johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Niko Hapa Sea Boys Magomeni mapipa na kuna mjadala unaendelea baada ya Umeme kukatika
Wakazi wa mitaa hii wanamuona Makonda kama mtu anayeweza kuzungumza Matatizo na kero zao Bila woga
Mzee Idris anasema kwa sasa katika Wanaccm wote Makonda Ndiye angefaa kuwa Waziri wa Nishati na hii katika katika ya Umeme kwa Ujanjaujanja wa wapiga dili angeikomesha
Mjadala unaendelea tuko na Makamanda wa Chadema pia hii nchi ni yetu sote 😀
Wakazi wa mitaa hii wanamuona Makonda kama mtu anayeweza kuzungumza Matatizo na kero zao Bila woga
Mzee Idris anasema kwa sasa katika Wanaccm wote Makonda Ndiye angefaa kuwa Waziri wa Nishati na hii katika katika ya Umeme kwa Ujanjaujanja wa wapiga dili angeikomesha
Mjadala unaendelea tuko na Makamanda wa Chadema pia hii nchi ni yetu sote 😀