denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Tulia lumumba, mmeshindwa kutushawishi sisi tusiowaelewa miaka yote humu jf unataka Mbowe arudi kufanya nini?Jibu lipo hapa kwenye bold Kwa wale waliokuwa na maswali.
===
Hivi threads zote za humu JF hazina substance kiasi cha kukufanya usirudi jukwaa hili to Dec 4, 2006? Au ulipoteza password ya account ya JF?
Kama ni issue ya password moderators please do the needful, Mkuu apate access ya account yake.
Hiyo kazi anayoifanya sasa hivi huko nje ndio muhimu zaidi mpaka mmemtafutia sababu ya kumfunga jela.