukupatia kitu kingine na wewe.

Unapotoa unapata zaidi na maradufu.Kwa nini?kwa sababu hakuna cha bure.Unapopokea lazima pia utoe hivyo usisahau kurudisha wema.

Kwa mfano:
Watu wenye tabia/desturi ya kuomba omba huwa utawakuta miaka mingi wanakuwa katika hali ile ile ya unyonge na umaskini kwa nini?-Watu wanaotoa sana hujikuta wakiongezeka katika utajiri maradufu kwa nini? Watu wachoyo hujikuta wakipungukiwa na kufilisika sana kwa nini? Kama unafikiri nakosea jaribu kuangalia watu wanaokuzunguka, matajiri wengi wakarimu huendelea kuwa matajiri. Matajiri wachoyo hufilisika, maskini wakarimu hupata utajiri, maskini wachoyo hutopea katika lindi la umaskini.

Ufunguo upo katika kutoa na hii ni kwa mujibu wa kanuni zilizodumu karne nyingi.

Najua kuna anayeuliza: Nitoe nini? Sina cha kutoa. Sio kweli unayo mengi sana ya kutoa na sio lazima iwe pesa, pesa ni namna tu ya ku-exchange.

Karibisha mtu au watu chakula nyumbani mwako,Tembelea wagonjwa hospitalini. Jitolee katika shughuli mbalimbali katika jamii yako, mtaa wako. Unapotoa chochote iwe muda wako, pesa yako, talanta yako n.k. Toa kwa kadiri ya uwezo wako na Mungu atakujazia. Toa kwa Upendo.

Tazama, kipimo kile upimacho ndicho utapiwa na kujaziwa na kusukwasukwa.

Uwezo uliopewa wewe, uwe wa kifedha, kielimu, talanta, sio kwa ajili ya kukufaidisha wewe tu ni lazima na wana jamii wengine pia wafaidike nao ndio uweze kuzaa matunda maradufu. Tazama jamii inayokuzunguka uone nguvu ya utoaji inavyofanya kazi.

Mfano Rahisi ni uhusiano wa Baba na mtoto. Mtoto anapopewa matunzo na mzazi huwa anapokea tu bila kutoa,anapofikisha umri wa kuanza kujitegemea na bado akaendelea kuwa tegemezi basi anaanza kupoteza mibaraka. Ulipokuwa mdogo mzazi wako alibarikiwa kwa kukupatia wewe mahitaji kwa kuwa hukuwa na uwezo wa kujitegemea.

Unapkuwa mtu mzima unayeweza kujitegemea basi hali inabadilika pale unapoendelea kupokea kutoka kwa wazazi badala ya kujitegemea, unaanza kupoteza. Ndio maana vijana wengiwanajikuta mpaka wakiwa wana miaka arobaini bado wanaanza na Dady kafanya hivi, kafanya vile kwa sababu wamekuwa tegemezi mpaka wakatopea. Matokeo yake mzee akifa wanaishia kugawana mali na kuzitumbua kisha kubaki katika umaskini kwa sababu mzee wao alishawanyonya kila kitu wakati akiwatunza wakiwa na ndevu zao.

Ila tazama pale ambapo mzazi ni kauzu, ametiimua watoto watafute maisha, huwa anawafungulia baraka, watakula msoto ila baada ya muda hutasikia "dady kanunua nyumba sijui dady kaoa mke mwingine"

Ninachotaka kusisitiza ni kwamba pale unapotoa lazima upokee maradufu.

Anza sasa kutoa katika kidogo ulicho nacho na uone utapokea kiasi gani,toa upendo na utapokea upendo.

Kila la heri
Asante mkuu,somo bora kabisa
 
We make a living by what we get; we make life by what we give-Wiston Churchill
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Ukitoa utafirisika heri uwe bahili. Siri ya kufanikiwa ni kufanya kazi kwa bidii basi. Mungu amesisitiza sana tufanye kazi. ' afanyae kazi kwa mikono milegevu atakuwa nasikini' 'apendae usingizi atapata umasikini wa kumtosha' na 'Mungu anabariki kazi za mikono yetu' binadamu ni matokeo ya kazi, yaani Mungu alifanya kazi ndiyo binadamu akapatokana. Msingi ni huo, haya mengine ni mbwembwe tu. Utajiri ni ubahiri, shauri yako!
 
Ukitoa utafirisika heri uwe bahili. Siri ya kufanikiwa ni kufanya kazi kwa bidii basi. Mungu amesisitiza sana tufanye kazi. ' afanyae kazi kwa mikono milegevu atakuwa nasikini' 'apendae usingizi atapata umasikini wa kumtosha' na 'Mungu anabariki kazi za mikono yetu' binadamu ni matokeo ya kazi, yaani Mungu alifanya kazi ndiyo binadamu akapatokana. Msingi ni huo, haya mengine ni mbwembwe tu. Utajiri ni ubahiri, shauri yako!
Ubahili ni nini?Je ni sawa na uchoyo?Pigia neno exchange katika msingi wa utoaji,Ili upate lazima utoe,Kama wewe unataka upokee tu uweke bila kutoa basi sahau kutajirika.Kuhusu namna ya utoaji rejea andiko langu kwa umakini uone msingi na mantiki ya utoaji.
 
Hahaha hizi habari huwa zina hubiriwa sana, lakini wahubiri wa habari hizi huwa wagumu kutoa hata wakiombwa,achilia mbali kujtolea.

Ukiona tajiri anakushauri mbinu za kuufikia utajiri, tafakari vizuri unaweza ukafanywa fursa.

Kila mtu ale kwa jasho lake, na mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake.
 
Mimi ni yatima, nitoleeni mkapate kubarikiwa... natanguliza shukrani.
 
Giving is one of the most heart expanding and exhilarating feelings. Being able to give drives us to create more, earn more, work harder and make more money.
Kutoa ni moja wapo ya kuupanua moyo na kufurahisha hisia. Hii inatufanya kua na uwezo wa kufikiri vitu vipya, vitakavyo kupatia kipato zaidi, kufanya kazi kwa bidii na kupata pesa nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom