Mugongo Mugongo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2006
- 223
- 8
mimi nadhani mweshimiwa mbowe ana haki ya kujibu au kuacha kujibu haya maswali kama anaona sio apriapriate hapa forum yameandikwa machafu zaidi kuhusu watu; haya maswali mimi naona ni laini tu kwa mweshimiwa mbowe. mbowe katoa nafasi kuulizwa maswali nadhani ni mjinga tu ambaye hatatumia nafasi hiyi kuuliza na kutoa nafasi ya huyu kiongozi kukanusha yanayosemwa juu yake kwenye circles hapa bongo.