William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Bravo Mwanasiasa,
Point well said, na umekuja across kama wewe ndiye mwenye kiti wa Chadema, badala ya Mzee Freeman na JJ, isipokuwa tu hebu fafanua maana ya militarism ndani ya CCM na Upinzani, hapo sijakupata?
Mzee Freeman,
Respect kwamba finally, baada ya kuangalia kila siku kwa pembeni, umeamua kuja mwenyewe, off course ninajua kuwa siku zote ulikuwa upo hapa maana watu wako fulani ninawajua wapo hapa kila siku haiwezekani kuwa hukuwepo, anyway heshima mbele kwa kujitokeza kwenye hii forum, hii inapaswa kuwa ni clear message kwa bwana Ukimwi kwamba hii forum inafanya kazi yake inavyotakiwa ingawa katika maizngira magumu lakini, hey! it is better than noithing,
Mzee Freeman,
I have a problem na ujumbe wako kuhusu majina ya bandia ninaona unataka kupoteza lengo pamoja na nia yako njema ya kuja hapa, do not tell us what to do bro!, wewe jibu mapigo tu, tena please we have nothing to apologize for kwa kutotumia majina yetu, wote hapa tunajua what time is hatuhitaji kukumbushwa na mtu yoyote, kilichokuleta hapoa na sio forum zingine ni kwa sababu the message is powerful na clear understandable, njia zote tunazozitumia humu ndio hasa nyinyi politician wa bongo mnazozielewa vizuri, na ndio maana hata magazeti mnayoyamiliki, on this I mean wote CCM na Upinzani huwa hamuaandiki majina, WHY? take this thing ya majina back bro! no more lectures kwenye hilo, next time you come just deal with the message,
But baada ya kusema yote hayo, ninasema heshima yetu kwako kwa kukubali hatimaye kuingia kama ulivyo kwenye hii froum, na ninakuomba uendelee kuwepo hapa ili tufundishane siasa na tuulizane maswali ya kweli kwa faida ya taifa letu, taifa letu liko njia panda, we know that, sasa hii sio forum ya upinzani kama some of us walivyoshauri, hapana hii ni forum ya wananchi wanaoelewa ukweli wa kinachoendelea bongo, na wangependa kusikia majibu au marekebisho, sasa tunategemea wewe na wenzako mje hapa mtupe majibu mnayoyafahamu, bila siasa nyingi tumesikia siasa za kutosha sasa tuongee majibu tu bro, hizi habari za majina ni irrelevant,
hebu tulonge issues Mzee Freeman wote hapa ni watu wazima, tuseme issue, na the hot one sasa hivi ni Richmond na IPTL, hebu tuwekee msimamo wa chama chako, utakapoingia tena, pia kama unaweza hebu gusa kuhusu hii NONESENSE ya unga? Halafu hebu gusia kuhusu elimu yako mpya, maana kuna tunaoiona kama kuna u-KIHIYO! kihiyo! ndani yake, hebu tuwekee usawa?
Wasaalaam wazee wote wa hii forum, na karibu wazee wa Chadema Freman na JJ, na we are ready for you ila please do not tell us how to write, Thank you! na Forum idumu!
Point well said, na umekuja across kama wewe ndiye mwenye kiti wa Chadema, badala ya Mzee Freeman na JJ, isipokuwa tu hebu fafanua maana ya militarism ndani ya CCM na Upinzani, hapo sijakupata?
Mzee Freeman,
Respect kwamba finally, baada ya kuangalia kila siku kwa pembeni, umeamua kuja mwenyewe, off course ninajua kuwa siku zote ulikuwa upo hapa maana watu wako fulani ninawajua wapo hapa kila siku haiwezekani kuwa hukuwepo, anyway heshima mbele kwa kujitokeza kwenye hii forum, hii inapaswa kuwa ni clear message kwa bwana Ukimwi kwamba hii forum inafanya kazi yake inavyotakiwa ingawa katika maizngira magumu lakini, hey! it is better than noithing,
Mzee Freeman,
I have a problem na ujumbe wako kuhusu majina ya bandia ninaona unataka kupoteza lengo pamoja na nia yako njema ya kuja hapa, do not tell us what to do bro!, wewe jibu mapigo tu, tena please we have nothing to apologize for kwa kutotumia majina yetu, wote hapa tunajua what time is hatuhitaji kukumbushwa na mtu yoyote, kilichokuleta hapoa na sio forum zingine ni kwa sababu the message is powerful na clear understandable, njia zote tunazozitumia humu ndio hasa nyinyi politician wa bongo mnazozielewa vizuri, na ndio maana hata magazeti mnayoyamiliki, on this I mean wote CCM na Upinzani huwa hamuaandiki majina, WHY? take this thing ya majina back bro! no more lectures kwenye hilo, next time you come just deal with the message,
But baada ya kusema yote hayo, ninasema heshima yetu kwako kwa kukubali hatimaye kuingia kama ulivyo kwenye hii froum, na ninakuomba uendelee kuwepo hapa ili tufundishane siasa na tuulizane maswali ya kweli kwa faida ya taifa letu, taifa letu liko njia panda, we know that, sasa hii sio forum ya upinzani kama some of us walivyoshauri, hapana hii ni forum ya wananchi wanaoelewa ukweli wa kinachoendelea bongo, na wangependa kusikia majibu au marekebisho, sasa tunategemea wewe na wenzako mje hapa mtupe majibu mnayoyafahamu, bila siasa nyingi tumesikia siasa za kutosha sasa tuongee majibu tu bro, hizi habari za majina ni irrelevant,
hebu tulonge issues Mzee Freeman wote hapa ni watu wazima, tuseme issue, na the hot one sasa hivi ni Richmond na IPTL, hebu tuwekee msimamo wa chama chako, utakapoingia tena, pia kama unaweza hebu gusa kuhusu hii NONESENSE ya unga? Halafu hebu gusia kuhusu elimu yako mpya, maana kuna tunaoiona kama kuna u-KIHIYO! kihiyo! ndani yake, hebu tuwekee usawa?
Wasaalaam wazee wote wa hii forum, na karibu wazee wa Chadema Freman na JJ, na we are ready for you ila please do not tell us how to write, Thank you! na Forum idumu!